Ufaransa: Kwanini walinzi wa Rais Samia wanavaa Barakoa ya Zanzibar kwenye ziara ya Tanzania?

Ufaransa: Kwanini walinzi wa Rais Samia wanavaa Barakoa ya Zanzibar kwenye ziara ya Tanzania?

Salaam Wakuu,

Nadhani Walinzi walitakiwa Kuvaa Barakoa zenye bendera ya Tanzania sio Zanzibar kwani, hii ni Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Siku wakuambatana na Mwinyi ndo wavae hizi Bara K. Au ni Utalii wa Bluu?

Picha zimepigwa akiwa Paris, Ufaransa, wakati huo Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa akizungumza na Mkurugenzi wa Kituo cha kuwezesha Wajasiriamali cha Station F Start Up Bi. Roxanne Varza pamoja na Meneja Mawasiliano wa Kituo hicho Bw. Grégoire Martinez kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa Kituoni hapo ikiwemo kutoa fursa kwa wajasiriamali wadogo kupata elimu ya ubunifu wa kibiashara, fursa za mitaji yenye masharti rafiki pamoja na masoko wakati alipotembelea Kituo hicho leo tarehe 12 Februari, 2022, Paris nchini Ufaransa)
View attachment 2117285View attachment 2117286
Zanzibar kwani iko wapi si Tanzania,au lengo lako nn? Ulitaka avae ya Tanganyika?
 
Salaam Wakuu,

Nadhani Walinzi walitakiwa Kuvaa Barakoa zenye bendera ya Tanzania sio Zanzibar kwani, hii ni Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Siku wakuambatana na Mwinyi ndo wavae hizi Bara K. Au ni Utalii wa Bluu?

Picha zimepigwa akiwa Paris, Ufaransa, wakati huo Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa akizungumza na Mkurugenzi wa Kituo cha kuwezesha Wajasiriamali cha Station F Start Up Bi. Roxanne Varza pamoja na Meneja Mawasiliano wa Kituo hicho Bw. Grégoire Martinez kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa Kituoni hapo ikiwemo kutoa fursa kwa wajasiriamali wadogo kupata elimu ya ubunifu wa kibiashara, fursa za mitaji yenye masharti rafiki pamoja na masoko wakati alipotembelea Kituo hicho leo tarehe 12 Februari, 2022, Paris nchini Ufaransa)
View attachment 2117285View attachment 2117286
Ila watu mna nongwa nyie? Petty issues za kijinga ndio mnazipenda Ili kukamata wajinga wenzenu.

Angevaa zilizoandikwa Serengeti ndio ungeelewa? Anatangaza utalii,ni kama vile kwenye ndege kuna Zanzibar na Kilimanjaro,nenda ka hoji.
 
Umeniacha kidogo, unaongelea nini chief?
Kama miezi miwili mi tatu ivi nyuma, serikali ilitangaza kua inampango wa kuanzisha kituo cha tecknolojia dodoma. Mm nikapendekeza hapo juu icho kitue kiwe kama in Station F na sio kama COSTECH. Maana hapo costech hamana lamaana linafanyika bora vijana wapewe jengo na miundombuni kama Station f watu wafanye development ya ideas zao
 
Kama miezi miwili mi tatu ivi nyuma, serikali ilitangaza kua inampango wa kuanzisha kituo cha tecknolojia dodoma. Mm nikapendekeza hapo juu icho kitue kiwe kama in Station F na sio kama COSTECH. Maana hapo costech hamana lamaana linafanyika bora vijana wapewe jengo na miundombuni kama Station f watu wafanye development ya ideas zao
Okay got it na nilisikia pia , and if I may ask, what do you mean by station F ? If it's physical where is it?
 
