Uendeshaji wa boda boda na baiskeli kwa muda mrefu unapunguza nguvu za kiume; waendesha boda boda kuweni makini

Uendeshaji wa boda boda na baiskeli kwa muda mrefu unapunguza nguvu za kiume; waendesha boda boda kuweni makini

Kweli Mkuu,
Ni vzr mtu ajue ukweli.
Suala la kuufanyia kazi ni juu yake.
Ahsante sana
Mkuu kuna vitu watu wanasita kuvizungumzia kwa uwazi ijapokuwa kwa sasa vipo kwa wingi katika jamii yetu ya Kitanzania. "Moral rejuvenation" imefikia kiwango cha kutisha, huku kukiwa na "misconception" kuwa ushoga ni kwa upande wa wanaume tu.

Upande wa wanawake hauzumgumzi kwa uwazi ijapokuwa tunatambua kiwango cha kutisha cha ukahaba. Na mtazamo juu ya ukahaba unaangaliwa kama dalili za tatizo wala siyo kama matokeo ya tatizo sugu lililopo. Malaya wengine hawatumiki kwa ajili ya kujipatia kipato haramu, wengine ni kwa kuwa hawatoshelezwi na wenzi wao.

Hivi kwa nini hatujiulizi kwa nini kumetokea soko kubwa la "dildo" hivi sasa hapa nchini!? Tena nyingine hata za mitumba zikiuzwa hadharani. Hii ni kwa sababu wakina mama wameamua kujipimia wao wenyewe, kwa kuwa wenzi wao wanawaangusha wawapo kwenye sita kwa sita.

Mambo yanayoathiri "libido" ni lazima yaongelewe kwa uwazi, vijana wa kiume washauriwe kuzingatia mambo ya ushauri nasaha, na vijana wawe wanahudhuria mara kwa mara ili wapate utulivu wa kiakili wawapo ndani eneo la kujidai. Wale lishe bora na yenye virutubisho, na pia wafanye mazoezi ya kutosha. Kukwepa kufanya hivyo wataishia kutumia vumbi la Kongo, kunywa supu ya pweza na ngisi, kuweka ugolo kwenye dudu zao, kutafuta stimu kupitia bange, n.k. lakini "performance" bado itabakia kuwa "zero".
 
Tena sana!
Japo kwa nje huonekana boda boda wengi ni malaya, lakini ukiwafuatilia, wengi wao wanasumbuliwa na matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.
So sad!
Tunajiboost na double kick na visungura tukiwa na game na ndio maana tunazikimbiza kamguu kakiwa kamening'inia
 
UENDESHAJI WA BODA BODA NA BAISKELI KWA MUDA MREFU UNAPUNGUZA NGUVU ZA KIUME; WAENDESHA BODA BODA KUWENI MAKINI.

Leo naenda kwenye mada moja kwa moja, maana hili ni suala nyeti sana.

Kwa sababu wengi huwa tunataka ushahidi, naomba kila mmoja atakayepita kwenye huu uzi, akafanye utafiti wake mwenyewe na ikipendeza, njoo uchangie kile ulichokigundua kwenye utafiti wako kuhusiana na hili janga kwa vijana ambalo linashadidiwa na watawala eti ni ajira mbadala kwa vijana wetu wakiwemo wahitimu wa VETA, vyuo vya kawaida na vyuo vikuu hapa nchini.

Nafanya hivi kwa kuzingatia kanuni ya asili, ambayo inatutaka kuwatendea wenzetu vile ambavyo sisi wenyewe tunataka kutendewa. Kwa ufupi, kila mmoja anapaswa kuvaa viatu vya mwenzake na kufikiri kama yeye ndo angekuwa kwenye nafasi ya huyo, angejisikiaje?!!

