UFAFANUZI: Mtume Mohamad amewahi kutenda muujiza gani?

UFAFANUZI: Mtume Mohamad amewahi kutenda muujiza gani?

Uislamu umeenea kwa sababu Nchi hizo za Urabuni zililazimisha raia wake wote kuwa waislamu na bado mpaka hii leo nchi hizo zinaongozwa kwa misingi ya kiislamu... Uwezi ukawa wa Dini nyingine ukaishi huko, mfano vipindi vya Ramadhani wote mnalazimishwa kufunga kwenye Nchi hizo, migahawa na kila kitu kinafungwa... makanisa hayaruhusiwi mfano Afghanistan, Iran, Iraq uwezi kufungua kanisa... Hivyo raia wote inabidi tu muwe waislamu na watoto mtakaowazaa lazima wawe waislamu, na katika tamaduni za kiislamu mnapiga sana vita Watoto wenu wa kike kuolewa na mwanamume wa Dini nyingine, ajenda yenu ni kuwa lazima mtu huyo abadilishwe Dini awe muislamu... Yani mmetengeneza sheria za kulazimisha kila mtu atakaeingia anga zenu awe muislamu na ndio maana uislamu umekuwa mpaka hivi sasa... Huko India Wahindi hawawataki waislamu kwa sababu wamekuwa wakichumbia mabinti zao na kuwabadilisha Dini kuwa waislamu kitendo kilichopelekea Dini ya Hinduism kukosa nguvu.

Wakristo ndio Dini inayoongoza kwa wafuasi wengi, ila uwezi kuona Taifa la kikristo au Nchi ya kikristo... Vatican ni mji tu hata Tandahimba ni kubwa, hold sio Nchi ni mji. Ukristo unaenea kwa mahubiri mazuri ya mwenyezi Mungu, na si kwa kuanzisha vikundi vya kigaidi kulazimisha kila mtu awe muislamu usipokuwa Muislamu unachinjwa au kupigwa bomu

Mkuu acha kudanganya wasiojua... Kuna nchi ambazo ni za kikristo na zina sheria za kikristo katika sheria za nchi yake...
  1. Vatican City: Vatican City ni mji mkuu wa Kanisa Katoliki na makazi ya Papa. Maskini ya mungu unawaambia ni kama Tandahimba bila kujali ya kuwa Vaticam ina utawala kamili na ni nchi kamili na ina dola na kila kitu pia Sheria za Vatican City zinategemea Sheria za Kanoni za Kikatoliki na zinazingatia maadili ya Kikristo.
  2. Malta: Malta ni nchi yenye idadi kubwa ya Wakatoliki, na Katiba yake inatambua Ukristo kama dini rasmi na inaweka msingi wa kanuni za Kikristo katika sheria za nchi.
  3. Ugiriki: Ugiriki ina idadi kubwa ya Wakristo wa Orthodox, na sheria za nchi hiyo zinazingatia misingi ya dini ya Orthodox na maadili ya Kikristo.
  4. Ethiopia: Ethiopia ina historia ndefu ya Ukristo na ni nchi moja ya awali kuwa na Ukristo. Sheria na katiba za nchi hiyo zina misingi ya imani ya Kikristo.
 
Muongozo wa uislam ni Quran na Sunna, Qurran haikuja kwaajili ya kumsifu Muhammad imekuja kwaajili ya kutangaza Neema za Mungu mmoja ambae ni yeye tu anapaswa kuombwa kwa jina lake na yeye tu ndo anapaswa kuabudiwa.

Halafu kuna sunna haya ni matendo aliyotenda mtume hadharani ndo miongoni mwao utayapata hadithi zake zikisimuliwa na maswahaba juu ya maisha yake
Si huwa mnasema Quran imekamilika na haijaacha kitu?

Imekuwaje tena!!
 
Soma Surat Al-Qamar utaona muujiza wa kugawanyika kwa mwezi
Wewe Unaamini mwezi uligawanyika?
Kwa akili zako kabisa bila kushikwa akili unaamini hilo?

Alah ambaye ameshindwa kuwaadhibu wa Sweden wanaochoma Quran kila siku anaweza kugawanya mwezi kweli?
 
Wewe Unaamini mwezi uligawanyika?
Kwa akili zako kabisa bila kushikwa akili unaamini hilo?

Alah ambaye ameshindwa kuwaadhibu wa Sweden wanaochoma Quran kila siku anaweza kugawanya mwezi kweli?
Ndiyo naamini
 
Ndiyo imekamilika haijaacha chochote kuhusu miujiza hiyo kasome surat Al Qamar
Haijaacha chochote wakati wewe mwenyewe umesema tukitaka kusoma miujiza tukasome hadithi/suna?

Kwa nini tukasome kitabu kingine wakati Quran haijaacha kitu?
 
Sasa Alah aliyegawanya mwezi anashindwa nini kuwaadhibu wa sweeden na wa Denmark ambao wanachoma na kuchana China kitabu chake?
Hawaadhibu kwasababu ameishusha Quran kuwa ukumbusho kwa walioamini na kwa waliokufuru atawaadhibu siku ya Qiama
 
Haijaacha chochote wakati wewe mwenyewe umesema tukitaka kusoma miujiza tukasome hadithi/suna?

