Ufaransa imeniangusha sana


Mwarabu anapesa mzungu hagusi
 
Ndio mpira sasa huu,sio tu unasema fulani atashinda...atashindaje?quality inahitajika kila kipengele...hawana kipa kama wa Argentina na wapiga penalty chenga wanashindaje kwa watu wenye full package..?jibu ni HAIWEZEKANI
Mpira umetushinda ndio maana unatoa comment kama hii...inshort hujui mpira
 
Kuna siku alikuja humu na thread akilia Kwamba ameshikwa shikwa makalio,full kupapaswa Kwny hiace,nikawa najiuliza mpk ushikwe makalio na mwanaume mwenzako anakua amekuonaje onaje?

Nikajua huyu Ni boflo tu.
Show evidance
 
Mkuu, wewe nawe ni mwarabu?
Nilijua tu hao ma black waliokosa penalty rangi yao itahusishwa!!
(Mungu baba tulikukosea nini sisi weusi?)
 

Attachments

  • Screenshot_20221220_012716_Instagram.jpg
    102.4 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…