babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Na kwa nini MUNGU huyo huyo aliruhusu Mwokozi afe?Muulize Mungu kwa nini hakuruhusu afe kwa risasi lakini kuna wengine pamoja na kuzungukwa na madaktari bingwa koona ikawachota?
Ukipata jibu tusaidie na sisi
Bila machafuko hakuna mabadiliko yanayotakiwa kutokea yatatokea. Najua hukubaliani na ukweli huu, lakini ili mabadiliko halisi yatokee, machafuko ndio njia pekee. Hizi porojo za kukaa mezani watu wakiwa wamevaa suti na sio kuwa na bandeji, tutaendelea kuchezeana.
Muongo huyuKumbe Nyerere hakuwa na demokrasia, alikuwa dictator mkubwa, eti huyo ndiye anakuja kuwa Mtakatifu!
Sikiliza kwa makini:
Stupid people only speak of problems, Lissu style.Una mawazo ya kijima na very primitive. Kwa hiyo yasisemwe maovu kwa vile serikali hiyo ilijenga na kutaifisha shule?
Kwani wananchi walikuwa wanalipa kodi ili iweje? Nyie ndio hata mkiibiwa na watumishi wa umma mnaona ni stahili yao.
Kumbe Nyerere hakuwa na demokrasia, alikuwa dictator mkubwa, eti huyo ndiye anakuja kuwa Mtakatifu!
Sikiliza kwa makini:
umezaliwa juziMuongo huyu
Jitahidi usome kijana najua wewe ni wa juzi naona unavyo present arguments zako...Nonsense.....Namibia too was a protectorate under South Africa but it was only through armed struggle she achieved her independence in 1990.....
achieving our independence peacefully was one of Mwl Nyerere's best achievements for this country.
Rubbish, even Hitler has a lot of good deeds!You probably do not know the meaning of the word "prevail".
Which history are you alluding to?
Nyerere's accomplishments tramps every trash that is invented, yet you term it history?
hiyo haimuondolei kuwa alikuwa dictatorNyerere's accomplishments tramps every trash that is invented, yet you term it history?
Nina wasiwasi na umri wako..kwaheriChadema mna wadudu vichwani
jidula kumbe ni takataka , nilikuwa nalifikiria vingine...Una mawazo ya kijima na very primitive. Kwa hiyo yasisemwe maovu kwa vile serikali hiyo ilijenga na kutaifisha shule?
Kwani wananchi walikuwa wanalipa kodi ili iweje? Nyie ndio hata mkiibiwa na watumishi wa umma mnaona ni stahili yao.
Huu ni uongo mkubwa, nchi gani aliyosaidia kuikomboa? Angola & Mozambique zimepata uhuru baada ya mabadiliko ya serikali ya Ureno, SA baada ya moderate leaders wakiongozwa na De Kleck kuchukua uongozi wa NP, Namibia baada ya makubaliano kati ya SA, US vs Cuba, USSR; Zimbabwe baada ya uingereza kuingilia kati, elewa liberation movements they never won a war, only few battlesHata kama alikuwa Dikteta aliwakomboa waafrica wengi kusini mwa Africa! na africa! kuliko Baba yako Mobutu mla Bata!....ata ivo Lisu anajeuri leo sababu alisoma bure!! msingi mpaka chou kikuu! anyamaze tu!
hao wakoloni walio mtuma anaishi nao kwao mbona walituchapa viboko/wakatuuza km mbuzi wa kafara/wanatupiga pin madini yetu na ukoloni Mambo leo lkn mbona hana jeuri ya kuwasema?? na hamsemi.
Miafrica inatafuta kick kwa kusemana yenyewe kwa yenyewe ili yapate safari tu ya kwenda Ulaya na kuishi!
Bado Mbowe hajakutoka akilini tu??Kama Mbowe alivyo dictator
Mbona Nyerere mwenyewe alishalitolea ufafanuzi swala la mamlaka makubwa aliyopewa kwenye katiba kipindi chake. Hakuna jambo jipya hapo bro au kwasababu Lissu amesema!!!Kumbe Nyerere hakuwa na demokrasia, alikuwa dictator mkubwa, eti huyo ndiye anakuja kuwa Mtakatifu!
Sikiliza kwa makini:
Siyo kama ninyi watetezi, na utarudi na monkeypox ugonjwa wenu.jidula kumbe ni takataka , nilikuwa nalifikiria vingine...