Camp Gilgal
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,453
- 4,592
Aya sasa, mnatoka round ya 16 kwa mara ya 6 mfululizo. Teh!arsenal tunaomba watupangie Bayern au Madrid tuuzilishie ulimwengu sio watu wa kospot spot
Bila shaka mkuu,kikubwa ni kuzuia wasitufunge nyumbani Emarates.mbona huwa tunabahati mbaya sana... Nifah Mwana Mtoka Pabaya tutachomoka kweli??
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Watakoma sijui walikosa majina hadi kujiita..... Mashetani wekundu...
Na walaaniwe sh@Πz zao.....[emoji2][emoji2]
Hapana...huwa wanatufunga home 3-1 alwaysKama kawaida yenu mtapigwa 3-0 halafu mkija kwenu mnashinda 2-1 mnabaki kusema na sisi tumewafunga wakati mshatoka!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huu msemo nimeusikia misimu zaidi ya 10!
Bora Yanga walifika roboKama YANGA, au sio.
Always huwa anachezea kichapo.Na huyo Bayern anajua nini huwa tunamfanya pale GERMANY
Leicester yupoooSafari ya Leicester imeishia hapoo
maskin, pole lakinBayern Munich hawatutishi tutawapiga tu. Kuonyesha hatukubahatisha kuongoza kundi
Isipozungumziwa Arsenal ni club gani tena?Mti wenye matunda lazima utupiwe mawe. Wewe mwenyewe julize kiutu uzima inakuweje droo ya timu kumi na sita izungumziwe Arsenal pekee.
nilikuwa nawaza tu mkuu..Tetemeko limekuathiri sana. Sasa Chelsea inapitia mlango gani wakati ilimaliza na namba ya kiatu cha Nwanko Kanu?
Hahahahaha ukiwauliza swali HV KWA NINI NYIE MMESHINDWA KUSHIRIK CHAMPIONS LEAGUE huwa hawawez kujib straightIsipozungumziwa Arsenal ni club gani tena?
Na wengi ni mashabiki looser wa Man U.
Naona wengerr anashughulikiaa kukata rufaaaArsenal club kubwa, chama langu kipenzi.
Katika timu zote why inaongelewa Arsenal peke yake?
Attention kubwa ni kuona Arsenal atapangiwa nani katika hatua ya mtoano. (Na hii ni kila mwaka)
Yeyote tutakayepangiwa kukutana na sisi ana bahati mbaya.
Mwaka huu tumeamua,kikombe kikubwa ni lazima.
COYG [emoji123] [emoji379]
boooooooo