Ni kama hii tuu iyo, haina shida.
8e0de5e0-5a06-11eb-a99a-beae699a1a1d_image_hires_133124.jpeg
 
mbona hujaanzishia uzi walovaa tai na scaf......
acha visirani kwa hiyo wangevaa zilizoandikwa PARIS au
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mwendo wa Makunduchi tu mpaka Mnyoooooke, kule PCCB tayari, nadhani bado siiDF na aiGP Ili roho zao zitulie. Wale watu wanaUmoja khafir ambao ukiangalia kwa jicho la tatu utagundua ni Wakabila waliopitiliza. Pole sana Haniu kwa kuletewa Kibibi Ushungi cha BBC hakuna rangi hatutoona zama hizi za Taarabu na mduara.
 
Kukosa Washauri...,

Kuna mambo usipoyafanya hupungukiwi lolote na huenda kuyafanya kwako huvunji sheria ila yanapelekea maneno ambayo yanakutoa kwenye reli au kuongeza shutuma siziso na Afya kwa Taifa
Ni maneno yenye hekima sana.

Siku za karibuni kumetokea kuutukuza Uzanzibar kukiungwa mkono na wale wale wenye dhamana ya muungano. Hakuna tatizo kwa hilo

Tatizo ni pale Watu wakiutukuza Utanganyika inaonekana ni uhaini.

Naiona shida kwa Watanganyika wasiotaka kuisimamia nchi yao

Leo tungekuwa na Tanganyika hili lisingesumbua watu.

Katiba mpya, Tanganyika itambuliwe
 
Hivi limwigulu halinaga tai tofauti na hiyo yenye bendera ya taifa akionesha uzalendo fake wake.
 
Salaam Wakuu,

Nadhani Walinzi walitakiwa Kuvaa Barakoa zenye bendera ya Tanzania sio Zanzibar kwani, hii ni Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Siku wakuambatana na Mwinyi ndo wavae hizi Bara K. Au ni Utalii wa Bluu?

Picha zimepigwa akiwa Paris, Ufaransa, wakati huo Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa akizungumza na Mkurugenzi wa Kituo cha kuwezesha Wajasiriamali cha Station F Start Up Bi. Roxanne Varza pamoja na Meneja Mawasiliano wa Kituo hicho Bw. Grégoire Martinez kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa Kituoni hapo ikiwemo kutoa fursa kwa wajasiriamali wadogo kupata elimu ya ubunifu wa kibiashara, fursa za mitaji yenye masharti rafiki pamoja na masoko wakati alipotembelea Kituo hicho leo tarehe 12 Februari, 2022, Paris nchini Ufaransa)
View attachment 2117285View attachment 2117286

Next time wakivaa mask iliyoandikwa Serengeti au Mount Kilimanjaro tutahoji pia au hiyo haina shida?
 
Tanganyika iko wapi? Mbona siioni kwenye atlas, ramani ya dunia au Google Maps?
 
Awamu ya5 ilikuwa Chato sasa ya 6 niZenji huelewi nini?? Hatapicha huoni??? ITV husema mtu kwaooo...mmtuuu kwaoooo!!
 
Wao kuvaa barakoa za Zanzibar kunapunguza nini kwenye maisha yako wewe mleta mada?. Hii ni mada ya kitoto sana.
Yes inaonekana ya kitoto lakini kuna mantiki ndani yake. Ingalikuwa mtu huyo kavaa barakoa yenye bendera ya Tanganyika hilo lingekuwa jambo kubwa na si dhani Rais angelikubali.

Swali, ikiwa ni Rais wa JMT ikiwemo Zanzibar, kwanini zisitumike nembo na alama za JMT?

Kuna kitu hakipo sawa, ukizungumzia Utanganyika ni haramu, unataka kuvunja muungano.
ukizungumzia Uzanzibar hilo ni halali na sawa, ni watu na eneo special

Mambo haya ni madogo sana lakini jiulize kwanini yanachukua sura kubwa kuliko yalivyo!

Jibu ni moja kuna tatizo ! Kuna manung'uniko yanayopuuzwa ya Wadau wa muungano.

Kuna manung'uniko kama yale ya Rais AH Mwinyi na G55. Historia inaweza kujirudia na kwa hakika, kama muungano utavuka salama miaka mitano ijayo basi utakuwa salama miaka 50 ijayo.

