Ufaransa: Kwanini walinzi wa Rais Samia wanavaa Barakoa ya Zanzibar kwenye ziara ya Tanzania?

Ufaransa: Kwanini walinzi wa Rais Samia wanavaa Barakoa ya Zanzibar kwenye ziara ya Tanzania?

Yaani wafaransa wanamkaribisha Rais wetu kwenye kapeti lilochanika. Hii haiwezi kupita hivi hivi!
 
JPM angekuwa hai kuna mtanzania yoyote angeongelea uzanzibari na utanganyika?.
Ni hoja nzuri sana. Katika mambo mazuri ya JPM ni kusimama katika mstari kuhusu muungano.
JPM alizuia uchochoro wa biashara kupitia Zanzibar kwa jina la muungano.

Aliwaambia kuhusu bandari na umeme wazi kwamba wanapaswa kulipa kama Raia wengine.
JPM haku entertain hoja za kero akijua wazi hazikuwa na msingi wowote.
Kero zilitajwa wazi ni 11, ghafla zimepatiwa ufumbuzi wa siri kubwa.

Kwa usiri uliopo watu wanahoji , masilahi ya Tanganyika yaliangaliwa na nani?
Isije kuwa usiri ule ule wa IOC uliopelekea kuundwa kwa G55.

Lakini pia kuna suala la Uzanzibar penye masilahi, watu wanahoji kwenye kuwajibika wapo wapi?
Hizi ni hoja ambazo msingi wake siku zote ni hoja nyingine zinazokuwepo, ni hoja nyepesi zinazobeba ubaguzi.
Hapana, Wananchi wa Tanganyika na Zanzibar walihojiwa na Tume ya Warioba na kwa pamoja walisema wanataka Tanganyika irudi. Si hoja juu ya nyingine, inajitegemea na Rasimu ipo.
Tume ya hayati Nyalali ilisema Tanganyika irudi, si hoja juu ya nyingine, inajitegemea
Katiba ya Zanzibar ya 2010 imeiondoa katika JMT , kilichobaki ni Tanganyika kwa jina la JMT.
Watu hujitambulisha kwa utanganyika wao kama kulipa kisasi au kama ni kujaribu kuringa kana kwamba na wao wanayo asili yao hivyo hawafai kubaguliwa kwa aina yoyote ile.
Hapana, Tume ya Jaji Nyalali na Tume ya Mzee Warioba zimeeleza umuhimu wa uwepo wa Tanganyika. Umuhimu huo unaonekana zaidi zama hizi kwasababu Zanzibar imekuzwa kuliko Tanzania. JMT inatumiwa vibaya kwasababu hakuna msimamizi wa masilahi ya Tanganyika. Mfano, inawezekanaje pesa ikopwe na JMT igawanywe Zanzibar lakini deni alipe Mtanganyika?
Ikiwa sivyo mbona hatuoni formula ya kugawana madeni tunaona ya misaada na mikopo?
Huyu JMT ni nani na anachangiwaje wakati anaenda kukopa?
Sijauona msingi wa utanganyika ukiwa ni hoja inayojitegemea inayoibuka yenyewe kama yenyewe bali ninaiona ni hoja tegemezi ya hoja nyingine hivyo haina mashiko, haina uzito wowote zaidi ya kutaka kujibu mapigo kwa dharau wanazokuwa nazo wazanzibari.
Tunarudia tena, Tume ya Jaji Nyalali na Tume ya Mzee Warioba kwa ukubwa na uwazi imeeleza bila kumung'unya hoja za Wananchi wa Tanzania juu ya uwepo wa Tanganyika.
Bila uwepo wa Tanganyika muungano haupo kwasababu inabaki Tanganyika kwa jina la JMT huku Zanzibar ikivuna pato na fursa za Watanganyika kwa jina la muungano!
Umoja ni upendo, na upendo siku zote huvumilia, haina makuu wala haujikwezi.
Tumevumiliana sana lakini je, tutaendelea katika hali iliyopo? Tueleze inakuwaje hatuoni mchango wa Zanzibar katika muungano kama ule wa Mbeya na Mtwara au Simiyu lakini Zanzibar inapewa fursa kubwa kuliko maeneo hayo?

