Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam

Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam

Kutoka kunduchi pwani hadi bagamoyo kuna bandari babu nyingi sana. Pale kunduchi ni kama makao makuu. Madumu ya mafuta, sukari nk vinapitishwa hadi kwa magendo hadi aibu. Tena aibu kubwa kabisa. Polisi wanajua, TRA wanajua na hata huyo waziri anajua na mgao unamfikia.
Rc wa DSM bwana chalamila amekaa kwa muda mrefu sana TEGETA anajua hii michezo yote. Juzi hapa alipeleka mpaka JWTZ pale kumbe nia yake ilikuwa kuingizwa kwenye mgao. Alipopata mgao akanyamaza na biashara ikaendelea
Gari zilizo shambuliwa tegeta zilikuwa zinatoka doria mbweni au kunduchi.
Inakuaje mbweni kuna kambi ya Jeshi na usalama wa taifa kisha magendo yapitie mbweni hukohuko?
Pale TRA Kuna kijana anahusika sana kwenye hizi task force sitamtaja hapa ila wakati ukifika nitamtaja
Aibu kubwa sana kwa mamlaka, wanachojua wao ni kuteka na kuua tu?
 
Kutoka kunduchi pwani hadi bagamoyo kuna bandari babu nyingi sana. Pale kunduchi ni kama makao makuu. Madumu ya mafuta, sukari nk vinapitishwa hadi kwa magendo hadi aibu. Tena aibu kubwa kabisa. Polisi wanajua, TRA wanajua na hata huyo waziri anajua na mgao unamfikia.
Rc wa DSM bwana chalamila amekaa kwa muda mrefu sana TEGETA anajua hii michezo yote. Juzi hapa alipeleka mpaka JWTZ pale kumbe nia yake ilikuwa kuingizwa kwenye mgao. Alipopata mgao akanyamaza na biashara ikaendelea
Gari zilizo shambuliwa tegeta zilikuwa zinatoka doria mbweni au kunduchi.
Inakuaje mbweni kuna kambi ya Jeshi na usalama wa taifa kisha magendo yapitie mbweni hukohuko?
Pale TRA Kuna kijana anahusika sana kwenye hizi task force sitamtaja hapa ila wakati ukifika nitamtaja
Aibu kubwa sana kwa mamlaka, wanachojua wao ni kuteka na kuua tu?
Bandari yetu Kunduchi iacheni wazee sisi tunaishi kupitia pale wazee acheni kabisa
 
Kadhia hii imetokea baada ya watumishi wa TRA kubaini kwamba gari namba T229 DHZ aina ya BMW X6 ilioingizwa nchini kinyemela bila kulipa kodi za serikali stahiki kwa mujibu wa sheria na kuifuatilia kwa lengo la kuikamata ili kuchukua hatua stahiki kwa mujibu wa sheria za kodi.
Ilisajiriwa vipi hii gari?
 
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inasikitika kuutarifu Umma kwamba gari yake yenye namba za usajili STL 9923, ikiwa na Watumishi watatu katika doria za kawaida za udhibiti na ukamataji wa magendo na magari yaliyoingia nchini kinyume na taratibu za Forodha na kutolipiwa ushuru, imeshambuliwa na watumishi kuumizwa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu, tarehe 05 Disemba, 2024, usiku.

Kadhia hii imetokea baada ya watumishi wa TRA kubaini kwamba gari namba T229 DHZ aina ya BMW X6 ilioingizwa nchini kinyemela bila kulipa kodi za serikali stahiki kwa mujibu wa sheria na kuifuatilia kwa lengo la kuikamata ili kuchukua hatua stahiki kwa mujibu wa sheria za kodi.

Wakati Watumishi wa TRA wanatimiza wajibu wao, walihusishwa na kitendo cha utekaji, kilichopelekea wao na gari kushambuliwa.

Mamlaka ya Mapato Tanzania, inawapa pole watumishi wake waliojeruhiwa wakiwa wanatimiza wajibu wao, pamoja na wengine wote waliojeruhiwa katika kadhia hii, na kuwaombea wapone kwa haraka.

Mamlaka ya Mapato Tanzania inauhakikishia umma kuendelea kutimiza wajibu wake kwa mujibu wa sheria.

"Pamoja Tunajenga Taifa Letu"

Imetolewa na;

IDARA YA ELIMU KWA MLIPAKODI NA MAWASILIANO

Pia Soma: Tegeta, Dar: ‘Wasiojulikana’ washambuliwa na wananchi kwa mawe
Watumishi hata Majina hamtaki.kuwataja kwa kuheshimy wajibu wao na ujasiri wa kuitumikia Taifa?
 
Kama gari mnaijua na ina usajili kwanini msimuite mwenye nayo atoe nyaraka za gari yake? Inakuwaje mnaanza kufuatilia mtu tena usiku?

Nyie ni polisi?
Je mna mamlaka ya kumfuatilia mtu na kumkamata au kukamata mali yake bila kushirikisha vyombo vya ulinzi na usalama?

Hayo yote mmeyataka kwakuwa hali ya usalama wa raia nchini imedhoofu kiasi kwamba sasa raia ni lazima kuwa vigilant la sivyo ni kutekwa na kuuwawa tu.