Vijana wengi chini ya umri wa miaka 45 ambao wamejihusisha na uendeshaji wa boda boda au baiskeli kwa muda wa kuanzia miezi 6 na kuendelea, wanasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume. Hii ina maana wengi wao humaliza (hufikia mshindo wa kwanza) kwa chini ya dakika 3! Na wengi wao, hawawezi kuendelea tena baada ya bao moja!!

Ongea na vijana wanaojihusisha na hii kazi ambao mna ukaribu sana, watakuthibitishia hili ninalokushirikisha.

Wengi siku hizi wamegeukia dawa za kuongeza nguvu za kiume, ambazo bahati mbaya ni kwamba kadri unavyozitumia, ndivyo unajenga utegemezi kwa dawa hizo, na itafikia hatua, pamoja na kuzitumia, bado hutaweza kufanya tendo kwa ufanisi!

Hapo katikati, sote tulisikia Mkuu wa nchi akisema, vijana wengi siku hizi hawana nguvu za kiume kwa sababu ya kutokula vizuri. Kwa maneno mengine wanakula vibaya. Hii kauli ina ukweli kwa kiasi kikubwa, lakini siyo sababu pekee ambayo hupelekea tatizo hili ambalo kwa kweli kama lilishawahi kukukumba utagundua huwa linasababisha fedheha kubwa sana. Mwenyewe ninayeandika hizi ni mhanga kwa hiyo ninaeleza kitu ambacho nina uzoefu nacho. Narudia tena kusema, unaweza kufanya utafiti pia, halafu utuletee mrejesho. Maana lengo la huu uzi ni kusaidiana na wala siyo kumlaumu mtu au watu fulani. Janga hili ni kubwa sana japo linakuwa "underrated".

Kwa hiyo vijana, fanyeni kila linalowezekana kuhakikisha mnatafuta kazi zingine na wala msiridhike na hiyo kazi ya bodaboda kama alivyowashauri Godbless Lema.

Godbless Lema, ana maoni mazuri sana kwa Watanzania kwa ujumla. Kitu ambacho anatakiwa akiache, ni kumsema tu vibaya Hayati JPM kwani ni kipenzi cha Watanzania wengi hasa wale ambao hawako kwenye mfumo wa kulamba asali wa awamu hii.

Nimalizie kwa kuwashauri vijana; msifanye kazi ya bodaboda kuwa kazi ya maisha, kwani mbali na kupunguza nguvu za kiume, lakini pia, inazo changamoto nyingi sana.
Mjumbe hauwawi.
Karibuni sana.
Umekosea sana, achana na sisi waendesha baisikeli naona hutujui na unaongellea kwenye keyboard [emoji446]
 
Wewe stagliptin kwa sababu ni mgonjwa wa sukari, unaweza pia kuwa na changamoto hii ya upungufu wa nguvu za kiume. Lakini kwa vijana wengi ambao kazi zao ni za bodaboda, wengi huja na hili tatizo!
Kwa kuongezea tu pamoja na hofu ya vitu visivyoonekana nayo inapelekea presha sukari na upungufu wa nguvu.

Matatizo mengi kwenye hii sekta ni akili tu 'psychosomatic' kuliko hata hizo sababu za kuumiza mishipa 'organic'

Ni kweli boda na baskeli vinaweza kuumiza hiyo mishipa. Lakini hii inachangia kiasi kidogo sana katika nguvu za kiume kuliko akili hofu na kujiamini/dharau.
sitagliptin fuata sayansi zaidi kuliko imani, japo imani pia usiiache
 
UENDESHAJI WA BODA BODA NA BAISKELI KWA MUDA MREFU UNAPUNGUZA NGUVU ZA KIUME; WAENDESHA BODA BODA KUWENI MAKINI.

Leo naenda kwenye mada moja kwa moja, maana hili ni suala nyeti sana.

