Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Zoezi lilifanyika kkoo tangu jumatatu, na wana mpango wa kushtukiza tena
Siyo kushtukiz waliacha taarifa watu wakakate leseni.
Watarudi kukagua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zoezi lilifanyika kkoo tangu jumatatu, na wana mpango wa kushtukiza tena
Wakitoa tena taarifa tujuzaneSiyo kushtukiz waliacha taarifa watu wakakate leseni.
Watarudi kukagua
Wallah roho imeniuma! Kumbe nami naweza kununua kwa 18 alafu nauza jumla 25! Daa
Wakuu mm nataka vipodozi vifuatavyo, calorite, deplozon ,epidem n.k yeyote aliye navyo kwa bei nzuri tuwasiliane
Mkoani anatuma kwa uaminifu?0754306669 muuzaji wa jumla
Hapana boss bali ninawatolea usumbufu wateja wanguWewe ni mwanasheria?
Hapo ada za brela zimejumuishwa ama?Hapana boss bali ninawatolea usumbufu wateja wangu
Hapo ada za brela zimejumuishwa ama?
Mbona ghali sana wakati ukiingia brela unalipia 20 ya jina la biasharaAda za brela hazipo hapo, hizo ni gharama za kufanyiwa kazi
0754306669 mtafute huyu utakuja kunishukuruWakuu mm nataka vipodozi vifuatavyo, calorite, deplozon ,epidem n.k yeyote aliye navyo kwa bei nzuri tuwasiliane
Mabaharia bado tunaziuza Calorite,Tent clair, Extra clair, Coco pulp, lemovate, Diplloson, Betason, Diana, White max, calaton, beaution ..kMashelf yamesafishwa na TBS
Vipodozi vilivyopigwa ban
Waliibuka kwa kushtukizwa
0754306669 mtafute huyu boss utanishukuruUnanunulia wapi mkuu
0754306669 mtafute huyu no muuzaji wa jumla bei poa sanaMkuu bidhaa za vipodozi kwa bei ya jumla vinapatikana wapi niko Northern Zone
Huyu apa muuzaji wa vipodozi 0754306669Mpaka leo kimyaa
Ni wewe tu boss mtafute utakuja kutupa mrejeshoMkoani anatuma kwa uaminifu?
WAP anapatikanaHuyu apa muuzaji wa vipodozi 0754306669
WeehMnaboa sana.
Mkipewa fedha ya kutoa ushauri, fedha mnakula then hamfanyi chochote!
Ina maana yule dada wa kiiraq anatupiga 40K insta anaeuza LA VISTA? Kweli ana haki ya kwenda Ibiza kila december.American dream bei ya jumla ni 18,000
Mimi Nauza rejareja 25,000
Unanitamanisha sana mrembo, zile biashara za faida za sh.100/100 huwa siziwezagi 😂😂😂! Yani napenda kitu niuze nipate walau 5000 au zaidi! Perfume ndio zina mtindo huu kumbe hata vipodozi ndio hivyo hivyo. Nitakuja tuongee kirefuNimefanya biashara nyingi ila kwenye vipodozi nimetia manga.
Kuna kitu kinaleta faida mpaka ya 20K.
Ni ujanja wako tu wa kusuka maneno.
Cosmetics ni kabiashara katamu mno.