Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

Asante sana mkuu. Unaweza kutupa makadirio ya mtaji wa kuanzisha duka la kawaida la vipodozi na jinsi linavyozalisha? Natanguliza samahani kwa usumbufu lakini

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Kwa maelezo haya nadhani hata ukiwa na milion mbili unaweza kujaza duka! Kwasabu kama mafuta ya african dream yanauzwa elf 30 ukiweka laki mbili hapo inatosha kabisa! Kuna mafuta ya kupata yanauzwa elf kumi maduka ya rejareja manake jumla inaweza isizid elf sana ukiweka laki hapo una mafuta ya kutosha kabisa,
 
Kwenye hilo duka lako la vipodozi weka pia heleni, bangiri, mikufu na hata vikuku vya ile inayoitwa ENGLISH GOLD. Mchanganyiko huu unaweza kukutoa pia. Nashauri hivyo kwani wadada wanapenda pia vitu hivyo na kule Kariakoo vimejaa tele.
 

American dream bei ya jumla ni 18,000

Mimi Nauza rejareja 25,000
 
Ahsante kwa taarifa inapendeza...

Ila hapo bei zao zipo juu kiasi...
Ukienda kwa wale wanaowauzia hao ndiyo unakuta bei ipo chini zaidi sema wanataka uwe unachukua mzigo mkubwa...
 
Si ndo yale maduka yaliyoko karibu na kituo cha msimbazi kulia?
 
Vipodozi gani pendwa kwa wadada wa mjini..ambavyo havitakiwi kukosa..je mkorogo vipi?

#MaendeleoHayanaChama
 
Vipodozi gani pendwa kwa wadada wa mjini..ambavyo havitakiwi kukosa..je mkorogo vipi?

#MaendeleoHayanaChama

Usoni ni bomba zaidi

Anza na cleanser sina soko ni brand gani ipo juu kwa wakati huo

Scrub pia angalia Zile zinazotrend

Fuata toner chagua Zile top ten

Kisha serum. Angalia pia zinazouzwa zaidi kwenye page za watu

Oil/lotion/cream pia zingatia zinazotrend na zenye matokeo kwa ajili ya wateja wa kudumu

Sabuni pia angalia zinazotrend kwa wakati huo na zenye matokeo











 
Asante mkuu
,hivi ni vigezo gani inatakiwa utimize ndo umiliki biashara hiyo ukiachana na TRA,na inatakiwa angalau uwe na mtaji(kianzio) kama sh ngapi?

maana Huku nilipo kuna fursa fursa,moja wapo hiyo.

Vigezo ni
Leseni
Tin number
Kibali cha TFDA


Mtaji inategemea na layout ya Duka lako unataka lionekane vipi
Maximum ukiwa na Milion 5
But hata ukiwa na Milion 3 kwa kuanzia sio mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…