Kwa sababu wengi huwa tunataka ushahidi, naomba kila mmoja atakayepita kwenye huu uzi, akafanye utafiti wake mwenyewe na ikipendeza, njoo uchangie kile ulichokigundua kwenye utafiti wako kuhusiana na hili janga kwa vijana ambalo linashadidiwa na watawala eti ni ajira mbadala kwa vijana wetu wakiwemo wahitimu wa VETA, vyuo vya kawaida na vyuo vikuu hapa nchini.

Nafanya hivi kwa kuzingatia kanuni ya asili, ambayo inatutaka kuwatendea wenzetu vile ambavyo sisi wenyewe tunataka kutendewa. Kwa ufupi, kila mmoja anapaswa kuvaa viatu vya mwenzake na kufikiri kama yeye ndo angekuwa kwenye nafasi ya huyo, angejisikiaje?!!

Vijana wengi chini ya umri wa miaka 45 ambao wamejihusisha na uendeshaji wa boda boda au baiskeli kwa muda wa kuanzia miezi 6 na kuendelea, wanasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume. Hii ina maana wengi wao humaliza (hufikia mshindo wa kwanza) kwa chini ya dakika 3! Na wengi wao, hawawezi kuendelea tena baada ya bao moja!!

Ongea na vijana wanaojihusisha na hii kazi ambao mna ukaribu sana, watakuthibitishia hili ninalokushirikisha.

Wengi siku hizi wamegeukia dawa za kuongeza nguvu za kiume, ambazo bahati mbaya ni kwamba kadri unavyozitumia, ndivyo unajenga utegemezi kwa dawa hizo, na itafikia hatua, pamoja na kuzitumia, bado hutaweza kufanya tendo kwa ufanisi!

Hapo katikati, sote tulisikia Mkuu wa nchi akisema, vijana wengi siku hizi hawana nguvu za kiume kwa sababu ya kutokula vizuri. Kwa maneno mengine wanakula vibaya. Hii kauli ina ukweli kwa kiasi kikubwa, lakini siyo sababu pekee ambayo hupelekea tatizo hili ambalo kwa kweli kama lilishawahi kukukumba utagundua huwa linasababisha fedheha kubwa sana. Mwenyewe ninayeandika hizi ni mhanga kwa hiyo ninaeleza kitu ambacho nina uzoefu nacho. Narudia tena kusema, unaweza kufanya utafiti pia, halafu utuletee mrejesho. Maana lengo la huu uzi ni kusaidiana na wala siyo kumlaumu mtu au watu fulani. Janga hili ni kubwa sana japo linakuwa "underrated".

Kwa hiyo vijana, fanyeni kila linalowezekana kuhakikisha mnatafuta kazi zingine na wala msiridhike na hiyo kazi ya bodaboda kama alivyowashauri Godbless Lema.

Godbless Lema, ana maoni mazuri sana kwa Watanzania kwa ujumla. Kitu ambacho anatakiwa akiache, ni kumsema tu vibaya Hayati JPM kwani ni kipenzi cha Watanzania wengi hasa wale ambao hawako kwenye mfumo wa kulamba asali wa awamu hii.

Nimalizie kwa kuwashauri vijana; msifanye kazi ya bodaboda kuwa kazi ya maisha, kwani mbali na kupunguza nguvu za kiume, lakini pia, inazo changamoto nyingi sana.
Mjumbe hauwawi.
Karibuni sana.
Boda ndo wanaongoza juntandua wale wanaosema "nina bodaboda wangu"
 
Nitaacha kuendesha Bodaboda si kwasababu sina Nguvu za kiume bali inachosha sana.


Nguvu za kiume kwa upande wangu hazijawahi kupungua na kiukweli napiga mikwaju hadi sometimes namuonea huruma muhusika!.
 
Hapo itoe baiskeli haizalishi joto SAwa na pikipiki la kuleta madhara kwenye korodani
 
Si ninao mashemeji zangu ambao waume zao kazi ni hiyo ya kuendesha baiskeli?!
Naomba ieleweke kwamba sijakurupuka kuuleta huu uzi hapa jamvini.
Ni uzi ambao nimeumefanyia utafiti kwa muda wa miaka 7!
Utafiti wa kwenye kahawa
 
Nitaacha kuendesha Bodaboda si kwasababu sina Nguvu za kiume bali inachosha sana.


