UDOM yatoa ufafanuzi wa madai ya Wanafunzi 400 kuondolewa masomoni, wasema walidukua mfumo na kuchezea matokeo ya mitihani

Mwl mwenyewe ukute hawezi kufanya hivyo, badala yake ni mtaalamu tu wa Theory.
 
Mwl mwenyewe ukute hawezi kufanya hivyo, badala yake ni mtaalamu tu wa Theory.
Ndio maana inabidi tutoke kwenye huu mfumo wa elimu usio na tija. Mtu asome law zote anazotaka yeye, ila kwenye mtihani tunataka adanye assembly na Radio iwake na ishike frequency zote za F.M na A.M, hapo ndio unapewa maksi.., sio hii elimu ya kipimbi.., mtu anafanya titration hata haelewi ina faida gani…
 
Nadhani chuo kingefanya uchunguzi kujua kama wadukuzi ni wanafunzi wao au ni walinunua experts nje ya chuo na pengine nje ya nchi.
Kama wadukuzi ni wanafunzi wao,walitakiwa wawatunuku shahada zao hata kama ni first year
 
Siku hizi ni mwendo wa kutoa UFAFANUZI kila mahali....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…