Ufafanuzi kwa wale Wavivu wa Kufikiri ( wana Yanga SC ) kwanini jana hawakuona Refa akienda kuangalia Screen ya VAR ili Kuamua Matukio

Ufafanuzi kwa wale Wavivu wa Kufikiri ( wana Yanga SC ) kwanini jana hawakuona Refa akienda kuangalia Screen ya VAR ili Kuamua Matukio

Refa aliamua iwe penalty Kwa mtazamo wake, baada ya kuzongwa ikabidi afanye mawasiliano akitaraji atapata video ajiridhishe, kumbe kule alipotegemea apate usaidizi awakua na video ya kumpatia, na ki uhalisia hakukua na VAR.
kwakua walitumia Camera iziizi wanazo Tumi Azam Media ambazo ziko 8. mfumo wa VAR una camera 33 na jamaa awakua nazo. Ayo ni maelezo ya kiongozi wa kurusha matangazo wa Azam.
Ikabidi refa abaki na maamuzi yake ya mwanzo.
Daah unaelezea hili tukio huku ukiwa na maumivu makali balaa ndani ya moyo wako.
Haya haikua penalty Basi ila ya ile ya yanga vs geita ilikua penalty halali[emoji23][emoji23]
 
Kwaiyo ushindi wa kigoli kimoja icho cha ngekewa utakupeleka wapi, eti ushindi mzuri kama ni ushindi mzuri mbona mji wote kimyaa,,mdomoni mnajifariji lakini moyoni mnajua kinachofata
Ajuaye ya mbele ni mungu tu ,saiz tunafurahia ushindi.

Alafu kumbuka huu ni mpira pia wale ni wanaume km walivyo wa Simba lolote linawezekana acha kukariri ,.

Simba ikitinga nusu fainal najua utakuja na hoja mpya kuwa huu ndio mwisho wa Simba ,kila muda atakuja na jipya la kujifariji.
 
Tukiwa tunasema kuwa wana Yanga SC mna matatizo ya Kufikiri msiwe mnakataa au mnatuona kuwa tunawadhihaki bali muwe mnakubali na mjitathmini mbadilike upesi.

Nimepitia Kurasa nyingi sana za Mitandao ya Klabu Mbovu na yenye Nuksi duniani ya Yanga SC na hata Kusoma baadhi ya Comments za wana Yanga SC katika Mtandao huu na Kujiridhisha kuwa Jangwani kuna Mazuzu (Majuha) wengi na ndiyo maana hata Msemaji wa Yanga SC Haji Manara aliwahi Kunukuliwa (Ushahidi wa Sauti na Picha upo YouTube) akisema kuwa Yanga SC nzima wenye Akili ni Watu Wawili tu Rais Mstaafu Kikwete na Baba yake Mzazi Mzee Manara ila wengine Wote hawana Akili ( yaani Majuha ) tupu kwa hapa Jamvini wakiongozwa na redio, FRESHMAN na Frank Wanjiru

Kwa Watu makini ( wenye Akili Kubwa ) kama wana Simba SC na Mimi MINOCYCLINE ambao Jana tulianza kufuatilia Matangazo ya Azam Tv kupitia Channel ya ZBC2 mtakubaliana nami kuwa walitolea Ufafanuzi wa Kutosha juu ya Matumizi ya VAR hivyo leo hii nawashangaa Majuha (Mazuzu) wa Jangwani (Yanga SC) wanavyohangaika Kulalamika matumizi ya VAR wakati Kwanza hata Mechi haiwahusu na pia bado wana safari ndefu ya kuyafikia Mafanikio waliyoyafikia Simba SC.

Ni kwamba Jana kupitia ZBC2 kulitolewa Ufafanuzi juu ya VAR ambao ulitoka CAF uliosema kuwa katika Chumba cha Mitambo ya VAR kumeongezwa Mtu mwingine aitwae AVAR ( yaani Assistant Video Assistant Referee ) ambaye ndiyo atakuwa akimpa Maelekezo yote Mwamuzi wa Mchezo pale kukitokea Tukio la Kiufafanuzi.