Kwa nini tukasome kitabu kingine wakati Quran haijaacha kitu?
Alipoulizwa yeye mwenyewe, aliionesha Qur'an.

Qur'an ni muujiza unaoishi. Siyo wa kuhadithiwa tu kama mingine yote.
 
Haijaacha chochote wakati wewe mwenyewe umesema tukitaka kusoma miujiza tukasome hadithi/suna?

Kwa nini tukasome kitabu kingine wakati Quran haijaacha kitu?
Haya nenda kasome Quran hiyo surat Al Qamar utaiona hiyo miujiza ili uridhike
 
Hawaadhibu kwasababu ameishusha Quran kuwa ukumbusho kwa walioamini na kwa waliokufuru atawaadhibu siku ya Qiama
Kama atawaadhibu siku ya Kiama, maandamano na vitisho vya kuwaua wanaochoma Quran ni vya nini?

Si mumuachie Alah awaadhibu siku ya kiama?

Unaona jinsi unavyojichanganya?
 
Uislamu umeenea kwa sababu Nchi hizo za Urabuni zililazimisha raia wake wote kuwa waislamu na bado mpaka hii leo nchi hizo zinaongozwa kwa misingi ya kiislamu... Uwezi ukawa wa Dini nyingine ukaishi huko, mfano vipindi vya Ramadhani wote mnalazimishwa kufunga kwenye Nchi hizo, migahawa na kila kitu kinafungwa... makanisa hayaruhusiwi mfano Afghanistan, Iran, Iraq uwezi kufungua kanisa... Hivyo raia wote inabidi tu muwe waislamu na watoto mtakaowazaa lazima wawe waislamu, na katika tamaduni za kiislamu mnapiga sana vita Watoto wenu wa kike kuolewa na mwanamume wa Dini nyingine, ajenda yenu ni kuwa lazima mtu huyo abadilishwe Dini awe muislamu... Yani mmetengeneza sheria za kulazimisha kila mtu atakaeingia anga zenu awe muislamu na ndio maana uislamu umekuwa mpaka hivi sasa... Huko India Wahindi hawawataki waislamu kwa sababu wamekuwa wakichumbia mabinti zao na kuwabadilisha Dini kuwa waislamu kitendo kilichopelekea Dini ya Hinduism kukosa nguvu.

Wakristo ndio Dini inayoongoza kwa wafuasi wengi, ila uwezi kuona Taifa la kikristo au Nchi ya kikristo... Vatican ni mji tu hata Tandahimba ni kubwa, hold sio Nchi ni mji. Ukristo unaenea kwa mahubiri mazuri ya mwenyezi Mungu, na si kwa kuanzisha vikundi vya kigaidi kulazimisha kila mtu awe muislamu usipokuwa Muislamu unachinjwa au kupigwa bomu
Alipoulizwa yeye mwenyewe, aliionesha Qur'an.

Qur'an ni muujiza unaoishi. Siyo wa kuhadithiwa tu kama mingine yote.
 
Kama atawaadhibu siku ya Kiama, maandamano na vitisho vya kuwaua wanaochoma Quran ni vya nini?

Si mumuachie Alah awaadhibu siku ya kiama?

Unaona jinsi unavyojichanganya?
Tunaandamana Kwasababu katuamrisha tunachoweza kuondoa na mikono yetu tukiondoe, ndo maana yeye ni mtoa riziki lakin chakula hakikufati ndani ukiwa umelala unatakiwa ukatafute
 
Alipoulizwa yeye mwenyewe, aliionesha Qur'an.

Qur'an ni muujiza unaoishi. Siyo wa kuhadithiwa tu kama mingine yote.
Mwenzako amesema tukasome Suna na Hadithi ili tuone miujiza ya Quran kwa sababu Quran haijaandika miujiza.

Kumbe Quran kuna vitu imeacha inabidi tukafungue vitabu vingine ili kusoma!!

Huwa mnachekeshaga sana
 
Sasa huo si ni mpangilio tu ofisaa.... Herufi, majina, Chapter ni mpangilio tu ambao hata muandika gazeti anaweza kuupangilia.... Maneno mengi ya Quran yapo kwenye Biblia unasemaje kwamba Quran ni muujiza wakati ni copy and paste ya Biblia
Aliupanga nani miaka 1,400 iliyopita?
 
Tunaandamana Kwasababu katuamrisha tunachoweza kuondoa na mikono yetu tukiondoe, ndo maana yeye ni mtoa riziki lakin chakula hakikufati ndani ukiwa umelala unatakiwa ukatafute
Kwa hiyo amewaamrisha mumsaidie kuwahukumu wachoma Quran?

Amewaamrisha mumsaidie kuwaua Wachoma Quran?
 
Sasa Bi. Faiza kwa upande wenu waislamu huwa mnajuaje kama huyu ni mpigaji?.
Alipoulizwa yeye mwenyewe, aliionesha Qur'an.

Qur'an ni muujiza unaoishi. Siyo wa kuhadithiwa tu kama mingine yote.
 
Alipoulizwa yeye mwenyewe, aliionesha Qur'an.

Qur'an ni muujiza unaoishi. Siyo wa kuhadithiwa tu kama mingine yote.
Amemuuliza unajuaje hao masheikh wengine ni wapigaji, Yani inagundua vipi
 
Back
Top Bottom