UDP,CHADEMA, CUF N.K PANAHITAJIKA MABADILIKO MAKUBWA MNO YA KIMFUMO, KIKATIBA NA KIUONGOZI ILI KUWE NA TIJA YA KISIASA MPAKA KWENYE MAISHA YA WANANCHI

UDP,CHADEMA, CUF N.K PANAHITAJIKA MABADILIKO MAKUBWA MNO YA KIMFUMO, KIKATIBA NA KIUONGOZI ILI KUWE NA TIJA YA KISIASA MPAKA KWENYE MAISHA YA WANANCHI

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
vinginevyo kwa mazingira na hali ya siasa ilivyo hivi sasa, bado vyama hivyo havitakua na msaada wala mchango wowote katika kusaidia kuchochea au kuhamasisha mabadiliko au mageuzi yoyote katika maendeleo ya wanainchi kisiasa, kijamii na kiuchumi nchini,

Kazi ambayo, kipekee sana imekua inafanywa kwa ufanisi mkubwa mno na serikali sikivu ya CCM, chini ya kiongozi madhubuti, na kipenzi pekee cha wa Tanzania wote Dr. Samia Suluhu Hassan..

Kusipofanyika mabadiliko ya kimfumo, katiba na uongozi ndani ya vyama hivyo, basi kuna kila dalili mambo yale yale ya miaka nenda miaka rudi, yasiyo na tija wala maana yatafanyika tena hapo katikatika kuelekea uchaguzi mkuu.

kwa mfano, kuna dalili za kususia uchaguzi, kugomea matokeo, kuandamana kusikoeleweka, kuzira kushirikiana na taasisi fulani fulani kama vile vyombo vya habari na ulinzi, Lakini pia kuna kuungana kwa vyama vyama vya siasa kimila au kienyeji bila kua na makubaliano maalumu ya kisheria n.k

Kusipofanyika mabadiliko yoyote ya kimfumo, basi vituko, hadaa na sarakasi za viongozi wa vyama hivyo vya siasa vitaendelea kila kukicha. Kwa mfano sasa hivi Chadema wameandaa maandamano haramu ambayo yamepigwa marufuku na polisi, huku viongozi wao karibu wote wakiwa standby na tiketi za ndege mkononi, tayari kukwea pipa mambo yakiwa moto na kutokomea ughaibuni, huku hawa wananchi wa kawaaida makapuku wakiendelea kuchezea virungu, kuteguliwa viuno na taya na kusota korokoroni bila msaada wakati wenyewe wanakula bata ughaibuni.

halafu baadae wakiwa huko ughaibuni, wanaanza kuuliza tena makapuku hao hao,kwamba tuje au tusije, wakati walikimbia..

eti andaeni mapokezi airport tarehe fulani tunakuja 🤣

Akili za kuambiwa Changanya Na zako 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
vinginevyo kwa mazingira na hali ya siasa ilivyo hivi sasa, bado vyama hivyo havitakua na msaada wala mchango wowote katika kusaidia kuchochea au kuhamasisha mabadiliko au mageuzi yoyote katika maendeleo ya wanainchi kisiasa, kijamii na kiuchumi nchini,

Kazi ambayo, kipekee sana imekua inafanywa kwa ufanisi mkubwa mno na serikali sikivu ya CCM, chini ya kiongozi madhubuti, na kipenzi pekee cha wa Tanzania wote Dr. Samia Suluhu Hassan..

Kusipofanyika mabadiliko ya kimfumo, katiba na uongozi ndani ya vyama hivyo, basi kuna kila dalili mambo yale yale ya miaka nenda miaka rudi, yasiyo na tija wala maana yatafanyika tena hapo katikatika kuelekea uchaguzi mkuu.

kwa mfano, kuna dalili za kususia uchaguzi, kugomea matokeo, kuandamana kusikoeleweka, kuzira kushirikiana na taasisi fulani fulani kama vile vyombo vya habari na ulinzi, Lakini pia kuna kuungana kwa vyama vyama vya siasa kimila au kienyeji bila kua na makubaliano maalumu ya kisheria n.k

Kusipofanyika mabadiliko yoyote ya kimfumo, basi vituko, hadaa na sarakasi za viongozi wa vyama hivyo vya siasa vitaendelea kila kukicha. Kwa mfano sasa hivi Chadema wameandaa maandamano haramu ambayo yamepigwa marufuku na polisi, huku viongozi wao karibu wote wakiwa standby na tiketi za ndege mkononi, tayari kukwea pipa mambo yakiwa moto na kutokomea ughaibuni, huku hawa wananchi wa kawaaida makapuku wakiendelea kuchezea virungu, kuteguliwa viuno na taya na kusota korokoroni bila msaada wakati wenyewe wanakula bata ughaibuni.

