Kwanza simba iwashukuru sana Wazambia kuwasaidia kufungaMpaka kufika mwezi Dec hizi ngebe za utani dhidi ya Yanga zitakua zimeisha. Oooh usidhani huku ni shirikisho, ooh huku kwa wakubwa, ooh huku hakuna vibonde. Sasa nasemaje tutaelewana tu, Yanga iko kuwaprove wrong vishokomzobe vyenye ubingwa wa robo fainali kila msimu
Hata kama ikiwa hivyo, order ingekua.C iwe tu hiv bac ili kieleweke
Mamelod
Etoile du sahel
Simba
Yanga
Hawa dawa yao Yanga apangwe kundi moja na Simba tumalize kabisa kelele, wasije wakasema Yanga kapangwa kundi dhaifu. Wanapata taabu sana. Mwaka huu tunachoma vichaka vya kujificha...... Oohhhh mashindano ya wanaume... sasa tupo wote huku huku. Na point za Simba zitapungua msimu ujao.Mwanzo ilikua hamuingii makundi, ooh huku ni kwa wakubwa sasa hivi tumeingia mmekuja na pot utadhani kuna bingwa wa pot , baadae mtasema tumepangwa na vibonde andaeni maneno
Unesahau kuwaweka na Utopolo nao wanarekodi nzuri viwanja vya ugeniniHapo mwiba kwa timu zetu za Simba na Yanga ni Mamelodi Sundowns na Etoile du Sahel, Timu itakayopangiwa na hawa kundi moja itakuwa na shughuli nzito sana.
Al Ahly, Wydad na Esperance de Tunis huwa wanafungika ugenini. Mamelodi na Etoile du Sahel ni moja ya timu zenye rekodi nzuri sana viwanja vya ugenini. Hizi sio timu za kukaa nazo kundi moja.
Sikubaliani na hili ombi laoShida midomo mirefu, bora wakutane ngebe ziishe.
Umeeleweshwa sana ila naona umeamua kuchukua upande wako tuShida sio lugha,shida jinsi ya upatikanaji wa points ndio tunatofautiana
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Simba wangebaki Pot 2 kwa sababu wanalingana points na CR BelouzdadHapo mamelod angekuwa port2 kama raja angekuwep then team tatu hizo zingepambna na hali yake kwa point
Uzi ulikua mgumu kuingia hadi leo zile post siwezi kuzisoma tena.yote kwa yote kila mtu alikua na hoja yake anaitetea na ndio ivyo hamuwezi kukubaliana kila kitu, ukienda You tube Ramadhan Mbwaduke kule kaeleza hili swala kama mimi, nenda search simba ya 7 ngazi ya club utaona ameelezea kama mimi kwa kutumia Data sports, nlikua nataka nitume link ile jana Jamii forum ikazingua nikawa nashindwa kuingia kwenye huu uzi.Umeeleweshwa sana ila naona umeamua kuchukua upande wako tu
ALOOH BRO UNAMOYO SANA YANI JITU UNALIELEKEZA VIZURI, ILA BADO NI MBISHI NA WEWE HUKATI TAMAA TUMkuu ili jambo nimeanza kumueleweaha tokea jana jamaa kuelewa kawa mgumu. Kaja mtu mwingine kamuelesha kawa mgumu. Sasa wewe utakuwa mtu wa tatu sasa kumueleweaha
Uzi ulikua mgumu kuingia hadi leo zile post siwezi kuzisoma tena.yote kwa yote kila mtu alikua na hoja yake anaitetea na ndio ivyo hamuwezi kukubaliana kila kitu, ukienda You tube Ramadhan Mbwaduke kule kaeleza hili swala kama mimi, nenda search simba ya 7 ngazi ya club utaona ameelezea kama mimi kwa kutumia Data sports, nlikua nataka nitume link ile jana Jamii forum ikazingua nikawa nashindwa kuingia kwenye huu uzi.
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Ni kweli maana Wazambia waliukokota mpira kuanzia katikati wakawa wanapasiana kuelekea lango lao huku wakiwatoka washambuliaji wa Simba, kisha wakafumua shuti kumfunga kipa waoKwanza simba iwashukuru sana Wazambia kuwasaidia kufunga
Panapo uhai tutakutana tena, kwa mpira ule, labda wabadilike.Kila msimu wa mashindano, Simba Sc huchukuliwa kama vibonde wa group ila hawajawahi kubaki.
Simba Sc ikiingia makundi break ya kwanza ni robo fainali, si vinginevyo.
Hawajui kuwa Simba atapenya robo fainali halafu wabaki wanapigania nafasi za ranking tu ?
pole mkuu,Msimu wa 18/19 ushafutika ndugu yangu. CAF wanahesabu hivi
2019/20 points wanazidisha na 1
2020/21 points wanazidisha na 2
2021/22 points wanazidisha kwa 3
2022/23 points wanazidisha kwa4
2023/24 huu tulionao hadi sasa hamna timu yenye points kizidishio ni 0 ili kupata current ranks msimu ukiisha poi nts zitazidishwa kwa 5. Hapa nadhani ndio hatulewani kwakua tunaubeba msimu wa 2023 kuuzidisha kwa 5
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Ngoja niwaachie na nyie wenzangu maana mimi nimeshanawa mikono, huyu jamaa nimebidi nimwache na ubishi wake.pole mkuu,
kwaio ranking za kupanga timu gani iwe pot 1, 2, 3 &4 kwa msimu huu tunaouanza walitumia miaka 5 ipi? maana ndio hoja iliyo ubaoni,
Unaelewa maana ya "Not more than 2 teams"? Haijasema not more than 1 team. Elewa lugha. Hiyo attachment yako ina maana zisizidi teams mbili kutoka association moja kwenye group.Haiwezekani timu mbili kutoka nchi moja kupangwa kundi moja, according to CAF league regulations
Marekebisho: Belouizdad katolewa jana hivyo Tp Mazembe ataenda pot 2 na Etoil du Sahel atapanda hadi pot 3.Pot 1:
Al Ahly
Wydad AC
Espérance de Tunis
Mamelodi Sundowns
Pot 2:
CR Belouizdad
Pyramids
Simba
Petro de Luanda
Pot 3:
TP Mazembe
Al Hilal
Young Africans
ASEC Mimosas
Pot 4:
Étoile du Sahel
Jwaneng Galaxy
Nouadhibou
Medeama
NB:
1. Kuna baadhi ya mechi (tatu) zinaendelea, ila uelekeo ndio huo
2. Pots sio groups za competition, bali ni class za ubora wa clubs
3. Timu zilizo katika pot moja haziwezi kukutana. Ukiondoa condition hiyo, hakuna condition nyingine inayozuia club zisizoshea pot kukutana katika group. Hata club kutoka nchi moja zinaweza kukutana katika group moja iwapo hazimo katika pot moja
Hapa umemaliza ubishi wake.Fahamu kuwa hii ni hatua ya makundi. Kule kwenye preliminaries ndio huwa wanakwepesha
Angalia hili group la 2021/22 ambapo timu za Sudan zilikuwa group moja
View attachment 2769409
Kabisa.Shida midomo mirefu, bora wakutane ngebe ziishe.