Hapa ndo umenitupa kabisa rafiki yangu,Ni bahati mbaya icho kisungura mimi sikijui. Lakini moja ya side effect ya viagra ni kulower blood pressure, sasa kwa hali ya kawaida tu isingaliwezekana apewe vitu vya kupunguza zaidi presha ya damu yake akati ishashuka na ipo chini sababu ya viagra aliotumia.
Afu priton inauwezo wa kuongeza blood pressure na sio kushusha
kipipi kinasaidia nini?Niliwahi kuonja kipipi moyo ulienda mbio.....nkajisemea ntakufa nakata viuno
Ipo sahil ya elfu sitaKama ulimeza NJOI unapaswa ubalishe
,
Ni Viagra ya Bei rahisi sokoni yenye ubora hafifu mno ili kumudu soko ushindani.
Kwa beginners hata Kama uchumi hauruhusu sn, angalau uanze na ERECTO.
Hayo matakataka ya NJOI yanatenezwa hapo GONGO LA MBOTO na waswahili wenzetu Changamoto Sana.
Wengi wanalalamika
😀😀😀Bro unavozielezea vizuriKama ulishiba sana kabla,
Au ulimeza na maji baridi,
Lazima itachelewa kufanya kazi
Kwakweli okoa jahaziNdio bado naangalia extent ya tatizo ili nione namsaidiaje.....
[emoji2][emoji2][emoji2]au mwanachama![emoji3][emoji3][emoji3]Bro unavozielezea vizuri
Aje atuambie[emoji2][emoji2][emoji2]au mwanachama!
Nmezitumia sana ujanani[emoji4][emoji3][emoji3][emoji3]Bro unavozielezea vizuri
Tafuta taarifa sahii,Ni bahati mbaya icho kisungura mimi sikijui. Lakini moja ya side effect ya viagra ni kulower blood pressure, sasa kwa hali ya kawaida tu isingaliwezekana apewe vitu vya kupunguza zaidi presha ya damu yake akati ishashuka na ipo chini sababu ya viagra aliotumia.
Afu priton inauwezo wa kuongeza blood pressure na sio kushusha
Nishazitumia Sana enzi zangu[emoji4]Aje atuambie
Sawa mwalimu tuko pamojaKwa anaeanza, ROBO ndio kipimo sahii.
Viagra ni ya moja ya "vasodilator" (inaifanya mirija ya damu inakuwa wazi zaidi, inaongeza upana wake, yaani uwezo wake wa ujazo unakuwa mkubwa zaidi). Kwa hali hiyo presha ya damu ni lazima ishuke.Hapa ndo umenitupa kabisa rafiki yangu,
Sasa kama Ina lower ana haja Gani ya kutumia SI hata mjulusi hata simama?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Experience is the good teaacher[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ufanyaji wa kazi wa dawa ya viagra haupo ivyo mkuu.Tafuta taarifa sahii,
Viagra inaongeza presha maana usababisha damu ikimbie Kasi Sana.
Wanaopata low BP wakitumia viagra Ni wale waliotanuka mishipa, au Moyo mpana.
Wengi presha inapanda
erecto shngp mkuu?Kama ulimeza NJOI unapaswa ubalishe
,
Ni Viagra ya Bei rahisi sokoni yenye ubora hafifu mno ili kumudu soko ushindani.
Kwa beginners hata Kama uchumi hauruhusu sn, angalau uanze na ERECTO.
Hayo matakataka ya NJOI yanatenezwa hapo GONGO LA MBOTO na waswahili wenzetu Changamoto Sana.
Wengi wanalalamika
matumiz yake yapoje?Ipo sahil ya elfu sita