halafu baadae wakiwa huko ughaibuni, wanaanza kuuliza tena makapuku hao hao,kwamba tuje au tusije, wakati walikimbia..

eti andaeni mapokezi airport tarehe fulani tunakuja 🤣

Akili za kuambiwa Changanya Na zako 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
CCM ndo inahidiji mabadiriko kiwe chama Cha siasa na sio Chaka la Wezi na mafisadi kama ilivyo Sasa.
 
vinginevyo kwa mazingira na hali ya siasa ilivyo hivi sasa, bado vyama hivyo havitakua na msaada wala mchango wowote katika kusaidia kuchochea au kuhamasisha mabadiliko au mageuzi yoyote katika maendeleo ya wanainchi kisiasa, kijamii na kiuchumi nchini,

Kazi ambayo, kipekee sana imekua inafanywa kwa ufanisi mkubwa mno na serikali sikivu ya CCM, chini ya kiongozi madhubuti, na kipenzi pekee cha wa Tanzania wote Dr. Samia Suluhu Hassan..

Kusipofanyika mabadiliko ya kimfumo, katiba na uongozi ndani ya vyama hivyo, basi kuna kila dalili mambo yale yale ya miaka nenda miaka rudi, yasiyo na tija wala maana yatafanyika tena hapo katikatika kuelekea uchaguzi mkuu.

kwa mfano, kuna dalili za kususia uchaguzi, kugomea matokeo, kuandamana kusikoeleweka, kuzira kushirikiana na taasisi fulani fulani kama vile vyombo vya habari na ulinzi, Lakini pia kuna kuungana kwa vyama vyama vya siasa kimila au kienyeji bila kua na makubaliano maalumu ya kisheria n.k

Kusipofanyika mabadiliko yoyote ya kimfumo, basi vituko, hadaa na sarakasi za viongozi wa vyama hivyo vya siasa vitaendelea kila kukicha. Kwa mfano sasa hivi Chadema wameandaa maandamano haramu ambayo yamepigwa marufuku na polisi, huku viongozi wao karibu wote wakiwa standby na tiketi za ndege mkononi, tayari kukwea pipa mambo yakiwa moto na kutokomea ughaibuni, huku hawa wananchi wa kawaaida makapuku wakiendelea kuchezea virungu, kuteguliwa viuno na taya na kusota korokoroni bila msaada wakati wenyewe wanakula bata ughaibuni.

halafu baadae wakiwa huko ughaibuni, wanaanza kuuliza tena makapuku hao hao,kwamba tuje au tusije, wakati walikimbia..

eti andaeni mapokezi airport tarehe fulani tunakuja 🤣

Akili za kuambiwa Changanya Na zako 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Ccm haihitaji mabadiliko?
 
CCM ndo inahidiji mabadiriko jiwe chama Cha siasa na sio Chaka la mafisadi kama ilivyo Sasa.
ushauri na mawadha yangu, ni ya kitaalamu zaidi, sio ya kishabiki. Na sio lazima yakazingatiwa japo ni muhimu sana kwa maslahi mapana ya ustawi wa vyama vyenyewe husika 🐒
 
ushauri na mawadha yangu, ni ya kitaalamu zaidi, sio ya kishabiki. Na sio lazima yakazingatiwa japo ni muhimu sana kwa maslahi mapana ya ustawi wa vyama vyenyewe husika 🐒
Kama ungekuwa mtaalam usingesema CCM ni chama sikivu kwani kimesikiliza nani kama kingekuwa sikivu kingesikiliza boksi la kura?
 
Ccm haihitaji mabadiliko?
kwa mahitaji ya ustawi wa demokrasia za vyama vingi nchini, vyama hivyo vichache vikongwe nilivyovitaja, vinahitaji mabadiliko ya haraka na ya Lazima ya kimfumo, kikatiba na kiungozi ya haraka sana, ili kuendana na mabadiliko ya sasa, yanayo ambatana uelewa mkubwa wa wananchi kuhusu demokrasia..

vinginevyo vitaendelea kudumaa na kukimbiwa na wanaohitaji mageuzi muhimu yenye kuleta ahuweni na mabadiliko kwenye maisha yao 🐒
 
Kama ungekuwa mtaalam usingesema CCM ni chama sikivu kwani kimesikiliza nani kama kingekuwa sikivu kingesikiliza boksi la kura?
kwasababu ya umuhimu na uzito wa wa jambo lenyewe, na kama mtaalamu wa mambo haya,

itakua si haki kuzungumza mambo mengi kwa wakati moja.