Jiulize hivi, kwanini Wazanzibar waliodai uwepo wa Tanganyika miaka zaidi ya 50 na Wazanzibar wanaodai ukoloni wa machogo leo wamekaa kimyaa tena wakiushangilia muungano? Kuna nini tofauti kimetokea?
 
Ni hoja nzuri sana. Katika mambo mazuri ya JPM ni kusimama katika mstari kuhusu muungano.
JPM alizuia uchochoro wa biashara kupitia Zanzibar kwa jina la muungano.

Aliwaambia kuhusu bandari na umeme wazi kwamba wanapaswa kulipa kama Raia wengine.
JPM haku entertain hoja za kero akijua wazi hazikuwa na msingi wowote.
Kero zilitajwa wazi ni 11, ghafla zimepatiwa ufumbuzi wa siri kubwa.

Kwa usiri uliopo watu wanahoji , masilahi ya Tanganyika yaliangaliwa na nani?
Isije kuwa usiri ule ule wa IOC uliopelekea kuundwa kwa G55.

Lakini pia kuna suala la Uzanzibar penye masilahi, watu wanahoji kwenye kuwajibika wapo wapi?

Hapana, Wananchi wa Tanganyika na Zanzibar walihojiwa na Tume ya Warioba na kwa pamoja walisema wanataka Tanganyika irudi. Si hoja juu ya nyingine, inajitegemea na Rasimu ipo.
Tume ya hayati Nyalali ilisema Tanganyika irudi, si hoja juu ya nyingine, inajitegemea
Katiba ya Zanzibar ya 2010 imeiondoa katika JMT , kilichobaki ni Tanganyika kwa jina la JMT.

Hapana, Tume ya Jaji Nyalali na Tume ya Mzee Warioba zimeeleza umuhimu wa uwepo wa Tanganyika. Umuhimu huo unaonekana zaidi zama hizi kwasababu Zanzibar imekuzwa kuliko Tanzania. JMT inatumiwa vibaya kwasababu hakuna msimamizi wa masilahi ya Tanganyika. Mfano, inawezekanaje pesa ikopwe na JMT igawanywe Zanzibar lakini deni alipe Mtanganyika?
Ikiwa sivyo mbona hatuoni formula ya kugawana madeni tunaona ya misaada na mikopo?
Huyu JMT ni nani na anachangiwaje wakati anaenda kukopa?

Tunarudia tena, Tume ya Jaji Nyalali na Tume ya Mzee Warioba kwa ukubwa na uwazi imeeleza bila kumung'unya hoja za Wananchi wa Tanzania juu ya uwepo wa Tanganyika.
Bila uwepo wa Tanganyika muungano haupo kwasababu inabaki Tanganyika kwa jina la JMT huku Zanzibar ikivuna pato na fursa za Watanganyika kwa jina la muungano!

Tumevumiliana sana lakini je, tutaendelea katika hali iliyopo? Tueleze inakuwaje hatuoni mchango wa Zanzibar katika muungano kama ule wa Mbeya na Mtwara au Simiyu lakini Zanzibar inapewa fursa kubwa kuliko maeneo hayo?

Jiulize hivi, kwanini Wazanzibar waliodai uwepo wa Tanganyika miaka zaidi ya 50 na Wazanzibar wanaodai ukoloni wa machogo leo wamekaa kimyaa tena wakiushangilia muungano? Kuna nini tofauti kimetokea?
Hakuna kilichotokea. Hizi ni hoja zinazoibuka kwa wivu tu wa kuona rais SSH ni mzanzibari. Tume za Warioba na Nyalali kupendekeza kuwepo Tanganyika haina maana ndio maneno ya msahafu kwamba hayawezi kupingwa.

Tatizo la kuiona Zanzibar kama vile kupe linatokana na udhaifu wao wenyewe. Kuna nchi ndogo kama Mauritius zinajitegemea kwa utalii tu.

