UDSM, MUHAS & UDOM Vinashika Nafasi Tatu za juu kwa Vyuo Vikuu Kumi Bora Tanzania

UDSM, MUHAS & UDOM Vinashika Nafasi Tatu za juu kwa Vyuo Vikuu Kumi Bora Tanzania

UDOM????[emoji849][emoji849][emoji849]
Bwana Azarel ndiyo ulitambue sasa hata kama ni kishingo upande. Ukitaka kuamini zaidi nenda utafute vyanzo vyovyote unavyoviamini vinavyotoa ranks za vyuo bora Tanzania, kila mwaka Udom ipo top 4.
 
Mbona tukikutana kufanya masters CPA nk hivyo ulivyotaja hatuoni wakifanya vema zaidi?
Bwana adobe uko sahihi hivi vyuo kwenye kozi za CPA viko hovyo, lakini vinabebwa na kozi nyingine.
 
Chunguza. Kama huta kuta jopo lote ni Wazungu. Hawa wa kwetu huwepo kuangalia tu. Hata zile oparation za Moyo huwa ni Wazungu /Wahindi. Hawa wa Tz hata Jicho tu uki cheza unakuwa Kipofu.
Bwana WAZO2010 kuthibitisha madai yako ni ngumu sana kwa sababu wakati wa tukio sishuhudii kwa macho yangu. Lakini pamoja na hilo bado kushiriki kwao hauwezi kukudharau ni moja ya hatua kubwa sana.
 
Madam cocastic vyuo vyote vya Serikali ni div 2 mwisho kwa Ngazi ya degree, kwahiyo uko sahihi.
Si kweli ,vigezo mwisho kuwa principal pass 2 mfano CCF au CDF hizo zote ni three lakini mtu anapata vyuo vya serikali kwa ngazi ya degree mwaka jana miaka ya nyuma watu wanasoma wakiwa na ufaulu huo Ardhi, SuA , UDom nk
 
Kila mtu angeandika mawazo ya kweli kuhusu chuo basi haya mambo ya udsm,udom,sua yangeisha.

Nimesoma udsm miaka hiyo ikiwa udsm ila ukiniambia udsm leo ikoje siwezi kuanza kusifia.

Kila chuo kina eneo kiko vizuri na kwingine bado sana,SUA kuna eneo wako njema (mfano VET hata huyo Prof ni wa VET),nina staff kadhaa wa pale tunakutana huku kwenye makongamano,na wanafanya kazi kubwa,ila kuna college zimelala hakuna lolote la maana zinafanya.

Udsm pale engineering wako na kazi nzuri pia,huku CONAS bado.

Udom CIVE wako mbali sana,CNMS bado sana.

Ingewezekana tuanze kufanya ranking kwa level ya college za vyuo sio vyuo vizima utakuta tunasema chuo fulani bora huku hata maabara za kueleweka hawana mfano nenda Udom,Udsm na Sua halafu rudi na hitimisho.

Sijaandika kuhusu MUST hawa wako mbali na wanajitahidi japo wanaanza ,DIT na ATC si universities ila wako vizuri.
Z
Bwana spirit of Tanzania, umegusua jambo muhimu sana
 
Si kweli ,vigezo mwisho kuwa principal pass 2 mfano CCF au CDF hizo zote ni three lakini mtu anapata vyuo vya serikali kwa ngazi ya degree mwaka jana miaka ya nyuma watu wanasoma wakiwa na ufaulu huo Ardhi, SuA , UDom nk
Bwana adriz uko sahihi kabisa na hiyo ni kutokana na TCU GUIDE BOOK ambayo utolewa kila mwaka, pamoja na kwamba inasema ni principle pass mbili bado kuna vigezo vingine mfano ufaulu wa masomo husika kwenye kozi husika kwa level ya form six na form four, kwahiyo bado unaweza ukawa na division 2 ya 10 au 11 au hata 1 ya 9 n.k ila ukakosa admission mfano kozi za engineering iwe chemical, civil, n.k zinahitaji mtu awe amefaulu masomo ya Kemia, Hesabu na Fizikia angalau C kwa o level au A level bila kujali anazo hizo principle pass mbili zilizowekwa.


