Ufanyaji kazi wa viagra

Nikiwa secondary high school mate wangu alitumia local viagra (inaitwa MKUYATI) walikuwa wanauza wasambaa pale jirani na stend kuu ya mabus Moshi. Jamaa alipouziwa miaka hiyo akaingia pale Shangazi Hotel akaagiza chai ya rangi na kuweka vijiko 2 vya huo MKUYATI badala ya kijiko kimoja alichoambiwa. Kurudi shuleni demu akawa hakufika, aiseeee ilikuwa balaa maana hiyo erection na mishipa kukaza ilikuwa balaa. Jamaa pamoja na kumuambia apige puli mara kadhaa haikusaidia, tukaenda kumuita mwalimu wa zamu, ambaye naye wiki hiyo alikuwa mwanamke. Anatuuliza mwnzenu anaumwa nini? Tukawa tunaangaliana tuu [emoji23] [emoji23]
 
Huo ufukunyuku na vitu visivyokuhusu 🤣🤣🤣
Sasa hadi dipe unafatilia ulikuwa unableed?
 
Huo ufukunyuku na vitu visivyokuhusu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hadi dipe unafatilia ulikuwa unableed?
Mm ukweli nasoma kila kitu, kuna muda huwa nasoma mambo meusi sana[emoji23][emoji23]

Niliwahi kutaka kujichanganya kuingia zile deep web kuona what's going on nikapata warning moja kali sana. Sirudii tena[emoji23]
 
Mm ukweli nasoma kila kitu, kuna muda huwa nasoma mambo meusi sana[emoji23][emoji23]

Niliwahi kutaka kujichanganya kuingia zile deep web kuona what's going on nikapata warning moja kali sana. Sirudii tena[emoji23]
Ndo ukome ufukunyuku 🤣🤣🤣
 
Ni kwa smart gin au any Gin??
 
Hii mambo unaweza ukafa kifala kumbe?? [emoji12] [emoji12]
 
Bora utumie mcongo ila sio viagra mana mcongo inakufanya uchelewe tuu na wala sio kuongezea nguvu yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…