Zanzibar inaweza kujitegemea kwa utalii tu. Na wameanza kujitegemea wakitumia rasilimali walizonazo.

Hivi vilio vya bara inaonewa ni vya kisiasa zaidi, havina mashiko kwani husikika wakati kiongozi mkuu anapokuwa anatoka Kizimkazi Unguja , akiwa ni mwenyeji wa Chato au Chalinze huwezi kusikia habari za bara kuonewa.

Tuwe wavumilivu tu, kazi ikiwa inaendelea.
 
Hakuna kilichotokea. Hizi ni hoja zinazoibuka kwa wivu tu wa kuona rais SSH ni mzanzibari.
Kwa kiasi nakubaliana nawe kwa hoja kwamba Rais SSH amekuza sana tatizo.
Mfano, kero 11 kwanini zimefanywa siri kubwa? Zilijulikana ni 11 lakini hatujui zimeishaje.
Pili, hoja za Waziri Mchengerwa zimechangia sana. Kwa ufupi, kuanzia siku ya kwanza anasema , angalieni ''usawa wa pande zote'' ilionyesha Rais SSH alikuwa na kitu moyoni
Tume za Warioba na Nyalali kupendekeza kuwepo Tanganyika haina maana ndio maneno ya msahafu kwamba hayawezi kupingwa.
Tume zimekusanya maoni ya Wananchi. Kama kuna kitu tofauti ni kipi kutoka kwa nani.

Kama kuna wanaopinga ni vema wakatuonyesha msingi wa kupinga.

Msingi wa hoja za Jaji Nyalali na Mzee Warioba ni maoni ya Wananchi, kuna nyaraka na takwimu. Tupatie kitu tofauti na hicho!!
Tatizo la kuiona Zanzibar kama vile kupe linatokana na udhaifu wao wenyewe. Kuna nchi ndogo kama Mauritius zinajitegemea kwa utalii tu.
Ndiyo lakini pia Jiografia inahusu. Kuhusu ukupe hilo halina ubishi.
Ikiwa hawawezi hata kulipa bili ya umeme na juzi wamepewa mkopo wa JMT wa maji, tuntasemaje?

Kumbuka katika muungano hawana mchango wowote kuliko tarafa au kata ya Tanganyika.
Kuhusu utalii kama wanaweza heri na hakuna wa kuwazuia, si kwa gharama ya Tanganyika
Zanzibar inaweza kujitegemea kwa utalii tu. Na wameanza kujitegemea wakitumia rasilimali walizonazo.
Hapana, kinachotokea ni pesa za Tanganyika kutumika kujitanua. Ni ukweli usio na shaka.

Kwa miezi chini ya 10 wamepata zaidi ya Bilioni 500. Kwa bajeti yao ya 1.2M kiasi hicho ni ziada. Pili, kinachoendelea ni kuuza visiwa wakijua ardhi ya bure ipo Tanganyika.

Tatu, ni kupitia uchochoro wa kukwepa kodi kwa mlango wa muungano! kama utakumbuka Magufuli alikataa hilo na kuweka kodi ili kulinda masilahi ya JMT!. Je, bado ipo hiyo?

Pamoja na yote utalii wa Zbar unategemea Tanganyika kama ilivyo soko la bidhaa na ajira.
Sultan wa Zanzibar alistawi kwas biashara ya pembe, utumwa n.k. si kwasababu ya Zbar!
Hivi vilio vya bara inaonewa ni vya kisiasa zaidi, havina mashiko kwani husikika wakati kiongozi mkuu anapokuwa anatoka Kizimkazi Unguja , akiwa ni mwenyeji wa Chato au Chalinze huwezi kusikia habari za bara kuonewa.
Yes kwasababu wanasimama katika mstari. Kero 11 walizitazama katika jicho lenye busara kwasababu zililenga kumbebesha Mtanganyika mzigo zaidi.
Hebu tuambie kwanini zimemamalizwa Kimya kimya na kwa usiri mkubwa? kulikoni?
Tuwe wavumilivu tu, kazi ikiwa inaendelea.
Uvumilivu kwa Tanganyika pekee! hapana, wakati umefika Tanganyika irejee kama Wananchi walivyosema wakiwemo Wazanzibar!