Kuna njia ya kunusuru hali, katiba mpya , Tanganyika ya machogo irudi kwa ajili ya Machogo!

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Yes inaonekana ya kitoto lakini kuna mantiki ndani yake. Ingalikuwa mtu huyo kavaa barakoa yenye bendera ya Tanganyika hilo lingekuwa jambo kubwa na si dhani Rais angelikubali.

Swali, ikiwa ni Rais wa JMT ikiwemo Zanzibar, kwanini zisitumike nembo na alama za JMT?

Kuna kitu hakipo sawa, ukizungumzia Utanganyika ni haramu, unataka kuvunja muungano.
ukizungumzia Uzanzibar hilo ni halali na sawa, ni watu na eneo special

Mambo haya ni madogo sana lakini jiulize kwanini yanachukua sura kubwa kuliko yalivyo!

Jibu ni moja kuna tatizo ! Kuna manung'uniko yanayopuuzwa ya Wadau wa muungano.

Kuna manung'uniko kama yale ya Rais AH Mwinyi na G55. Historia inaweza kujirudia na kwa hakika, kama muungano utavuka salama miaka mitano ijayo basi utakuwa salama miaka 50 ijayo.

Kuna njia ya kunusuru hali, katiba mpya , Tanganyika ya machogo irudi kwa ajili ya Machogo!

JokaKuu Pascal Mayalla
JPM angekuwa hai mpaka sasa hivi na akawa rais kuna mtanzania yoyote angeongelea uzanzibari na utanganyika?.

Hizi ni hoja ambazo msingi wake siku zote ni hoja nyingine zinazokuwepo, ni hoja nyepesi zinazobeba ubaguzi.

Watu hujitambulisha kwa utanganyika wao kama kulipa kisasi au kama ni kujaribu kuringa kana kwamba na wao wanayo asili yao hivyo hawafai kubaguliwa kwa aina yoyote ile.

Sijauona msingi wa utanganyika ukiwa ni hoja inayojitegemea inayoibuka yenyewe kama yenyewe bali ninaiona ni hoja tegemezi ya hoja nyingine hivyo haina mashiko, haina uzito wowote zaidi ya kutaka kujibu mapigo kwa dharau wanazokuwa nazo wazanzibari.

Umoja ni upendo, na upendo siku zote huvumilia, haina makuu wala haujikwezi.
 
Salaam Wakuu,

Nadhani Walinzi walitakiwa Kuvaa Barakoa zenye bendera ya Tanzania sio Zanzibar kwani, hii ni Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Siku wakuambatana na Mwinyi ndo wavae hizi Bara K. Au ni Utalii wa Bluu?

Picha zimepigwa akiwa Paris, Ufaransa, wakati huo Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa akizungumza na Mkurugenzi wa Kituo cha kuwezesha Wajasiriamali cha Station F Start Up Bi. Roxanne Varza pamoja na Meneja Mawasiliano wa Kituo hicho Bw. Grégoire Martinez kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa Kituoni hapo ikiwemo kutoa fursa kwa wajasiriamali wadogo kupata elimu ya ubunifu wa kibiashara, fursa za mitaji yenye masharti rafiki pamoja na masoko wakati alipotembelea Kituo hicho leo tarehe 12 Februari, 2022, Paris nchini Ufaransa)
View attachment 2117285View attachment 2117286
Angalia utanganyika wako usikufanye upate gonjwa kwa mambo yasiyokuwa na maana
 
Bara hamjitambui. Mmekalia majungu, fitina na inda. Hakuna jambo linalowaweka pamoja watu wa bara.

Lkn wazanzibari linapokuja suala linalohusu nchi yao hawanaga uvyama. Wote wanaungana wanakuwa kitu kimoja

Acha wachangamkie fursa ya kuitangazq zanzt kupitia barakoa zao. Ninyi endeleeni na upuuzi wenu wa kumsingizia Mbowe kuwa ni gaidi.
Umeongea kweli bwa shee
 
Back
Top Bottom