Ufafanuzi wa Tundu Lissu juu ya Mamlaka makubwa ya Kikatiba aliyonayo Rais wa Tanzania yalitoka wapi. Nyerere hakuwa kama tunavyohubiriwa!

Lissu yuko very logical sema wewe humsikiliz8 kwa makini. Usiwe miongoni mwa walinsa hisia bali ukweli na uhalisia.

Wakati nyerere akijua Katiba Ilikuwa mbovu na haifai lakini hakufanya attempt yoyotebya kuiboresha.

Huo mfumo wa vyama vingi alileta sababu ua msukumo wa Kimataifa tu ili apate Pesa za wazungu.

Nje ya hapo ingekuwa ndoto.

Ni kweli Nyerere ana mazuri yake lakini manaya pia yasemwe iwe funzo kwa wengine.

Tujifunze kuwa Honesty.
 
Sijui hisia zangu ni zipi hapo.

- Unaposema Nyerere alileta mfumo wa vyama vingi ili apate pesa za wazungu, sijui unamzungumzia Nyerere yupi, huyo wako sio yule niliyekuwa namfahamu mimi, Nyerere niliyekuwa nikimfahamu alikuwa hajui kujikomba kwa wazungu kama hawa viongozi wetu wa sasa.

- Kama Nyerere alijua Katiba iliyopo ni mbovu na haifai lakini hakufanya lolote, sasa ndio aendelee kulaumiwa mpaka leo licha ya marais wengine watano waliofuata baada yake? hata sijui logic yako unayoizungumzia iko wapi!.

Sharti la kuwa honesty uongee reality, sio kuingiza mpaka mambo ya "mchakato wa utakatifu" ambao Lissu haumuhusu chochote, na nyie mjifunze kumwambia Lissu ukweli, sio kumsifia tu hata akiongea mihemko yake, mnamuharibu.
 
Mkuu siyo uongo, …..weye ndo hujui Historia ya Africa ,...fikiria tu yaani adui yako!! muuza watumwa sugu! na Mkoloni huyo huyo!! akufanyie mabadiriko yeye? ili iweje??

Unajua kuendesha Makoloni ni mtaji ni gharama na faida kuuubwaa yaani afe njaa kirahisi tu eti weye adui yake upone? mwee??

hata bibi yako wa Gumbaru hata kuelewa!.....De klerk hakuwa na jeuri hiyo alisukumiwa pila na watangulizi wake baada ya wao kushindwa kumudu ule muziki wa NAC,

kifupi alitolewa kafara baada ya kaburu kubanwa kila angle na nchi huru ambao sasa walikuwa maadui jirani yake !! ndo maana alianzisha Bantustan....lkn pia hizo hizo Bantustan ndo ukawa mwiba mkali Zaidi!

sababu nchi jirani zooote zilikuwa tayari huru na walikuwa na Umoja kupitia chama lao kubwa yaani!
chama Mama/tata la ''Non Aligned Countries!'' Na sasa SADACC

kwa sababu hii kaburu asinge chomoka!!! huyo De clerk hakuwa na jeuri hiyo hata Nusu! waalimu wako hao wa UPE /vilaza, hawakujua Africans History bali ulipigwa za uso!

DSM Bongo Land! yetu ya leo ndo ilikuwa Makao Makuu ya NAC, kimafunzo, siraha, hifadhi ya wakimbizi KM Mazimbu ,Msata pale kwa uchache tu tuliwahifadhi wooote wa kusini mwa Africa!

ndo Maana TZ nchi zote za kusini mwa Africa wanatuheshimu saaana!...acha akili za ivo Muingereza, Usa,Mreno ndo adui zetu waliouza babu zako utumwani eti huyo huyo tena akusaidie! Loool!

Cuba ni ndg zetu wa Damu lililo wasibu nasi pia lilitusibu!...……...Russia, China nk, walikuwa ni Marafiki zetu wa kweli hatuta washau pia ni adui zao hao maadui zetu!

mpaka sasa navoongea hapa Africa tutamsaidia M-Russsia kumpiga m-Ukraine!...hata iweje ikitokea Kenyatta kuwa kinyume na hili ndo mwisho wake!...rudia kusoma historia ya Drs la tano af uje temna hapa!

siku hizi mnaita uraia?????/
 
Mazungumzo baada ya mapigano huwa yanaheshimiwa, lakini haya ya kukutana wakati wengine wanajiona wako juu, usitegemee lolote la maana.
Labda ndiyo maana Mbowe amepotea baada ya kuona hakuna lolote na atawaambia nini watu!
 