Maelekezo hayo kuhusu VAR yakaenda mbele zaidi kusema kuwa kukitokea Tukio lolote la Utata Uwanjani kwakuwa tayari yuko AVAR basi Mwamuzi hatokuwa na Ulazima wa kwenda katika Screen ya VAR ili Kujiridhisha Kimaamuzi ( japo hajakatazwa kufanya hivyo ) ila atamsikiliza AVAR ambaye ni Msaidizi wake mkubwa wa Matukio yote ya Kimchezo tena Yeye akiwa na Faida Kubwa kwakuwa anautizama Mpira katika Television ambapo ana Faida Kubwa ya Kuyarejea Matukio kwa haraka kuliko hata Mwamuzi ( Referee ) wa Mchezo aliyeko Uwanjani.

Hata hivyo tukiachana na matumizi ya VAR ukiwa na Akili Timamu na Umeucheza Mpira na pia ni Mfuatiliaji halafu ni Mchambuzi makini wa Mpira ( Soka ) hutobisha kuwa ile ilikuwa ni Clear Penalty isipokuwa kuna Watu Jana walishakariri kuwa Simba SC itafungwa na Orlando Pirates FC wakiamini kuwa Kuwapokea Kwao, kuwasaidia Kwao Kuroga na CEO Wao kuwapa Mbinu zote kuihusu Simba SC zingewasaidia, ila wakasahau kuwa Kwa Mkapa huwa hatoki Mtu na kwamba Uwanja wa Benjamin Mkapa ulijengwa Maalum kwa ajili ya Simba Sports Club tu na siyo kwa Takataka zingine za Jangwani.

Mwisho namalizia na huu Ushauri hasa kwa Majuha ( Mazuzu ) wa Jangwani kuwa jitahidini sana Siku zingine kukiwa na Mechi muwe mnaanza Kufuatilia Matangazo ya Tv ( hasa Uchambuzi ) wake wa mapema ili muwe mnapata Taarifa za Kutosha juu ya Mchezo husika na Maelekezo yake ili msiendelee kuwa Wapuuzi hivyo kama mlivyobarikiwa na kuanza kutupotezea muda kama hivi wa Kuwaelimisheni, Kuwachambulia na Kuwafafanulia Masuala ( Matukio ) ambayo kama nanyi mngekuwa makini ( Werevu ) kama wana Simba SC mngeshayajua ( mngeshajua ) mapema tu.

Asanteni Simba SC kwa Ushindi mzuri.
Jibu lipo hapa kama unajua kiinglish

 
Duuh...! Huyu kenge ana I'd ngapi?. Huo nao sio ustaarabu mtu unakuwa na I'd zaidi ya 5.
 
Kuna umuhimu Sasa wacha mbuzi wa mpira wapitie KOZI ZA UREFA.
refa kaona penati ,VAR imeona penati lakini Leo anatokea mchambuzi kashiba futari yake anakwambia ile sio penati.
Wakati Morrison alikuwa ana nafasi nzuri ya kufanya madhara ya kufunga goli kama yule beki asingemvaa.
Walitaka refa atoe adhabu gani?
Wakati yule beki ndo mtu wa mwisho?
 
Wewe popoma mlidanganywa tu kuhusu kutumika kwa mfumo wa VAR ktk mechi ya jana. Mmeshinda ndio,lakini kama kawaida kiujanja ujanja. Ile haikuwa penati
 
Tukiwa tunasema kuwa wana Yanga SC mna matatizo ya Kufikiri msiwe mnakataa au mnatuona kuwa tunawadhihaki bali muwe mnakubali na mjitathmini mbadilike upesi.

