Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

Ni wazo zuri jaribu sana kuzingatia

i. Bidhaa zinazohitajika kwa sana mahali hapo
ii. Huyo dogo ana uzoefu wa kusimamia biashara?
iii. Je nidhamu ya fedha anayo?
iv. Biashara na ndugu siku zote asilimia za kuendelea ni ndogo sana ivyo uwe unafuatilia kwa karibu sana
v. Pia kuna bidhaa ambazo zinapigwa vita kuuzwa kwenye maduka ya vipodozi jaribu kuzingatia ilo pia
vi. Pia isajili biashara yako (Jina la biashara-BRELA)
vii. Pia mtoa huduma awe na kauli nzuri kwa wateja
viii. Pia jaribu kuwa na mpango kazi hili ukuongoze katika biashara yako

Hayo ni machache tu ya kuzingatia na mengine wadau watakuja nayo

Karibu sana
Mnatoa huduma ya kusajili kampuni.
 
Habari ya kutwa wakuu,

Naombeni ushauri kwa wale wazoefu wa hizi biashara nina mtaji wa 1.5M hiyo haijumuishi kodi ya pango. Nimefanya utafiti kati ya hizi biashara mbili moja wapo inaweza ikanifaa.

1. Biashara ya duka la vipodozi
2. Biashara ya duka la mahitaji ya nyumbani

Pia, bado sijapata eneo kama utanishauri wapi naweza enda kuweka hiyo biashara itakuwa vyema zaidi hata mikoani naweza fika kwa sasa nipo Dar.
 
Back
Top Bottom