joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Uzuri JF inatunza risiti tutarudi hapa, ila Bayern haitishi misimu ya hivi karibuni.Huu uzi ubaki kama reference, Arsenal hata acheze mechi 20 na Bayern Munich hawezi kufurukuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri JF inatunza risiti tutarudi hapa, ila Bayern haitishi misimu ya hivi karibuni.Huu uzi ubaki kama reference, Arsenal hata acheze mechi 20 na Bayern Munich hawezi kufurukuta
Kwani msimu umeisha?Hii Arsenal ya sasa hivi imefanya kitu gani cha maana?
Alisema za ma dj hana si unakumbuka kile kipind nimefutiwa movies zote kwenye PcItakuwa anaangalia zilizowekwa maneno ya kiswahili na ma dj
🤣🤣Kikundi cha watoto wa mama kizimkazi🤣🤣🤣Huwa nadanganya tu, kwani drama cool ndo nini huko daslam🤓🤓
Muongo huyo sasa kama katuambia movie ya mwaka 2022 inatoka mwaka huu si muhuni huyu 😁😂😂Alisema za ma dj hana si unakumbuka kile kipind nimefutiwa movies zote kwenye Pc
Utakuja kuona historia sasa sit 🪑 and relaxKwani msimu umeisha?
kwani msimu huu hiyo Bayern imefanya kitu gani cha maana? Unazungumzia timu iliyo kula tatu na Liverkunsen ikaja ikala tano.
Zungumzia current form na si historia.
Tupo uzuri JF ipo tutakumbushana.......Utakuja kuona historia sasa sit 🪑 and relax
😂😂😂😂Tatizo anaangalia sana movies😂😂😂mpaka anasahauMuongo huyo sasa kama katuambia movie ya mwaka 2022 inatoka mwaka huu si muhuni huyu 😁😂😂
Aisee ko ndo wale wauza nyama za iringa ehh🤓😃🤣🤣Kikundi cha watoto wa mama kizimkazi🤣🤣🤣
robo tenaSpain ameingiza timu 3 kwa vyovyote vile timu mbili zitakutana hatua ya robo.
Naiona El Clasico au Madrid derby katika hatua ya robo
😁😂😂😂😂😂😂Tatizo anaangalia sana movies😂😂😂mpaka anasahau
😂😂😂 Afu umesikia kuna soko North korea hukoAisee ko ndo wale wauza nyama za iringa ehh🤓😃
Sitaki matatizo na kim jong UN🤓😂😂😂 Afu umesikia kuna soko North korea huko
Wametangaza leo kuwa waanze kufuga mbwa kwa ajili ya kula😃😃Sitaki matatizo na kim jong UN🤓
Ko mi ndo mbwa au😆🤓Wametangaza leo kuwa waanze kufuga mbwa kwa ajili ya kula😃😃
Me nimekuambia soko lipo north korea unapoenda china kwenye movies zako beba mzigo wa kutosha😃😃😃Ko mi ndo mbwa au😆🤓
achana nao mkuu kuna vichaa wengi sana hili jukwaa anasahau kama Bayern munich kabeba champions leauge 2020 Tena kwa kumpasau Barcelona goli Nane kwenye Robo fainali .Ni kichaa Tu na Mtoto anaweza kuwadharau Bayern Munich kwenye Champions leaugeWatanzania bhana