Rais Samia, na hiyo mitandio inamuondolea smartness. Waoo watakaoaema ni imani, japosi kweli.
Matambara haya yana asili ya mazingira wanayoishi waarabu ambayo yana vumbi la mchanga, ndiyo maana hata wanaume walikuwa wakivaa ili kupunguza adha ya vumbi. Na ni mavazi ya kawaida sana hata kwa watu wanaoishi karibu ya jangwa la Sahara, kutokana na vimbunga vya pepo za Hamatan.
Matambara haya yana asili ya mazingira wanayoishi waarabu ambayo yana vumbi la mchanga, ndiyo maana hata wanaume walikuwa wakivaa ili kupunguza adha ya vumbi. Na ni mavazi ya kawaida sana hata kwa watu wanaoishi karibu ya jangwa la Sahara, kutokana na vimbunga vya pepo za Hamatan.