Wafanyakazi wenu mnatakiwa muwape barua ya onyo kwa kuwa negligent. Wameshindwa kusoma alama za nyakati.
Mission was Incomplete😅😅
 
Kutoka kunduchi pwani hadi bagamoyo kuna bandari babu nyingi sana. Pale kunduchi ni kama makao makuu. Madumu ya mafuta, sukari nk vinapitishwa hadi kwa magendo hadi aibu. Tena aibu kubwa kabisa. Polisi wanajua, TRA wanajua na hata huyo waziri anajua na mgao unamfikia.
Rc wa DSM bwana chalamila amekaa kwa muda mrefu sana TEGETA anajua hii michezo yote. Juzi hapa alipeleka mpaka JWTZ pale kumbe nia yake ilikuwa kuingizwa kwenye mgao. Alipopata mgao akanyamaza na biashara ikaendelea
Gari zilizo shambuliwa tegeta zilikuwa zinatoka doria mbweni au kunduchi.
Inakuaje mbweni kuna kambi ya Jeshi na usalama wa taifa kisha magendo yapitie mbweni hukohuko?
Pale TRA Kuna kijana anahusika sana kwenye hizi task force sitamtaja hapa ila wakati ukifika nitamtaja
Aibu kubwa sana kwa mamlaka, wanachojua wao ni kuteka na kuua tu?
acha upotoshaji gentleman 🐒
 
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inasikitika kuutarifu Umma kwamba gari yake yenye namba za usajili STL 9923, ikiwa na Watumishi watatu katika doria za kawaida za udhibiti na ukamataji wa magendo na magari yaliyoingia nchini kinyume na taratibu za Forodha na kutolipiwa ushuru, imeshambuliwa na watumishi kuumizwa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu, tarehe 05 Disemba, 2024, usiku.

Kadhia hii imetokea baada ya watumishi wa TRA kubaini kwamba gari namba T229 DHZ aina ya BMW X6 ilioingizwa nchini kinyemela bila kulipa kodi za serikali stahiki kwa mujibu wa sheria na kuifuatilia kwa lengo la kuikamata ili kuchukua hatua stahiki kwa mujibu wa sheria za kodi.

Wakati Watumishi wa TRA wanatimiza wajibu wao, walihusishwa na kitendo cha utekaji, kilichopelekea wao na gari kushambuliwa.

Mamlaka ya Mapato Tanzania, inawapa pole watumishi wake waliojeruhiwa wakiwa wanatimiza wajibu wao, pamoja na wengine wote waliojeruhiwa katika kadhia hii, na kuwaombea wapone kwa haraka.

Mamlaka ya Mapato Tanzania inauhakikishia umma kuendelea kutimiza wajibu wake kwa mujibu wa sheria.

"Pamoja Tunajenga Taifa Letu"

Imetolewa na;

IDARA YA ELIMU KWA MLIPAKODI NA MAWASILIANO

Pia Soma: Tegeta, Dar: ‘Wasiojulikana’ washambuliwa na wananchi kwa mawe
Acheni kuweweseka yanayotokea kati ya Kunduchi na bagamoyo yote mnayajua. Wamewahi leo baada ya kushindwana migao?
 
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inasikitika kuutarifu Umma kwamba gari yake yenye namba za usajili STL 9923, ikiwa na Watumishi watatu katika doria za kawaida za udhibiti na ukamataji wa magendo na magari yaliyoingia nchini kinyume na taratibu za Forodha na kutolipiwa ushuru, imeshambuliwa na watumishi kuumizwa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu, tarehe 05 Disemba, 2024, usiku.

Kadhia hii imetokea baada ya watumishi wa TRA kubaini kwamba gari namba T229 DHZ aina ya BMW X6 ilioingizwa nchini kinyemela bila kulipa kodi za serikali stahiki kwa mujibu wa sheria na kuifuatilia kwa lengo la kuikamata ili kuchukua hatua stahiki kwa mujibu wa sheria za kodi.

Wakati Watumishi wa TRA wanatimiza wajibu wao, walihusishwa na kitendo cha utekaji, kilichopelekea wao na gari kushambuliwa.

Mamlaka ya Mapato Tanzania, inawapa pole watumishi wake waliojeruhiwa wakiwa wanatimiza wajibu wao, pamoja na wengine wote waliojeruhiwa katika kadhia hii, na kuwaombea wapone kwa haraka.

Mamlaka ya Mapato Tanzania inauhakikishia umma kuendelea kutimiza wajibu wake kwa mujibu wa sheria.

"Pamoja Tunajenga Taifa Letu"

Imetolewa na;

IDARA YA ELIMU KWA MLIPAKODI NA MAWASILIANO

Pia Soma: Tegeta, Dar: ‘Wasiojulikana’ washambuliwa na wananchi kwa mawe
Pumbavu kabisa ninyi!
Tume ya haki jinai ilitoa mapendekezo ambayo mheshimiwa Rais alisema sasa ni sheria yafuatwe!
Pendekezo mojawapo likiwa ni kuwa mamlaka yoyote ya ukamataji ikitaka kufanya ukamataji lazima ishirikiane na jeshi la polisi, kwa maana mlitakiwa kuwa na askari polisi wenye silaha na wakiwa ndani ya uniform ili kufanikisha kazi!
Kwa kuwa ninyi nyote ni wapenda r^shwa mnajiongeza ili kupiga hela mnataka muwe wachache ili pesa isigawanywe kwa mikono mingine, u got what u deserved
 
Back
Top Bottom