Ufaransa: Kwanini walinzi wa Rais Samia wanavaa Barakoa ya Zanzibar kwenye ziara ya Tanzania?

Ufaransa: Kwanini walinzi wa Rais Samia wanavaa Barakoa ya Zanzibar kwenye ziara ya Tanzania?

Rais Samia, na hiyo mitandio inamuondolea smartness. Waoo watakaoaema ni imani, japosi kweli.

Matambara haya yana asili ya mazingira wanayoishi waarabu ambayo yana vumbi la mchanga, ndiyo maana hata wanaume walikuwa wakivaa ili kupunguza adha ya vumbi. Na ni mavazi ya kawaida sana hata kwa watu wanaoishi karibu ya jangwa la Sahara, kutokana na vimbunga vya pepo za Hamatan.
 
Mkuuu kwani TANZANIA WE HUJUI AU ZANZBAR HAIPO HAPO KWENYE TANZANIA?
 
🤔🤔🤔🤔😝😝😝😝Kazi ipo!Binadamu akiwa hataki jambo fulani atatafuta vigingi hadi kieleweke.
Yaani si ndogo kazi yenyewe!
Lkn tutafika tu, yana mwisho na mwisho wake kweli (haki) lazima isimame! Na ukiangalia sana hapo ni mmoja tu aliyevaa ya zenji huku bendera ya tz ikionekana zaidi kuliko ya zenji......mulamula, mwigulu, mlinzi mkuu huyo na hata mwenyewe kifuani. Basi tu
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Huyo mbona unayemsema hapo sio mlinzi!? Ni waziri wa uwekezaji na uchumi ofisi ya rais visiwani Zanzibar….Mudrick Soraga kagoogle
Unafikiri mapopoma yanafikiri.Umeona nyumbu wakivuka mto kwenda Masai Mara kutoka Serengeti?
Huwa wanafuatana tu bila kujiuliza.Mmoja kaja na uzushi wake wengine wamedandia.
 
Mie huwa navaa ya Simba sport Club.....no big deal.

Na utakuta muanzisha uzi huwa anavaa ya Manchester United!
 
Salaam Wakuu,

Nadhani Walinzi walitakiwa Kuvaa Barakoa zenye bendera ya Tanzania sio Zanzibar kwani, hii ni Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Siku wakuambatana na Mwinyi ndo wavae hizi Bara K. Au ni Utalii wa Bluu?

Picha zimepigwa akiwa Paris, Ufaransa, wakati huo Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa akizungumza na Mkurugenzi wa Kituo cha kuwezesha Wajasiriamali cha Station F Start Up Bi. Roxanne Varza pamoja na Meneja Mawasiliano wa Kituo hicho Bw. Grégoire Martinez kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa Kituoni hapo ikiwemo kutoa fursa kwa wajasiriamali wadogo kupata elimu ya ubunifu wa kibiashara, fursa za mitaji yenye masharti rafiki pamoja na masoko wakati alipotembelea Kituo hicho leo tarehe 12 Februari, 2022, Paris nchini Ufaransa)
View attachment 2117285View attachment 2117286
Wao kuvaa barakoa za Zanzibar kunapunguza nini kwenye maisha yako wewe mleta mada?. Hii ni mada ya kitoto sana.
 
Back
Top Bottom