United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Wew nani amekwambia kipindi kile timu ndogo zilikua hazipati matokea Anifield na ETIHAD kuna kipindi ligi ya EPL ilikua Nguma kama kipindi cha Ferguson,wenger,Jose,Roy Hoodson wapo kwenye ubora wao 2017/2018 city kabeba ubigwa kwa point 100 kipind cha Ferguson,Benitez usingeshudia uwo upumbavu unatokea ata mara moja kijanaArsenal ya sasa inaupiga mwingi, huu ndio ukweli, hata suala la unbeaten kwa sasa usilete kwasababu ushindani ni mkubwa tofauti na miaka ile, leo hii hata timu ya mwisho kwenye msimamo inaweza pata magoli Anfield, Etihad au Emirates.
EPL kuna ushindani zaidi kuliko Bundesliga, kama hutaki kukubali hili ni uamuzi wako.Mkuu usinichekeshe, nafasi aliyopo bayern kwa ligi yao sio ya kubeza kabisa. Sisi nafasi tuliyopo tunatofautiana point ngapi na anaetufuatia? Msimu uliopita ilikuaje kwetu?
Bayern kwenye ligi ameshajikatia tamaa ila sio huku kwenye UEFA, timu ambayo aggregate iliwahi kusoma 10 goals sio ya kuichukulia poa ata kama inapitia kipindi kigumu.
Arsenal tuna mlima wa kupanda kuitoa bayern, kwangu uwezi nishawishi niamini kuwa atletico ni mgumu kuliko bayern.
Kwangu bora Arsenal acheze na R. Madrid nusu fainali kuliko kucheza na Man City.Safari Man City hachomoki
Mechi moja tu kucheza vibaya haiwaondoi kuwapa nafasi ya kutwaa ubingwa mkuu.Sidhani jinsi walivyocheza na liver wakadraw primier league wameshuka sana
Nasisitiza, ligi ya wakati huu ni bora kuliko za misimu ya nyuma, siku hizi timu inachukua ubingwa mpaka kwa tofauti ya pointi mbili, jambo ambalo miaka ya nyuma halikuwepo.Wew nani amekwambia kipindi kile timu ndogo zilikua hazipati matokea Anifield na ETIHAD kuna kipindi ligi ya EPL ilikua Nguma kama kipindi cha Ferguson,wenger,Jose,Roy Hoodson wapo kwenye ubora wao 2017/2018 city kabeba ubigwa kwa point 100 kipind cha Ferguson,Benitez usingeshudia uwo upumbavu unatokea ata mara moja kijana
Huu ndio udhaifu wa Bayern ya msimu huu ambao wengi wanaonekana hawaujui, wao wamekariri tu ile Bayern Munich ya miaka ya nyuma.Bayern anayefungwa na Entrach Frankfurt goli 5,Bayern anayefungwa na Bochum timu ya 5 kutoka mwisho goli 3,Bayern anayefungwa na Bayer Leverkusen goli 3,Bayern aliyezidiwa Point 10 na Leverkusen HATUTISHI,In Gunners We Trust
Sawa mkuu tungoje matokeo tuone yatakuwaje.EPL kuna ushindani zaidi kuliko Bundesliga, kama hutaki kukubali hili ni uamuzi wako.
Nakwambia tena, kwa kigezo cha current form, Arsenal yuko juu ya Bayern... wamepoteza mechi nyingi sana msimu huu na wale Borrussia sio wazuri nao ni dhaifu.
Nasema tena, kwangu ni afadhali ya Bayern kuliko Atletico wenye best defensive records kwenye hii michuano, naona Arsenal watatengeneza nafasi nyingi za kufunga dhidi ya Bayern, kuliko kama wangecheza na Atletico Madrid.
Hata kama mpira hautabiriki.
Daah mpira hauko hivyo mkuu, Bayern anaweza akawa anapigwa na hizo timu ila akakutana na Arsenal ukawa mchezo tofautiBayern anayefungwa na Entrach Frankfurt goli 5,Bayern anayefungwa na Bochum timu ya 5 kutoka mwisho goli 3,Bayern anayefungwa na Bayer Leverkusen goli 3 HATUTISHI
Bayern ni wazuri hata kama wanapitia kipindi kigumu. Kuna timu experience zinawabeba kwenye michuaono hii mikubwa mfano Real madrid.Ukizingatia wakati huo Kingsley Coman na Serge Jinabry watakuwa wameshapona.
Wanachambua kimahaba wanasahau huyo bayern ni timu ambayo huwa inatuangushia kipigo kikali sana ndani ya UEFA.Daah mpira hauko hivyo mkuu, Bayern anaweza akawa anapigwa na hizo timu ila akakutana na Arsenal ukawa mchezo tofauti
Kama ni hivyo basi nanyi msiwachukulie poa madogo wa Arsenal,wana Ari ya kupambana na kuweka historia hivyo lolote linaweza kutokea,kikubwa ni Wanaume 22 wataingia Uwanjani wakiwa na miguu 44,Bayern hawatakuwa na miguu 60 na Arsenal 22,Mpira unadundaDaah mpira hauko hivyo mkuu, Bayern anaweza akawa anapigwa na hizo timu ila akakutana na Arsenal ukawa mchezo tofauti
NakaziaWanachambua kimahaba wanasahau huyo bayern ni timu ambayo huwa inatuangushia kipigo kikali sana ndani ya UEFA.
Kwangu hii mechi haitokuwa rahisi.
2009/10 chelsea kabeba ubigwa mbele ya United kwa tofauti ya point moja tu kijana au wew ulikua hujaaza kutazama mpira 2011/12 City kabeba ubigwa wa EPL kwa tofauti ya magoli mbele ya United au Wew ulikua haupoNasisitiza, ligi ya wakati huu ni bora kuliko za misimu ya nyuma, siku hizi timu inachukua ubingwa mpaka kwa tofauti ya pointi mbili, jambo ambalo miaka ya nyuma halikuwepo.
Alikuwa bado kijijini kwao anakula “furu”2009/10 chelsea kabebe ubigwa mbele ya United kwa tofauti ya point moja tu kijana au wew ulikua hujaaza kutazama mpira 2011/12 City kabeba ubigwa wa EPL kwa tofauti ya magoli mbele ya United au Wew ulikua haupo
Final