Kunauwongo sana juu ya chato,,hakuna kitu chaaana labda uwanja wa ndegeMagufuli alipendelea Chato tulipoongea mkasema kwani Chato sio Tanzania?
Sasa mama yenu alishasema yeye na jiwe ni kitu kimoja mnashangaa akivaa vya kwao Zanzibar sio Tanzania?
Mlizoea ujinga wa kusema maendeleo hayana chama wala ukanda haya pambaneni sasa MATAGA chipukizi na MATAGA wafiwa
yawezekana maana havuagi hiyo tai jamaa licha ya kwamba inamfanya aonekane kituko akibadilisha ni amevaa skafuIvi ile Tai, hakuna nguvu za Giza kwy Tai. Wengineo wanasema ile ni ............
Wale walinzi labda ni Wazanzibari. Lakini nilikwenda Ikulu siku moja wakaniuliza kwa nini nimevaa barakoa nyeusi ambayo haifanani na nyingine. Sasa wao wamevaa hiyohiyo. But maybe this is not important. Isipokuwa in vizuri kunotice mambo kama haya. Inaonyesha you are observant.Salaam Wakuu,
Nadhani Walinzi walitakiwa Kuvaa Barakoa zenye bendera ya Tanzania sio Zanzibar kwani, hii ni Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Siku wakuambatana na Mwinyi ndo wavae hizi Bara K. Au ni Utalii wa Bluu?
Picha zimepigwa akiwa Paris, Ufaransa, wakati huo Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa akizungumza na Mkurugenzi wa Kituo cha kuwezesha Wajasiriamali cha Station F Start Up Bi. Roxanne Varza pamoja na Meneja Mawasiliano wa Kituo hicho Bw. Grégoire Martinez kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa Kituoni hapo ikiwemo kutoa fursa kwa wajasiriamali wadogo kupata elimu ya ubunifu wa kibiashara, fursa za mitaji yenye masharti rafiki pamoja na masoko wakati alipotembelea Kituo hicho leo tarehe 12 Februari, 2022, Paris nchini Ufaransa)
View attachment 2117285View attachment 2117286
View attachment 2118155
Haya Mambo haya!!Zanzibar ni sehemu ya Tanzania
Muungano ni suala lenye baraka na lenye tija kila siku. Watu hutafuta sababu za kuungana, udhaifu kwenye muungano hauwezi kukosekana.Unaposema kuwa ripoti za tume ya Warioba na Nyalali siyo misahafu unakosea Sana katika kipindi hiki ambacho Wananchi wengi wamepata japo elimu ndogo tofauti Sana na enzi ya Nyerere.
Kumbuka kuwa hata hizo kero zilizoorodheshwa ni matokeo ya tafiti na tume hizo.
Unaposema kero ya Muungano ni suala ambalo kwa uthibitisho wa kitafiti jambo hilo ama linawakera au wanalihitaji watu walio wengi Sana kwa zaidi ya 80% kwa pande zote za Muungano.
Kwa maana hii nyepesi kupuuza uondoaji wa kero za Wananchi walizoziainisha wao wenyewe kupitia tume ni kuongeza kero kubwa zaidi inayohatarisha taifa kwa ujumla.
Matatizo mengi ya taifa letu yamekuwa yakisababishwa na serikali kupuuza mapendekezo ya tafiti na wataalam wa idara husika.
Wazanzibar hawahawa waliowaleta mashehe wa uamsho bara ili wale msoto.Bara hamjitambui. Mmekalia majungu, fitina na inda. Hakuna jambo linalowaweka pamoja watu wa bara.
Lkn wazanzibari linapokuja suala linalohusu nchi yao hawanaga uvyama. Wote wanaungana wanakuwa kitu kimoja
Acha wachangamkie fursa ya kuitangazq zanzt kupitia barakoa zao. Ninyi endeleeni na upuuzi wenu wa kumsingizia Mbowe kuwa ni gaidi.
Tanganyika imeshakufa mkuu huko mtaani. Kama walishindwa kuifufua kina Jenerali Ulimwengu kipindi kile wakiwa na wabunge kwa kauli thabiti ya hayati Nyerere haupo uwezekano ikaweza kufufuka leo hii.Kwa kiasi nakubaliana nawe kwa hoja kwamba Rais SSH amekuza sana tatizo.
Mfano, kero 11 kwanini zimefanywa siri kubwa? Zilijulikana ni 11 lakini hatujui zimeishaje.
Pili, hoja za Waziri Mchengerwa zimechangia sana. Kwa ufupi, kuanzia siku ya kwanza anasema , angalieni ''usawa wa pande zote'' ilionyesha Rais SSH alikuwa na kitu moyoni
Tume zimekusanya maoni ya Wananchi. Kama kuna kitu tofauti ni kipi kutoka kwa nani.
Kama kuna wanaopinga ni vema wakatuonyesha msingi wa kupinga.
Msingi wa hoja za Jaji Nyalali na Mzee Warioba ni maoni ya Wananchi, kuna nyaraka na takwimu. Tupatie kitu tofauti na hicho!!