Je, si kweli kuwa hoja ya Tanganyika ililetwa na Wazanzibar ? na kwanini leo wapo kimya? Nini kimebadilika? Kero 11 zimemalizwaje? Kwanini kuna usiri mkubwa?
 
Tanganyika ni nchi kama Narnia na Wakanda (mythical countries) haionekani kwenye ramani, kwenye atlas, kwenye Google Maps lakini kila siku inazungumzwa. Kama Tanganyika ni nchi ya kizushi basi hakuna watu wanaojulikana kama Watanganyika. Hao wanaojiita Watanganyika ni Wasukuma, Wamakonde, Wagogo, Wamanyema, na makabila mengine waliochanganyikiwa. Maana wanajita watu wa nchi ambayo haipo. Ni watu wa kuonewa huruma.
 
Salaam Wakuu,

Nadhani Walinzi walitakiwa Kuvaa Barakoa zenye bendera ya Tanzania sio Zanzibar kwani, hii ni Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Siku wakuambatana na Mwinyi ndo wavae hizi Bara K. Au ni Utalii wa Bluu?

Picha zimepigwa akiwa Paris, Ufaransa, wakati huo Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa akizungumza na Mkurugenzi wa Kituo cha kuwezesha Wajasiriamali cha Station F Start Up Bi. Roxanne Varza pamoja na Meneja Mawasiliano wa Kituo hicho Bw. Grégoire Martinez kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa Kituoni hapo ikiwemo kutoa fursa kwa wajasiriamali wadogo kupata elimu ya ubunifu wa kibiashara, fursa za mitaji yenye masharti rafiki pamoja na masoko wakati alipotembelea Kituo hicho leo tarehe 12 Februari, 2022, Paris nchini Ufaransa)
View attachment 2117285View attachment 2117286
Zanzibar ni sehemu ya Tanzania
 
Salaam Wakuu,

Nadhani Walinzi walitakiwa Kuvaa Barakoa zenye bendera ya Tanzania sio Zanzibar kwani, hii ni Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Siku wakuambatana na Mwinyi ndo wavae hizi Bara K. Au ni Utalii wa Bluu?

Picha zimepigwa akiwa Paris, Ufaransa, wakati huo Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa akizungumza na Mkurugenzi wa Kituo cha kuwezesha Wajasiriamali cha Station F Start Up Bi. Roxanne Varza pamoja na Meneja Mawasiliano wa Kituo hicho Bw. Grégoire Martinez kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa Kituoni hapo ikiwemo kutoa fursa kwa wajasiriamali wadogo kupata elimu ya ubunifu wa kibiashara, fursa za mitaji yenye masharti rafiki pamoja na masoko wakati alipotembelea Kituo hicho leo tarehe 12 Februari, 2022, Paris nchini Ufaransa)
View attachment 2117285View attachment 2117286
Asilimia 95 ya wanaJf, wakati wa utawala wa awamu ya Pili walikuwa elimu ya msingi au hawajazaliwa hawakuona madhara ya utawala ule,
Pia hawajaona utawala huu unafana na utawala wa awamu ya Pili.
Na madhara yake ni Yale yale
 
Kukosa Washauri...,

Kuna mambo usipoyafanya hupungukiwi lolote na huenda kuyafanya kwako huvunji sheria ila yanapelekea maneno ambayo yanakutoa kwenye reli au kuongeza shutuma siziso na Afya kwa Taifa
Limekuwa Taifa la wajinga hili sasa. Level ya kujadili Barakoa ni dalili ya kuishiwa hoja
 
Anajaribu kutueleza kwa picha, kuwa kama mtangulizi wake alivyoipenda chato nae kaipenda zanzibar.
 
Salaam Wakuu,

Nadhani Walinzi walitakiwa Kuvaa Barakoa zenye bendera ya Tanzania sio Zanzibar kwani, hii ni Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Siku wakuambatana na Mwinyi ndo wavae hizi Bara K. Au ni Utalii wa Bluu?