Nguvu za kiume kwa upande wangu hazijawahi kupungua na kiukweli napiga mikwaju hadi sometimes namuonea huruma muhusika!.
Hutumii njia mbadala ya kuongeza nguvu za kiume?!
 
hata kama sikuwahi kuongea naye lakini sina shaka na hilo maana.
Mimi mwenyewe toka nikiwa na miaka 12 nimeendesha sana baiskeli. tend nilivyomaliza darasa la saba nikiwa na 14yrs nilikuwa nasafirisha abiria kwa baiskeli umbali wa km 15 go and return karibu kila siku. Sekondari nilikuwa natumia baiskeli ilikuwa umbali wa km 8.
Na sasa hivi nachakata mbususu kwa ufanisi usio na shaka.
Labda Mkuu, maana hata hivyo tuko tofauti. Japo najua kuna kitu unaficha.
 
Mkuu kuna vitu watu wanasita kuvizungumzia kwa uwazi ijapokuwa kwa sasa vipo kwa wingi katika jamii yetu ya Kitanzania. "Moral rejuvenation" imefikia kiwango cha kutisha, huku kukiwa na "misconception" kuwa ushoga ni kwa upande wa wanaume tu.

Upande wa wanawake hauzumgumzi kwa uwazi ijapokuwa tunatambua kiwango cha kutisha cha ukahaba. Na mtazamo juu ya ukahaba unaangaliwa kama dalili za tatizo wala siyo kama matokeo ya tatizo sugu lililopo. Malaya wengine hawatumiki kwa ajili ya kujipatia kipato haramu, wengine ni kwa kuwa hawatoshelezwi na wenzi wao.

Hivi kwa nini hatujiulizi kwa nini kumetokea soko kubwa la "dildo" hivi sasa hapa nchini!? Tena nyingine hata za mitumba zikiuzwa hadharani. Hii ni kwa sababu wakina mama wameamua kujipimia wao wenyewe, kwa kuwa wenzi wao wanawaangusha wawapo kwenye sita kwa sita.

Mambo yanayoathiri "libido" ni lazima yaongelewe kwa uwazi, vijana wa kiume washauriwe kuzingatia mambo ya ushauri nasaha, na vijana wawe wanahudhuria mara kwa mara ili wapate utulivu wa kiakili wawapo ndani eneo la kujidai. Wale lishe bora na yenye virutubisho, na pia wafanye mazoezi ya kutosha. Kukwepa kufanya hivyo wataishia kutumia vumbi la Kongo, kunywa supu ya pweza na ngisi, kuweka ugolo kwenye dudu zao, kutafuta stimu kupitia bange, n.k. lakini "performance" bado itabakia kuwa "zero".
Wanawake nasikia wanaweka pia hadi ugolo kwenye naniliu zao ili tu kujilidhisha wao wenyewe, maana kama ulivyoongea, wanaume wengi wamekuwa Wachovu sana kuwasaidia wenzi wao kufikia raha ambayo kila mwanamke huwa anaitamani kuipata!
 
Kwa kuongezea tu pamoja na hofu ya vitu visivyoonekana nayo inapelekea presha sukari na upungufu wa nguvu.

Matatizo mengi kwenye hii sekta ni akili tu 'psychosomatic' kuliko hata hizo sababu za kuumiza mishipa 'organic'

Ni kweli boda na baskeli vinaweza kuumiza hiyo mishipa. Lakini hii inachangia kiasi kidogo sana katika nguvu za kiume kuliko akili hofu na kujiamini/dharau.
sitagliptin fuata sayansi zaidi kuliko imani, japo imani pia usiiache
Ahsante kwa ufafanuzi Mkuu, bila shaka jamaa yetu atakuwa amekuelewa kwa kiasi fulani
 
UENDESHAJI WA BODA BODA NA BAISKELI KWA MUDA MREFU UNAPUNGUZA NGUVU ZA KIUME; WAENDESHA BODA BODA KUWENI MAKINI.

