Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam

Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam

Kuna wale taskforce wa TUNDUMA walikwisha wote kwenye Ajali, kisa? Eti wanafukuza fuso wanadai limebeba Magendo
Wamerudi wengine nilikutana nao wapo nyuma ya fusso moja wale walikua wanawakimbiza wake vijana wa boda boda wanaobeba vitenge kupeleka mbeya usiku sio fusso ilikua aibu kusema walikua wanakimbiza vitenge tuu na wakiwakamata walikua wanachukua vitenge vinakua mali yao hawavipeleki popote..
 
View attachment 3170012

UFAFANUZI KUHUSU SHAMBULIO LA GARI NA WATUMISHI WA TRA KATIKA ENEO LA TEGETA (Kwa Ndevu)

Dar es Salaam, 06 Desemba, 2024:

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inasikitika kuutarifu Umma kwamba gari yake yenye namba za usajili STL 9923, ikiwa na Watumishi watatu katika doria za kawaida za udhibiti na ukamataji wa magendo na magari yaliyoingia nchini kinyume na taratibu za Forodha na kutolipiwa ushuru, imeshambuliwa na watumishi kuumizwa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu, tarehe 05 Disemba, 2024, usiku.

Kadhia hii imetokea baada ya watumishi wa TRA kubaini kwamba gari namba T229 DHZ aina ya BMW X6 ilioingizwa nchini kinyemela bila kulipa kodi za serikali stahiki kwa mujibu wa sheria na kuifuatilia kwa lengo la kuikamata ili kuchukua hatua stahiki kwa mujibu wa sheria za kodi.

Wakati Watumishi wa TRA wanatimiza wajibu wao, walihusishwa na kitendo cha utekaji, kilichopelekea wao na gari kushambuliwa.

Mamlaka ya Mapato Tanzania, inawapa pole watumishi wake waliojeruhiwa wakiwa wanatimiza wajibu wao, pamoja na wengine wote waliojeruhiwa katika kadhia hii, na kuwaombea wapone kwa haraka.

Mamlaka ya Mapato Tanzania inauhakikishia umma kuendelea kutimiza wajibu wake kwa mujibu wa sheria.

"Pamoja Tunajenga Taifa Letu"

Imetolewa na;

IDARA YA ELIMU KWA MLIPAKODI NA MAWASILIANO

Pia Soma: Tegeta, Dar: ‘Wasiojulikana’ washambuliwa na wananchi kwa mawe
Wasio julikana wanapo julikana ujitetea kwa kujitambulisha kwa kazi zao halisi ...tukumbuke hao wasio julikana ni vikosi vya selikali ya ccm .
 
Wataalamu wetu JF wapo wanafuatilia kumfaham Mmiliki wa BMW na kupata uhakika kama hajihusishi na Siasa na Pia kama Gari yake kweli haijalipiwa kodi stahiki.

Tusubiri mrejesho


#HadiWajulikane
Huyo wa mbele kwenye profile picha yako ndio eewe?😀😀😀 We jamaa lofa sana. Nimecheka sana kuiona hiyo picha.
 
Tunawapa pole wafanyakazi wa TRA waliopata changamoto hii wakiwa wanatimiza majukumu yao ya ujenzi wataifa.

Hili sakata la utekaji ambalo watu wanapotezwa na kuumizwa, kujeruhiwa, na kuuwawa imewajengea wananchi hofu kubwa sana. Tulishukuru jeshi la polisi kwa kusimamia suala la Masawe vizuri sana hadi kupelekea watuhumiwa kukamatwa. Hii ni ishara nzuri na mwelekeo sahihi katika kulishughulikia maovu haya.

Vilevile tunaomba jeshi la polisi lifuatilie matukio yote na kuyachunguza kwa kina ili wahusika wote wafikishwe kwenye mikono ya sheria.

Kinachoonekana ni kwamba kuna watu ambao haitakii serikali nia njema na kwa sababu hii kuna uwezakano ya wale wasiokuwa na nia njema kutumia mwanya huu kuiharibia serikali. Maovu haya yakemewe kwa nguvu inayostahili kwa kuwa hali hii ikiendelea italeta mvurugano mkubwa sana. Polisi wanapokamata wahalifu wajitambulishe au kwa kuwa wao ni chombo cha dola wanamlaka kisheria kumuita mwananchi yeyote kituoni na kufanya mahojiano nae. Hata hivyo kwa kuwa lile gari lilikua linajulikana maafisa wa TRA wangeweza kutumia rekodi za kielitronic (kwenye kanzi data yao kumbana mwenye gari lile kwa kumuomba alike ofisini kwabmahojiano) hii itasaidia kupungunza ajali kama hizi.
 
