Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo


Wix haina soko kwa sasa rafiki

Kuna Viera na La vista

Sachque anauza vitu bei ghali wateja watakukimbia hivyo vitu vya Sachq unavipata Sinza kwa Panda Sourcing au Berogenge[emoji28][emoji28]

Kkoo kuna mtu anaitwa Faiz anavile vya High quality vya kubutulia bei.
 
Hivi kwa nini lakini unaiponda wix?Yaani jamani
 
Panda ni mtu na nusu nakumbuka sakata lake na sanchq la snail
 
Me huwa napenda sana kufanya hii biashara asante kwa madini ila tatizo mtaji wangu ni laki 6 nitaweza kweli kutoboa? Coz naona wengi wanaeleza mtaji uanzie angalau M1 na point.
 
Hao wachina nawapatajenisaidie kupata connection nahao wachina
 
No, kwa mtaji wa 1M huwezi fanya biashara hii ya cosmetics!
Mzigo wa 1M ukifungashiwa, unaishia kwenye maboksi matatu tu ya size ya kati, na unaweza kuishia kwenye vishelfu tisa tu vya duka lako. Chukua mfano duka lako dogo lina jumla ya shelfu 30 tu, je utatumia mtaji wa kiasi gani kujaza hilo duka? Hapo bado hujajaza mzigo kwenye makabati.
 
Habarini wadau na m2 hapa out of rent nawaza kufungua duka la vipodozi ambalo litajaza lenyewe iwapo litakuwa linaweka faida.
  • Je, m2 kwa kuanzia inatosha?
  • Je, vipodozi gani vinatoka kwa wingi?
  • Je, faida zake na hasara ni zipi?
Msadaa tafadhali.

Au kama mtu ana idea nzuri ya biashara ya ufugaji anipe.

========
Kwa maoni zaidi soma uzi huu:Duka la Vipodozi-Ushauri na Muongozo wa kuanzisha
 
Ingia tu mzee utajua ukouko M2 hela ndogo usiogope kuipoteza ingia ujione watu watakudanganya maana kwa M2 ni mtaji wale machinga wanatembeza na toroli
 
ingia tu mzee utajua ukouko M2 hela ndogo usiogope kuipoteza ingia ujione watu watakudanganya maana kwa M2 ni mtaji wale machinga wanatembeza na toroli
We unaona m2 ndogo sio bhasi sawa acha niongeze ifike 5 ninunue mkoko wakulia totozi
 
Hapo kikubwa ujue aina za ngozi na matunzo yake. Hapo utapata wateja wengi.Lakini ukilenga tu kununua na kuuza ,hapo uwe na mtaji mkubwa zaidi ya hapo
 
M2 inatosha kabisa nenda duka la jumla kila bidhaa unachukua Pc mbili mbili.
 
Mnaboa sana.
Mkipewa fedha ya kutoa ushauri, fedha mnakula then hamfanyi chochote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…