Nimepitia Kurasa nyingi sana za Mitandao ya Klabu Mbovu na yenye Nuksi duniani ya Yanga SC na hata Kusoma baadhi ya Comments za wana Yanga SC katika Mtandao huu na Kujiridhisha kuwa Jangwani kuna Mazuzu (Majuha) wengi na ndiyo maana hata Msemaji wa Yanga SC Haji Manara aliwahi Kunukuliwa (Ushahidi wa Sauti na Picha upo YouTube) akisema kuwa Yanga SC nzima wenye Akili ni Watu Wawili tu Rais Mstaafu Kikwete na Baba yake Mzazi Mzee Manara ila wengine Wote hawana Akili ( yaani Majuha ) tupu kwa hapa Jamvini wakiongozwa na redio, FRESHMAN na Frank Wanjiru

Kwa Watu makini ( wenye Akili Kubwa ) kama wana Simba SC na Mimi MINOCYCLINE ambao Jana tulianza kufuatilia Matangazo ya Azam Tv kupitia Channel ya ZBC2 mtakubaliana nami kuwa walitolea Ufafanuzi wa Kutosha juu ya Matumizi ya VAR hivyo leo hii nawashangaa Majuha (Mazuzu) wa Jangwani (Yanga SC) wanavyohangaika Kulalamika matumizi ya VAR wakati Kwanza hata Mechi haiwahusu na pia bado wana safari ndefu ya kuyafikia Mafanikio waliyoyafikia Simba SC.

Ni kwamba Jana kupitia ZBC2 kulitolewa Ufafanuzi juu ya VAR ambao ulitoka CAF uliosema kuwa katika Chumba cha Mitambo ya VAR kumeongezwa Mtu mwingine aitwae AVAR ( yaani Assistant Video Assistant Referee ) ambaye ndiyo atakuwa akimpa Maelekezo yote Mwamuzi wa Mchezo pale kukitokea Tukio la Kiufafanuzi.

Maelekezo hayo kuhusu VAR yakaenda mbele zaidi kusema kuwa kukitokea Tukio lolote la Utata Uwanjani kwakuwa tayari yuko AVAR basi Mwamuzi hatokuwa na Ulazima wa kwenda katika Screen ya VAR ili Kujiridhisha Kimaamuzi ( japo hajakatazwa kufanya hivyo ) ila atamsikiliza AVAR ambaye ni Msaidizi wake mkubwa wa Matukio yote ya Kimchezo tena Yeye akiwa na Faida Kubwa kwakuwa anautizama Mpira katika Television ambapo ana Faida Kubwa ya Kuyarejea Matukio kwa haraka kuliko hata Mwamuzi ( Referee ) wa Mchezo aliyeko Uwanjani.

Hata hivyo tukiachana na matumizi ya VAR ukiwa na Akili Timamu na Umeucheza Mpira na pia ni Mfuatiliaji halafu ni Mchambuzi makini wa Mpira ( Soka ) hutobisha kuwa ile ilikuwa ni Clear Penalty isipokuwa kuna Watu Jana walishakariri kuwa Simba SC itafungwa na Orlando Pirates FC wakiamini kuwa Kuwapokea Kwao, kuwasaidia Kwao Kuroga na CEO Wao kuwapa Mbinu zote kuihusu Simba SC zingewasaidia, ila wakasahau kuwa Kwa Mkapa huwa hatoki Mtu na kwamba Uwanja wa Benjamin Mkapa ulijengwa Maalum kwa ajili ya Simba Sports Club tu na siyo kwa Takataka zingine za Jangwani.

Mwisho namalizia na huu Ushauri hasa kwa Majuha ( Mazuzu ) wa Jangwani kuwa jitahidini sana Siku zingine kukiwa na Mechi muwe mnaanza Kufuatilia Matangazo ya Tv ( hasa Uchambuzi ) wake wa mapema ili muwe mnapata Taarifa za Kutosha juu ya Mchezo husika na Maelekezo yake ili msiendelee kuwa Wapuuzi hivyo kama mlivyobarikiwa na kuanza kutupotezea muda kama hivi wa Kuwaelimisheni, Kuwachambulia na Kuwafafanulia Masuala ( Matukio ) ambayo kama nanyi mngekuwa makini ( Werevu ) kama wana Simba SC mngeshayajua ( mngeshajua ) mapema tu.

