UEFA Champions League Draw

UEFA Champions League Draw

Kama kawaida yenu mtapigwa 3-0 halafu mkija kwenu mnashinda 2-1 mnabaki kusema na sisi tumewafunga wakati mshatoka!
Hapana...huwa wanatufunga home 3-1 always
Nasi tunawafunga 2-0,2-1 kwao.
What a coincidence?
Ila mwaka huu hatutaki mchezo.
Utaona...
 
Mti wenye matunda lazima utupiwe mawe. Wewe mwenyewe julize kiutu uzima inakuweje droo ya timu kumi na sita izungumziwe Arsenal pekee.
Isipozungumziwa Arsenal ni club gani tena?
Na wengi ni mashabiki looser wa Man U.
 
Isipozungumziwa Arsenal ni club gani tena?
Na wengi ni mashabiki looser wa Man U.
Hahahahaha ukiwauliza swali HV KWA NINI NYIE MMESHINDWA KUSHIRIK CHAMPIONS LEAGUE huwa hawawez kujib straight
 
Arsenal club kubwa, chama langu kipenzi.
Katika timu zote why inaongelewa Arsenal peke yake?
Attention kubwa ni kuona Arsenal atapangiwa nani katika hatua ya mtoano. (Na hii ni kila mwaka)

Yeyote tutakayepangiwa kukutana na sisi ana bahati mbaya.
Mwaka huu tumeamua,kikombe kikubwa ni lazima.
COYG [emoji123] [emoji379]
Naona wengerr anashughulikiaa kukata rufaaa
 
Safi sana wale wazee wa mdomo mdomo
Kukutana na wajerumani!!
Hahaha!! Safari hiyooooooooo
 
Breaking news
Rufaa aliyokata wenger dhidi ya Bayern Munich yakubaliwa na muda wowote Arsenal itapangiwa team nyingne.
Arsenal fans hawana budi kujipongeza
 
Back
Top Bottom