To be honest,
I think that one will be the topic for other day gentleman 🐒
 
kwa mahitaji ya ustawi wa demokrasia za vyama vingi nchini, vyama hivyo vichache vikongwe nilivyovitaja, vinahitaji mabadiliko ya haraka na ya Lazima ya kimfumo, kikatiba na kiungozi ya haraka sana, ili kuendana na mabadiliko ya sasa, yanayo ambatana uelewa mkubwa wa wananchi kuhusu demokrasia..

vinginevyo vitaendelea kudumaa na kukimbiwa na wanaohitaji mageuzi muhimu yenye kuleta ahuweni na mabadiliko kwenye maisha yao 🐒
Bado hujajibu swali ? Ccm hawahitaji mabadiliko?
 
kwasababu ya umuhimu na uzito wa wa jambo lenyewe, na kama mtaalamu wa mambo haya,

itakua si haki kuzungumza mambo mengi kwa wakati moja.

To be honest,
I think that one will be the topic for other day gentleman 🐒
Back to topic can you mention just a few usikivu wa CCM Kwa wananchi kama mtaalam?
 
Bado hujajibu swali ? Ccm hawahitaji mabadiliko?
ni muhimu zaidi ukawa mstahimilivu na mwenyewe subra. wakati muafaka wa topic husika nitafundisha kuhusu hicho na utapata fursa nzur zaid kuuliza zaidi...

Na kitaalamu huwezi changanya vyama vilivyo madarakani na visivyo madarakani kwenye mijadala moja wa mageuzi. hilo ni kosa kitaalamu na kitaaluma 🐒

sasa kama huko CCM pia kunahitaji, mabadiliko, marekebisho, kujisahihisha ama kujirekebisha itafahamika muda ukifika 🐒
 
Back to topic can you mention just a few usikivu wa CCM Kwa wananchi kama mtaalam?
actually,
nitajibu hayo na mengine kwa wakati muafaka siku ya topic husika..

but zingatia maelezo na ushauri mujarabu sana dhidi ya vyama vya siasa vya UDP, CHADEMA NA CUF, ni muhimu zaidi ili kukuza na kuchochea demokrasia nchini 🐒
 
ni muhimu zaidi ukawa mstahimilivu na mwenyewe subra. wakati muafaka wa topic husika nitafundisha kuhusu hicho na utapata fursa nzur zaid kuuliza zaidi...

Na kitaalamu huwezi changanya vyama vilivyo madarakani na visivyo madarakani kwenye mijadala moja wa mageuzi. hilo ni kosa kitaalamu na kitaaluma 🐒

sasa kama huko CCM pia kunahitaji, mabadiliko, marekebisho, kujisahihisha ama kujirekebisha itafahamika muda ukifika 🐒
Unakwrpa kwepa sana, tofauti ya chama kilicho madarakani na kingine ni madara tu na mambo machache. Vyama vyote vinahitaji mabadiliko na marekebisho makubwa mno
 
Unakwrpa kwepa sana, tofauti ya chama kilicho madarakani na kingine ni madara tu na mambo machache. Vyama vyote vinahitaji mabadiliko na marekebisho makubwa mno
sasa si uandike uzi kama understanding yako iko hivyo kuhusu mambo haya muhimu sana ya kitaalamu 🤣
 
Hakuna mabadiliko yoyote (labda ya sare) yatakayoweza kufanywa na vyama vya upinzani ikiwa ccm na mawakala wake (vyombo vya dola) hawatabadilika kimfumo na kuheshimu demokrasia na mawazo ya watu.
 
Hakuna mabadiliko yoyote (labda ya sare) yatakayoweza kufanywa na vyama vya upinzani ikiwa ccm na mawakala wake (vyombo vya dola) hawatabadilika kimfumo na kuheshimu demokrasia na mawazo ya watu.
kwahivyo mabadiliko ya vyama vya upinzani yatategemea mabadiliko ya CCM right?🤣

sasa si upinzani utatawaliwa daima na milele na CCM gentleman?🤣
 
kwasababu ya umuhimu na uzito wa wa jambo lenyewe, na kama mtaalamu wa mambo haya,

itakua si haki kuzungumza mambo mengi kwa wakati moja.

To be honest,
I think that one will be the topic for other day gentleman 🐒
Hata kama una utaalamu, mpaka uache ushabiki wa CCM ndiyo utasikilizwa. Wewe na mwasambwa ni kundi Moja tunakujua.
 
kwahivyo mabadiliko ya vyama vya upinzani yatategemea mabadiliko ya CCM right?🤣

sasa si upinzani utatawaliwa daima na milele na CCM gentleman?🤣
Ccm haitawali upinzani, inatawala kwa kuwa bado watanzania tu mbumbumbu na bado tunaishi zama za kikoloni
 
Back
Top Bottom