View attachment 3170012

UFAFANUZI KUHUSU SHAMBULIO LA GARI NA WATUMISHI WA TRA KATIKA ENEO LA TEGETA (Kwa Ndevu)

Dar es Salaam, 06 Desemba, 2024:

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inasikitika kuutarifu Umma kwamba gari yake yenye namba za usajili STL 9923, ikiwa na Watumishi watatu katika doria za kawaida za udhibiti na ukamataji wa magendo na magari yaliyoingia nchini kinyume na taratibu za Forodha na kutolipiwa ushuru, imeshambuliwa na watumishi kuumizwa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu, tarehe 05 Disemba, 2024, usiku.

Kadhia hii imetokea baada ya watumishi wa TRA kubaini kwamba gari namba T229 DHZ aina ya BMW X6 ilioingizwa nchini kinyemela bila kulipa kodi za serikali stahiki kwa mujibu wa sheria na kuifuatilia kwa lengo la kuikamata ili kuchukua hatua stahiki kwa mujibu wa sheria za kodi.

Wakati Watumishi wa TRA wanatimiza wajibu wao, walihusishwa na kitendo cha utekaji, kilichopelekea wao na gari kushambuliwa.

Mamlaka ya Mapato Tanzania, inawapa pole watumishi wake waliojeruhiwa wakiwa wanatimiza wajibu wao, pamoja na wengine wote waliojeruhiwa katika kadhia hii, na kuwaombea wapone kwa haraka.

Mamlaka ya Mapato Tanzania inauhakikishia umma kuendelea kutimiza wajibu wake kwa mujibu wa sheria.

"Pamoja Tunajenga Taifa Letu"

Imetolewa na;

IDARA YA ELIMU KWA MLIPAKODI NA MAWASILIANO

Pia Soma: Tegeta, Dar: ‘Wasiojulikana’ washambuliwa na wananchi kwa mawe
TRA tangu lini wanafanya kazi ya polisi?
Mtakufa kijinga punda nyie.
Kamateni mkiwa na askari mwenye sare
 
Wamerudi wengine nilikutana nao wapo nyuma ya fusso moja wale walikua wanawaimbiza wake vijana wa boda boda wanaobeba vitenge kupeleka mbeya usiku sio fusso ilikua aibu kusema walikua wanakimbiza virenge tuu na wakiwakamata walikua wanachukua vitenge vinakua mali yao hawavipeleki popote..
Kumbe, walipata walichostahili
 
View attachment 3170012

UFAFANUZI KUHUSU SHAMBULIO LA GARI NA WATUMISHI WA TRA KATIKA ENEO LA TEGETA (Kwa Ndevu)

Dar es Salaam, 06 Desemba, 2024:

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inasikitika kuutarifu Umma kwamba gari yake yenye namba za usajili STL 9923, ikiwa na Watumishi watatu katika doria za kawaida za udhibiti na ukamataji wa magendo na magari yaliyoingia nchini kinyume na taratibu za Forodha na kutolipiwa ushuru, imeshambuliwa na watumishi kuumizwa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu, tarehe 05 Disemba, 2024, usiku.

Kadhia hii imetokea baada ya watumishi wa TRA kubaini kwamba gari namba T229 DHZ aina ya BMW X6 ilioingizwa nchini kinyemela bila kulipa kodi za serikali stahiki kwa mujibu wa sheria na kuifuatilia kwa lengo la kuikamata ili kuchukua hatua stahiki kwa mujibu wa sheria za kodi.

Wakati Watumishi wa TRA wanatimiza wajibu wao, walihusishwa na kitendo cha utekaji, kilichopelekea wao na gari kushambuliwa.

Mamlaka ya Mapato Tanzania, inawapa pole watumishi wake waliojeruhiwa wakiwa wanatimiza wajibu wao, pamoja na wengine wote waliojeruhiwa katika kadhia hii, na kuwaombea wapone kwa haraka.

Mamlaka ya Mapato Tanzania inauhakikishia umma kuendelea kutimiza wajibu wake kwa mujibu wa sheria.

"Pamoja Tunajenga Taifa Letu"

Imetolewa na;

IDARA YA ELIMU KWA MLIPAKODI NA MAWASILIANO

Pia Soma: Tegeta, Dar: ‘Wasiojulikana’ washambuliwa na wananchi kwa mawe
TRA hawrzi kukamata wahalifu bila kuwa na polisi mwenye sare.
Mtakufa sana avheni ujinga huo
 
TRA mnaruhusiwa ku ambus gari mchana? Bila Police, bila documents? Nyie ni wahalifu kabisa, mnashindwa nini kufanya mchana!

Kama mnavyojitetea kwenye hii document, leteni na uthibitisho wa tatizo la hiyo BMW ili tuwaamini, muache cheap politics zenu zisizo na Sababu!
 
Back
Top Bottom