Ndiyo lakini pia Jiografia inahusu. Kuhusu ukupe hilo halina ubishi.
Ikiwa hawawezi hata kulipa bili ya umeme na juzi wamepewa mkopo wa JMT wa maji, tuntasemaje?
Kumbuka katika muungano hawana mchango wowote kuliko tarafa au kata ya Tanganyika.
Kuhusu utalii kama wanaweza heri na hakuna wa kuwazuia, si kwa gharama ya Tanganyika
Hapana, kinachotokea ni pesa za Tanganyika kutumika kujitanua. Ni ukweli usio na shaka.
Kwa miezi chini ya 10 wamepata zaidi ya Bilioni 500. Kwa bajeti yao ya 1.2M kiasi hicho ni ziada. Pili, kinachoendelea ni kuuza visiwa wakijua ardhi ya bure ipo Tanganyika.
Tatu, ni kupitia uchochoro wa kukwepa kodi kwa mlango wa muungano! kama utakumbuka Magufuli alikataa hilo na kuweka kodi ili kulinda masilahi ya JMT!. Je, bado ipo hiyo?
Pamoja na yote utalii wa Zbar unategemea Tanganyika kama ilivyo soko la bidhaa na ajira.
Sultan wa Zanzibar alistawi kwas biashara ya pembe, utumwa n.k. si kwasababu ya Zbar!
Yes kwasababu wanasimama katika mstari. Kero 11 walizitazama katika jicho lenye busara kwasababu zililenga kumbebesha Mtanganyika mzigo zaidi.
Hebu tuambie kwanini zimemamalizwa Kimya kimya na kwa usiri mkubwa? kulikoni?
Uvumilivu kwa Tanganyika pekee! hapana, wakati umefika Tanganyika irejee kama Wananchi walivyosema wakiwemo Wazanzibar!
Je, si kweli kuwa hoja ya Tanganyika ililetwa na Wazanzibar ? na kwanini leo wapo kimya? Nini kimebadilika? Kero 11 zimemalizwaje? Kwanini kuna usiri mkubwa?
Mbona sioni tatizo?Salaam Wakuu,
Nadhani Walinzi walitakiwa Kuvaa Barakoa zenye bendera ya Tanzania sio Zanzibar kwani, hii ni Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Siku wakuambatana na Mwinyi ndo wavae hizi Bara K. Au ni Utalii wa Bluu?
Picha zimepigwa akiwa Paris, Ufaransa, wakati huo Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa akizungumza na Mkurugenzi wa Kituo cha kuwezesha Wajasiriamali cha Station F Start Up Bi. Roxanne Varza pamoja na Meneja Mawasiliano wa Kituo hicho Bw. Grégoire Martinez kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa Kituoni hapo ikiwemo kutoa fursa kwa wajasiriamali wadogo kupata elimu ya ubunifu wa kibiashara, fursa za mitaji yenye masharti rafiki pamoja na masoko wakati alipotembelea Kituo hicho leo tarehe 12 Februari, 2022, Paris nchini Ufaransa)
View attachment 2117285View attachment 2117286
View attachment 2118155
Una roho ngumu sana hadi barakoa inakutesa ukiizela wewe lazima uwe mchawiSalaam Wakuu,
Nadhani Walinzi walitakiwa Kuvaa Barakoa zenye bendera ya Tanzania sio Zanzibar kwani, hii ni Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Siku wakuambatana na Mwinyi ndo wavae hizi Bara K. Au ni Utalii wa Bluu?
Picha zimepigwa akiwa Paris, Ufaransa, wakati huo Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa akizungumza na Mkurugenzi wa Kituo cha kuwezesha Wajasiriamali cha Station F Start Up Bi. Roxanne Varza pamoja na Meneja Mawasiliano wa Kituo hicho Bw. Grégoire Martinez kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa Kituoni hapo ikiwemo kutoa fursa kwa wajasiriamali wadogo kupata elimu ya ubunifu wa kibiashara, fursa za mitaji yenye masharti rafiki pamoja na masoko wakati alipotembelea Kituo hicho leo tarehe 12 Februari, 2022, Paris nchini Ufaransa)
View attachment 2117285View attachment 2117286
View attachment 2118155
Kwani zanzibar sio tanzaniaSalaam Wakuu,
Nadhani Walinzi walitakiwa Kuvaa Barakoa zenye bendera ya Tanzania sio Zanzibar kwani, hii ni Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Siku wakuambatana na Mwinyi ndo wavae hizi Bara K. Au ni Utalii wa Bluu?