Leo naenda kwenye mada moja kwa moja, maana hili ni suala nyeti sana.

Kwa sababu wengi huwa tunataka ushahidi, naomba kila mmoja atakayepita kwenye huu uzi, akafanye utafiti wake mwenyewe na ikipendeza, njoo uchangie kile ulichokigundua kwenye utafiti wako kuhusiana na hili janga kwa vijana ambalo linashadidiwa na watawala eti ni ajira mbadala kwa vijana wetu wakiwemo wahitimu wa VETA, vyuo vya kawaida na vyuo vikuu hapa nchini.

Nafanya hivi kwa kuzingatia kanuni ya asili, ambayo inatutaka kuwatendea wenzetu vile ambavyo sisi wenyewe tunataka kutendewa. Kwa ufupi, kila mmoja anapaswa kuvaa viatu vya mwenzake na kufikiri kama yeye ndo angekuwa kwenye nafasi ya huyo, angejisikiaje?!!

Vijana wengi chini ya umri wa miaka 45 ambao wamejihusisha na uendeshaji wa boda boda au baiskeli kwa muda wa kuanzia miezi 6 na kuendelea, wanasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume. Hii ina maana wengi wao humaliza (hufikia mshindo wa kwanza) kwa chini ya dakika 3! Na wengi wao, hawawezi kuendelea tena baada ya bao moja!!

Ongea na vijana wanaojihusisha na hii kazi ambao mna ukaribu sana, watakuthibitishia hili ninalokushirikisha.

Wengi siku hizi wamegeukia dawa za kuongeza nguvu za kiume, ambazo bahati mbaya ni kwamba kadri unavyozitumia, ndivyo unajenga utegemezi kwa dawa hizo, na itafikia hatua, pamoja na kuzitumia, bado hutaweza kufanya tendo kwa ufanisi!

Hapo katikati, sote tulisikia Mkuu wa nchi akisema, vijana wengi siku hizi hawana nguvu za kiume kwa sababu ya kutokula vizuri. Kwa maneno mengine wanakula vibaya. Hii kauli ina ukweli kwa kiasi kikubwa, lakini siyo sababu pekee ambayo hupelekea tatizo hili ambalo kwa kweli kama lilishawahi kukukumba utagundua huwa linasababisha fedheha kubwa sana. Mwenyewe ninayeandika hizi ni mhanga kwa hiyo ninaeleza kitu ambacho nina uzoefu nacho. Narudia tena kusema, unaweza kufanya utafiti pia, halafu utuletee mrejesho. Maana lengo la huu uzi ni kusaidiana na wala siyo kumlaumu mtu au watu fulani. Janga hili ni kubwa sana japo linakuwa "underrated".

Kwa hiyo vijana, fanyeni kila linalowezekana kuhakikisha mnatafuta kazi zingine na wala msiridhike na hiyo kazi ya bodaboda kama alivyowashauri Godbless Lema.

Godbless Lema, ana maoni mazuri sana kwa Watanzania kwa ujumla. Kitu ambacho anatakiwa akiache, ni kumsema tu vibaya Hayati JPM kwani ni kipenzi cha Watanzania wengi hasa wale ambao hawako kwenye mfumo wa kulamba asali wa awamu hii.

Nimalizie kwa kuwashauri vijana; msifanye kazi ya bodaboda kuwa kazi ya maisha, kwani mbali na kupunguza nguvu za kiume, lakini pia, inazo changamoto nyingi sana.
Mjumbe hauwawi.
Karibuni sana.
PIA HUMALIZA MAKALIO na mwisho BODABODA ni LAANA
 
Back
Top Bottom