Watu wote niliosoma nao mimi hakuna mtu hata mmoja aliyepata admission ya Udsm , sua, Udom bila ufaulu wa div 1 na 2.

Mwisho kabisa uwezi kuwa na F Yoyote kwa masomo ya combination ukapata admission kwenye vyuo vya Serikali nilivyovitaja hapa, hata uwe na BBF na mwingine DCD huyu ataipata admission kirahisi sana kuliko huyo mwenye BBF
 
Baada ya kufanya utafiti mdogo kuhusu vyuo kumi bora Tanzania, nimejiridhisha vya kutosha vyuo nitakavyo vitaja hapa ndivyo vyuo kumi bora kwasasa hapa Tanzania. Katika utafiti huu mdogo nimezingatia machapisho ya chuo husika kwenye international journals, tafiti za chuo husika, mchango wa chuo husika katika suala zima la maendeleo na vyanzo vikuu nane vinavyo toa orodha ya vyuo bora katika nchi mbali mbali na duniani kwa ujumla, ambavyo vyanzo hivyo ni www.webometric.com, www.TimesHigherEducation.com, www.AcademicRankingofWorldUniversities.com, www.Quacquarellisymonds.com, www.EduRank.com, www.ShanghaiRankingConsultancy, www.UniversityGru.com bila kuisahau TCU.

Kwasasa hapa Tanzania vyuo vifuatavyo ndivyo vyuo kumi bora

1. University of Dar es salaam(UDSM)- Acceptance 75%
View attachment 2278312


2. Muhimbili University of Health and Allied Sciences(MUHAS)- Acceptance 68%

View attachment 2278314

3. University of Dodoma (UDOM)- Acceptance 65%
View attachment 2278303

4. Sokoine University of Agriculture(SUA) - Acceptance 63%
View attachment 2278304

5. Ardhi University- Acceptance 58%
View attachment 2278321

6. Mzumbe University- Acceptance 48%
View attachment 2278306

7. Nelson Mandela African Institution of Science and Technology- Acceptance 48%

View attachment 2278307

8. State University of Zanzibar-Acceptance 41%

View attachment 2278308

9. Hubert Kairuki Memorial University-Acceptance 36%
View attachment 2278315

10.ST Joseph University of Tanzania- Acceptance 33%

View attachment 2278310



N.B
Katika kufanya upembuzi wangu huu, sijatumia chanzo kimoja ili kupata ranking hii, hapa nimetumia vyanzo nane vinavyojihusisha na ranking za vyuo vikuu kama nilivyozitaja huko juu.

Wanafunzi na wazazi hivi ndivyo vyuo vikuu vya hapa Tanzania ambavyo mwanafunzi/mtu anaweza kusoma na kutambulika ndani na nje ya nchi kirahisi.

Imeandikwa na Annunaki.
Sawa. Dotto Biteko alisoma SAUT sasa ni Waziri wa Madini. Na anafanya vizuri kweri kweri.
 
Hvyo kwangu ni kama college ndo maana hata nilipopata nafasi ya kwenda udsm nikaghairi kusoma hapo...!!

#MIT
 
Bwana Ngalikihinja ni kweli watapinga ila kitu kimoja wanachotakiwa kujua ni kwamba pamoja na Udsm kushuka kwenye ranking za kimataifa, bado kwa hapa Tanzania kinashika namba moja hata kwenye references zote nilizotumia kimetokea kama chuo namba moja kwa hapa Tanzania.
Oky kwahiyo kinashika namba moja kwa wajinga wenzie! kwahiyo na chenyewe nichakijinga full stop!
 
Bwana Eroni ubora wa elimu yetu unashuka lakini pamoja na kushuka kwake, vyuo nilivyoona at least vinajitahidi kulingana na utafiti wangu huu mdogo ni hivyo nilivyovitaja.
Sema tukwamba wanaregister wenye div za juu sana ndomana product yao ni nzuri!
 
Back
Top Bottom