Picha zimepigwa akiwa Paris, Ufaransa, wakati huo Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa akizungumza na Mkurugenzi wa Kituo cha kuwezesha Wajasiriamali cha Station F Start Up Bi. Roxanne Varza pamoja na Meneja Mawasiliano wa Kituo hicho Bw. Grégoire Martinez kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa Kituoni hapo ikiwemo kutoa fursa kwa wajasiriamali wadogo kupata elimu ya ubunifu wa kibiashara, fursa za mitaji yenye masharti rafiki pamoja na masoko wakati alipotembelea Kituo hicho leo tarehe 12 Februari, 2022, Paris nchini Ufaransa)
View attachment 2117285View attachment 2117286
View attachment 2118155
Uchumi wa bluu unafadhiliwa na pesa za Tanganyika.Wanatangaza utalii wa buluuu
Hili ni kosa kubwa sana.Ipo wazi kabisa kwa mujibu wa katiba ya JMT tuna dola moja tu la Tanzania na hii imewekwa wazi kwenye ibara ya kwanza ya katiba ya JMT.
Rais wa JMT anapifanya ziara nje ya Tanzania anaiwakilisha JMT na sio Zanzibar. Kwa hiyo ilipaswa kama ni kufanya branding basi bendera ya JMT iwe inatumika kwenye barakoa za walinzi wa rais.
Zanzibar kwa mujibu wa montevideo convetion on statehood ibara ya kwanza sio dora huru na haiwezi kutambulika kimataifa. Ndio maana hakuna balozi wa kudumu wa Zanzibar UN au hata huko Ufaransa.
Haya yanayofanyika kubrand bendera ya Zanzibara wakati kimataifa haitambuliki ni makofa na kuvunja katiba ya JMT.
View attachment 2118141
Okay got it na nilisikia pia , and if I may ask, what do you mean by station F ? If it's physical where is it?
Tanzania ni mojaUchumi wa bluu unafadhiliwa na pesa za Tanganyika.
Mama Yaoo si MzanzibariSalaam Wakuu,
Nadhani walinzi walitakiwa kuvaa Barakoa zenye bendera ya Tanzania siyo Zanzibar, kwani hii ni ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Siku wakiambatana na Mwinyi ndio wavae hizi barakoa au ni Utalii wa Uchumi wa Bluu?
Picha zimepigwa akiwa Paris, Ufaransa, wakati huo Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa akizungumza na Mkurugenzi wa Kituo cha kuwezesha Wajasiriamali cha Station F Start Up Bi. Roxanne Varza pamoja na Meneja Mawasiliano wa Kituo hicho Bw. Grégoire Martinez kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa Kituoni hapo ikiwemo kutoa fursa kwa wajasiriamali wadogo kupata elimu ya ubunifu wa kibiashara, fursa za mitaji yenye masharti rafiki pamoja na masoko wakati alipotembelea Kituo hicho leo tarehe 12 Februari, 2022, Paris nchini Ufaransa)
View attachment 2117285View attachment 2117286
View attachment 2118155
Lkn ndiyo hao hao waliowaachia huru na kuamuru Mbowe akamatwe kwa makosa fake ya ugaidi.Wazanzibar hawahawa waliowaleta mashehe wa uamsho bara ili wale msoto.
Si kweli, fungua katiba ya Zanzibar, Sura ya kwanza ibara ya 2. '' Zanzibar ni miongoni mwa nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania''Tanganyika imeshakufa mkuu huko mtaani.
Hoja hii ni nzuri sana. Wakati wa Mwalimu suala la G55 lilikuwa wazi na liliongelewa kwa uwazi.Kama walishindwa kuifufua kina Jenerali Ulimwengu kipindi kile wakiwa na wabunge kwa kauli thabiti ya hayati Nyerere haupo uwezekano ikaweza kufufuka leo hii.
Hakuna tatizo la Zanzibar kustawi! kuna tatizo la ustawi wao kupatikana kwa gharama za Mtanganyika na hapo ndipo mjadala ulipo. Zanzibar waende kukopa Trilioni 100 hakuna shida, lakini wakikopa bilioni 280 na kumtupia Mtanganyika mzigo kuna tatizo.Ushauri wangu kwa Zenji ni kukuza sekta ya utalii kwa nguvu zao zote ili waweze kuondokana na hizi dharau humu JF.
Katiba ya Zanzibar sura ya kwanza ibara ya 2 na katiba hiyo hiyo imetaja muungano mara 36.Huu utanganyika wetu hauna mashiko, ni nchi inayoundwa akilini mwa watu kihisia zaidi, tukija katika kuifanya iwepo kiuhalisia haina kabisa misingi imara.
Ndicho tunataka! Wajitegemee bila kumpa Mtanganyika gharama. Kwasasa Zanzibar inachukua sehemu kubwa sana ya bajeti ya JMT kuliko eneo lolote la Tanganyika ikiwa na mchango SIFURI, zero, Nada, Nil katika muunganoMasuala ya sultan ni ya zamani sana, wanaweza kujitegemea na kusimama wao kama wao.
Hoja ni kuwa muungano unageuka kuwa mzigo kwa Tanganyika. Kinachotakiwa na uwajibikaji wa Zanzibar katika muungano. Kuhusu chuki hakuna kitu kama hicho bali zipo hoja kama hiziSSH anavyozunguka huko nje ni kwa maslahi mapana ya JMT, hizi akili za kujitenga ni za kimaskini na zinachagizwa na chuki ambayo wenye akili wamekataa kuinunua.