InvisibleTarget
JF-Expert Member
- Dec 20, 2014
- 1,138
- 2,176
watu wanalia kwa mengi bro...mtu kaliwa mkeka wa 500K atalinganisha na machungu ya maji na umeme kweli ?Hapo unaweza kukuta umeme umekatika na maji hayatoki ila wala huumii,lakini unalia kwa France kufungwa na Argentina.