UDP,CHADEMA, CUF N.K PANAHITAJIKA MABADILIKO MAKUBWA MNO YA KIMFUMO, KIKATIBA NA KIUONGOZI ILI KUWE NA TIJA YA KISIASA MPAKA KWENYE MAISHA YA WANANCHI

UDP,CHADEMA, CUF N.K PANAHITAJIKA MABADILIKO MAKUBWA MNO YA KIMFUMO, KIKATIBA NA KIUONGOZI ILI KUWE NA TIJA YA KISIASA MPAKA KWENYE MAISHA YA WANANCHI

Ccm haitawali upinzani, inatawala kwa kuwa bado watanzania tu mbumbumbu na bado tunaishi zama za kikoloni
nadhani hakuna haja kudhihaki wala kusingizia wananchi na waTanzania kwa ujumla,

ungalikua muerevu,
nadhani ungekuja na mawazo mapya na fikra mbadala, za kushawishi na kubadili mitazamo ya hao unao walaumu, na kukuunga mkono na kukufuata wewe...

badala yake unajipa umuhimu usiostahili wewe, na kudhihaki uelewa wa waTanzania, huku wewe mwenyewe ukiwa na mihemko na ujasiri wa kuwabeza waTanzania tu, na si kingine..

na hiyo ni useless gentleman 🐒
 
Hata kama una utaalamu, mpaka uache ushabiki wa CCM ndiyo utasikilizwa. Wewe na mwasambwa ni kundi Moja tunakujua.
gentleman,
mimi si lazimishi mtu kunisikiliza hata kidogo. Silazimishi pia mawaidha, nasaha na ushauri wangu wa kitaalamu uzingatiwe kwa lazima hata kidogo, ni hiyari yao, kuzingatia au kupuuzia..

Infact,
najulikana zaidi jimboni kwangu na wananchi wangu, ambapo maelfu ya wananchi wananiskiza kwa makini sana, wananiheshimu mno, wananiamini sana, na kwakweli wananiunga mkono kwa uhakika sana 🐒
 
nadhani hakuna haja kudhihaki wala kusingizia wananchi na waTanzania kwa ujumla,

ungalikua muerevu,
nadhani ungekuja na mawazo mapya na fikra mbadala, za kushawishi na kubadili mitazamo ya hao unao walaumu, na kukuunga mkono na kukufuata wewe...

badala yake unajipa umuhimu usiostahili wewe, na kudhihaki uelewa wa waTanzania, huku wewe mwenyewe ukiwa na mihemko na ujasiri wa kuwabeza waTanzania tu, na si kingine..

na hiyo ni useless gentleman 🐒
Hujui hata kuandika vizuri, hujui matumizi ya herufi kubwa na ndogo. Upatanishi wa kisarufi unakupiga chenga. Ninyi ndo mtaji wa chama cha Nyerere kilichokufa na mawazo yake.
 
vinginevyo kwa mazingira na hali ya siasa ilivyo hivi sasa, bado vyama hivyo havitakua na msaada wala mchango wowote katika kusaidia kuchochea au kuhamasisha mabadiliko au mageuzi yoyote katika maendeleo ya wanainchi kisiasa, kijamii na kiuchumi nchini,

Kazi ambayo, kipekee sana imekua inafanywa kwa ufanisi mkubwa mno na serikali sikivu ya CCM, chini ya kiongozi madhubuti, na kipenzi pekee cha wa Tanzania wote Dr. Samia Suluhu Hassan..

Kusipofanyika mabadiliko ya kimfumo, katiba na uongozi ndani ya vyama hivyo, basi kuna kila dalili mambo yale yale ya miaka nenda miaka rudi, yasiyo na tija wala maana yatafanyika tena hapo katikatika kuelekea uchaguzi mkuu.

kwa mfano, kuna dalili za kususia uchaguzi, kugomea matokeo, kuandamana kusikoeleweka, kuzira kushirikiana na taasisi fulani fulani kama vile vyombo vya habari na ulinzi, Lakini pia kuna kuungana kwa vyama vyama vya siasa kimila au kienyeji bila kua na makubaliano maalumu ya kisheria n.k

Kusipofanyika mabadiliko yoyote ya kimfumo, basi vituko, hadaa na sarakasi za viongozi wa vyama hivyo vya siasa vitaendelea kila kukicha. Kwa mfano sasa hivi Chadema wameandaa maandamano haramu ambayo yamepigwa marufuku na polisi, huku viongozi wao karibu wote wakiwa standby na tiketi za ndege mkononi, tayari kukwea pipa mambo yakiwa moto na kutokomea ughaibuni, huku hawa wananchi wa kawaaida makapuku wakiendelea kuchezea virungu, kuteguliwa viuno na taya na kusota korokoroni bila msaada wakati wenyewe wanakula bata ughaibuni.

halafu baadae wakiwa huko ughaibuni, wanaanza kuuliza tena makapuku hao hao,kwamba tuje au tusije, wakati walikimbia..

eti andaeni mapokezi airport tarehe fulani tunakuja 🤣

Akili za kuambiwa Changanya Na zako 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Upo sawa, kwa kuwa kinachonishangaza, ni kuwa na viongoz wa kudumu kwenye hivyo vyama. Halafu wanadai democracy wakati kwenye vyama hakuna democracy. Wapo Kama watu wasiojielewa.
 
Hujui hata kuandika vizuri, hujui matumizi ya herufi kubwa na ndogo. Upatanishi wa kisarufi unakupiga chenga. Ninyi ndo mtaji wa chama cha Nyerere kilichokufa na mawazo yake.
kumbe namuelekeza mwalimu wa kiswahili 🤣

sasa walimu mnakuja kufanya nini huku kwenye siasa na nyie? 🤣

haya mambo ya siasa ni mazito kidogo ndrugo zango. Ni muhimu zaidi mkajikita kufundisha vijana wetu ili haya makosa tunayoyafanya wazazi wao wasiyarudie na wao, sawa mwalimu?

haya nenda ukasahishe mitihani ya wanafunzi nisikuone tena humu jukwaani, sawa?

upo wilaya gani kwanza?🐒
 
Kiuhalisia hivi vyama vya upinzani kwa sasa vinakatisha tamaa na nadhan hakuna kipindi vyama hivi hasa chadema aalivuna wanachama kama kipindi cha RICHMOND N.K ile chadema ya zitto kabwe john mnyika huku CUF yupo julius mtatiro NCCR unawapata vichwa pia dah.
kwani kipindi hicho wakuwa wanajadili changamoto za wananchi.
Ila sasa hivi. Sukari bei juu, mafuta ya kula bei juu, tozo kila mahali lkn wao kimya. Na kwanza hawana ajenda yyte ile inayoonesha kuwa wao wana nini cha ziada tofauti na CCM. Wanabaki tu ni watu wa kusubiri mafukio na kuyarukia kwa siku kadhaa kisha kutulia tuli.
 
Back
Top Bottom