Ufanyaji kazi wa viagra

Hapa ndo umenitupa kabisa rafiki yangu,
Sasa kama Ina lower ana haja Gani ya kutumia SI hata mjulusi hata simama?
 
Ipo sahil ya elfu sita
 
Kuendekeza hayo mavidonge sio vizuri kwasababu unaweza ufike mahali usijiweze naturally bila mavidonge.Na hiyo ni very worse situation...Ni bora kutumia virutubisho vya asili kama asali,karanga pweza nk..kwa utaratibu unaofaa.Pia ni muhimu kujenga tabia ya kufanya mazoezi na kunywa maji mengi.Kuwa na mawazo chanya pia inaongeza ufanisi....Vidonge sio vizuri,vinakupa furaha ya muda mfupi huku vikifubaza uwezo wako wa asili.
 
Tafuta taarifa sahii,
Viagra inaongeza presha maana usababisha damu ikimbie Kasi Sana.

Wanaopata low BP wakitumia viagra Ni wale waliotanuka mishipa, au Moyo mpana.

Wengi presha inapanda
 
Hapa ndo umenitupa kabisa rafiki yangu,
Sasa kama Ina lower ana haja Gani ya kutumia SI hata mjulusi hata simama?
Viagra ni ya moja ya "vasodilator" (inaifanya mirija ya damu inakuwa wazi zaidi, inaongeza upana wake, yaani uwezo wake wa ujazo unakuwa mkubwa zaidi). Kwa hali hiyo presha ya damu ni lazima ishuke.

Kumbuka Viagra inafanya kazi kwa kuongeza flow ya damu kwenywe uume, yaani inalazimisha damu nyingi zaidi ipelekwe kwenye mirija ya uume. Hivyo 1. Imepanua mirija ya uume, 2. Imeongeza flow ya damu kwenye mirija ya uume. Sasa litakuwa ni jambo la ajabu icho kimjulusi kisisimame
 
Mbona mi nameza hayanisaidii nikimeza kimoja au na nusu njoi ndio kwanza nawai kupiz sekunde ya tano mwaaa nimetumia kama mara tatu lakin watu mnavisifu mi nina matatz gan nikinywa maji lita kdg naweza dumu kwenye gemu angalau dakika mbil chali wakuu dawa gan kwa mtu kama mm zitanifaa
 
erecto shngp mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…