Asanteni Simba SC kwa Ushindi mzuri.
We nae mnafiki mkubwa, Kwanza wewe sio mwanasimba mwenzetu,
 
Refa alikua akishinikizwa na wachezaji wa Orando akahakiki kupitia VAR na alijitahidi kufanya mawasiliano lakini hakupewa video za tukio, alichopewa ni maelekezo ya kubaki na msimamo wake.
Kwa ufupi mfumo wa VAR haukutumika na Moja ya Sababu walikua wakitumia camera za Azam tv. Camera za Azam zipo 8, VAR Ina camera zaidi ya 33 basi jamaa waka amua wapuyange.
Maelezo Aya ni Kwa mujibu wa mtaalamu wa Azam pale uwanjani baada ya mchezo.
Yes...mfumo wa VAR haukutjmika Jana...zipo habari kuwa ulikuwa 'mbovu'...
Hofu yangu ni kuongezeka malalamiko dhidi ya Simba kila inapocheza na timu za nje kwenye Mkapa au happy nyumbani...Kuna Jambo litatokea...let us wait and see...ujanja meingi ukizidi huleta mauti....
 
Wenye Akili tunajua kuwa Simba SC jana imeshinda Kihalali na kama nawe unadhani imeshinda kwa Kupendelewa ungana na hao Majuha ( Mazuzu ) ya Jangwani ( Yanga SC ) sawa Ndugu?
aisee yaani we @GENTAMICYZN, Ni jitu linafiki sana
 
Hivi kamati ya mapokezi(Yanga) hawakuwapokea?[emoji848]

Ukute hiyo hostility anayozungumzia ni Shangwe na kelele za Vyura baada ya kuwapokea( YANGA)[emoji23]
Wewe jidanganye hivyo hivyo ....unaacha hoja ya msingi unawarukia unaowaita vyura...
 
Refa aliamua iwe penalty Kwa mtazamo wake, baada ya kuzongwa ikabidi afanye mawasiliano akitaraji atapata video ajiridhishe, kumbe kule alipotegemea apate usaidizi awakua na video ya kumpatia, na ki uhalisia hakukua na VAR.
kwakua walitumia Camera iziizi wanazo Tumi Azam Media ambazo ziko 8. mfumo wa VAR una camera 33 na jamaa awakua nazo. Ayo ni maelezo ya kiongozi wa kurusha matangazo wa Azam.
Ikabidi refa abaki na maamuzi yake ya mwanzo.
Kwa hiyo hujawahi kuona huko ulaya refa wa kati akiishia kuwasiliana na walioko VAR room bila video kurejewa na maamuzi ya refa wa kati kubaki vile vile? Nani kakuambia refa wa kati alihitaji video ili akijiridhishe? Akijiridhishe nini wakati walioko VAR room wameona hamna utata?
 
Walio tengeneza mfumo wa VAR wanajua ni mfumo unao jitosheleza kwakua unatumia video na sio picha mnato, ni upuuzi kuleta mtu amtafsirie lefa wakati video zinajieleza. Kilichotokea Jana ni mfumo wa VAR kutotumika na taratibu za ki Afrika ziliendelea. Sasa wewe umekuja na mfumo wako wa AVAR Ili iweje!! Kama lefa angeitaji usaidizi, tayari uwanjani ana wasaidizi watatu.
Hauna Akili acha Kunipotezea muda Ok?
 
Refa alikua akishinikizwa na wachezaji wa Orando akahakiki kupitia VAR na alijitahidi kufanya mawasiliano lakini hakupewa video za tukio, alichopewa ni maelekezo ya kubaki na msimamo wake.
Kwa ufupi mfumo wa VAR haukutumika na Moja ya Sababu walikua wakitumia camera za Azam tv. Camera za Azam zipo 8, VAR Ina camera zaidi ya 33 basi jamaa waka amua wapuyange.
Maelezo Aya ni Kwa mujibu wa mtaalamu wa Azam pale uwanjani baada ya mchezo.
Ungeyasoma vyema Maelezo yangu ungeyaelewa vyema na hatimaye Kuuficha huu Ujuha ( Uzuzu ) wako hapa. Ina maana haujishtukii tu?
 
Back
Top Bottom