Kakomboa wengine, kavamia wengine. Kwa mfano Zanzibar ndiye Nyerere alivamia.
Kumbe nimeeleweka vizuri!! sasa iko hivi kuna maadui wa ndani na maadui wa nje!!….. kama Zanzibar kuna maadui lazima avamie akomboe ili wengi wanyonge wapone!! na ndo maana tulimchagua

yaani tulimtuma sisi afanye ivo!! make Zanzibar ni mali yetu sisi bara kisiwa cha uvuvi….. ..so alikuwa sahihi san ttuu!...…. asinge fanya ivo ...tungemkomesha ikulu asiione tena!
 
Muulize Mungu kwa nini hakuruhusu afe kwa risasi lakini kuna wengine pamoja na kuzungukwa na madaktari bingwa koona ikawachota?
Ukipata jibu tusaidie na sisi
Ushawahi kujiuliza risasi zinavyomtesa mwilini mwake? Huyo ana laana kubwa sana anajifanya kudoma sheria ndo kujua kila kitu! Very stupid!
 

Usitufananishe mabepari na hao mafisadi. Mafisadi ndiyo wanaotajirika wakiingia kwenye siasa na ndiyo maana hawataki mfumo ubadilike. Mabepari tuko sekta binafsi ambayo inabanwa na kushambuliwa tangu nchi ipate uhuru.
 
umejuaje? ina maana unatembea na mama yake? anasafisha vya stend ya magufuli. After five minutes nitakblock indefinitely!
Si umesema wewe? mara hii tu umeshasahau Mkuu?.....well natembea na *****! kwani kutembea na mtu kuna kosa gani? au unaongea kwa influence ya kile cha Arusha Mkuu!...

hiviii ukini -Bolocku nita suffocate au …..kufanya ivo unafikiri ndo uta kuwa Idealistic wa kimataifa km Mimi? sometimes Kwa akili zako hizo unadhani ndo ntakufa sijui??..

To sum up! yaani weye ni ritoto!! tena ritoto illitrate kabisa! yale Matoto mashamba yaliyokuzwa na Bibi zao hukooo vijijini!..ni kususa susa tuuu na kulilia tuu viporo vya ugari ule wa muhogo wa kutwanga na mrenda wa juzi!!

MKubwa mzima!! tena IT ofisa, mie unanitishia Blockage??/Looool ufwilwe nyambara…... ebu block nikuon eeeee kilaza unavo buloku!
 
Kesha lamba asali huyo.
Sasa hivi anatafuta pa kutokea!!
 
Kafanye hayo machafuko umezuiliwa na nani??
 
Usitufananishe mabepari na hao mafisadi. Mafisadi ndiyo wanaotajirika wakiingia kwenye siasa na ndiyo maana hawataki mfumo ubadilike. Mabepari tuko sekta binafsi ambayo inabanwa na kushambuliwa tangu nchi ipate uhuru.
Mkuu hilo nimelisema ironically sababu kwa Tanzania fisadi,mnyonyaji wa wenzie na mla rushwa kwa kupitia mgongo wa siasa au cheo chake kazini ndio hujiita bepari.

Kimsingi sina tatizo na ubepari sababu huwa kilele chake kinakuwaga na element ya philanthropy. Ila ubepari wenye element za kishenzi kama za CCM za kutesa raia wakati wao wanainjoy ndio sizipendi na ndio maana nilimkubali Magufuli.
 
Blah Blah blah ni haki yetu to disagree, NAC umeirudia zaidi ya mara mbili hapo juu, ninaamini ni typing error, vyama vyote hivyo havijawahi kushinda vita dhidi ya hao na mbaya zaidi hakuna battle yeyote iliyofanywa na PAC(Azania)au ANC(U.sizwe),uhuru wa SA umeletwa zaidi na pressure ya moderates waliochukua madaraka ya NP, na msukumo wa UDF ndani ya nchi, hao wote uliowapa hifadhi nchini hapa walikuwa picnic, always ukweli uelezwe hata kama ni mchungu, wazimbabwe ndio kabisa ,wao walikuwa wanapiga soft targets including kuipiga ndege iliyobeba watoto kutoka Victoria falls, nimesoma vitabu vya historia na kubahatika kutembelea hizi nchi zote za sadc mkuu
 
OAU ilifanya Dar kuwa makao makuu ya liberation movements.

Asilimia kubwa ya wapigania uhuru walikua hapa Dar.

Mipango yote ilikua hapa.

Huko Morogoro kuna ushahidi ya makambi ya wapigania uhuru.

Ndugu success yeyote ile kwa nchi hizo chanzo chake ilikua hapa.
 
Hao ni zao la vijana waliokuwa brainwashed na western media.
 

Hata huyo Magufuli aliletwa ili CCM ionekane inapambana na ufisadi lakini siyo kweli. CCM ni ile ile. Tena huyo Magufuli alivyovuruga upinzani ndiyo amehakikisha CCM inaendelea kutawala miaka mingine 60.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…