vn_warehouse
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 648
- 854
Team spain tujuane mapema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok sawa mkuuUkilinganisha mpira wa ufaransa ujerumani na england utasemaje?
Ndio mpira ukiwa hauko upande wako ni unfair ukiwa upande wako furahaMpira wa uleya umekosa mvuto kwasbb ya upendeleo na VAR, wingereza haikupswa kufuka hata nusu fainali, timu mbovu haina mfumo, ila ilipagiwa kundi bomvu, na msaada wa VAR kupewa panati, na kwa 70% anaweza akapeba kombe kisa siasa za uefa......bora mara 100 Afcon alikua na mvuto na var ilikua ya mfano.
Kane ni kama lavalava, GunduKane anaenda kubeba kombe lake la kwanza katika historia ya soka
Yupo.Ivi yule paka wa siku ile Yuko wapi,nataka nitie mzigo
Leo anabeba kombe na golden bootKane ni kama lavalava, Gundu
Wapambane haswa hadi jasho livuje maeneoLeo anabeba kombe na golden boot