Picha zimepigwa akiwa Paris, Ufaransa, wakati huo Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa akizungumza na Mkurugenzi wa Kituo cha kuwezesha Wajasiriamali cha Station F Start Up Bi. Roxanne Varza pamoja na Meneja Mawasiliano wa Kituo hicho Bw. Grégoire Martinez kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa Kituoni hapo ikiwemo kutoa fursa kwa wajasiriamali wadogo kupata elimu ya ubunifu wa kibiashara, fursa za mitaji yenye masharti rafiki pamoja na masoko wakati alipotembelea Kituo hicho leo tarehe 12 Februari, 2022, Paris nchini Ufaransa)
View attachment 2117285View attachment 2117286
Wacha mama atangaze nchi yake bhana!
 
Ipo wazi kabisa kwa mujibu wa katiba ya JMT tuna dola moja tu la Tanzania na hii imewekwa wazi kwenye ibara ya kwanza ya katiba ya JMT.

Rais wa JMT anapifanya ziara nje ya Tanzania anaiwakilisha JMT na sio Zanzibar. Kwa hiyo ilipaswa kama ni kufanya branding basi bendera ya JMT iwe inatumika kwenye barakoa za walinzi wa rais.

Zanzibar kwa mujibu wa montevideo convetion on statehood ibara ya kwanza sio dora huru na haiwezi kutambulika kimataifa. Ndio maana hakuna balozi wa kudumu wa Zanzibar UN au hata huko Ufaransa.

Haya yanayofanyika kubrand bendera ya Zanzibara wakati kimataifa haitambuliki ni makofa na kuvunja katiba ya JMT.
IMG_20220213_0001.jpeg
 
Hapana, Tume ya Jaji Nyalali na Tume ya Mzee Warioba zimeeleza umuhimu wa uwepo wa Tanganyika. Umuhimu huo unaonekana zaidi zama hizi kwasababu Zanzibar imekuzwa kuliko Tanzania. JMT inatumiwa vibaya kwasababu hakuna msimamizi wa masilahi ya Tanganyika. Mfano, inawezekanaje pesa ikopwe na JMT igawanywe Zanzibar lakini deni alipe Mtanganyika?
Ikiwa sivyo mbona hatuoni formula ya kugawana madeni tunaona ya misaada na mikopo?
Huyu JMT ni nani na anachangiwaje wakati anaenda kukopa?
Huyu ndiye mmojawapo wa walimu wangu muhimu hapa JF. Ingawa mimi mwanafunzi wake nimekuwa mkorofi wakati fulani.
===
Asante Mwalimu kwa bandiko hili.
Kinachonishangaza ni kwa nini, baadhi yetu watanzania tuko tayari kutetea muungano vuguvugu (serikali mbili nchi moja sijui na nusu!) badala ya muungano moto (serikali moja nchi moja) ama muungano baridi (serikali tatu nchi mbili).

Kwa nini lakini,? Je. Tunaogopa kuachana na "status quo" kweli ama kuna la ziada?
 
Magufuli alipendelea Chato tulipoongea mkasema kwani Chato sio Tanzania?

Sasa mama yenu alishasema yeye na jiwe ni kitu kimoja mnashangaa akivaa vya kwao Zanzibar sio Tanzania?

Mlizoea ujinga wa kusema maendeleo hayana chama wala ukanda haya pambaneni sasa MATAGA chipukizi na MATAGA wafiwa
 
Hakuna kilichotokea. Hizi ni hoja zinazoibuka kwa wivu tu wa kuona rais SSH ni mzanzibari. Tume za Warioba na Nyalali kupendekeza kuwepo Tanganyika haina maana ndio maneno ya msahafu kwamba hayawezi kupingwa.

Tatizo la kuiona Zanzibar kama vile kupe linatokana na udhaifu wao wenyewe. Kuna nchi ndogo kama Mauritius zinajitegemea kwa utalii tu.

Zanzibar inaweza kujitegemea kwa utalii tu. Na wameanza kujitegemea wakitumia rasilimali walizonazo.

Hivi vilio vya bara inaonewa ni vya kisiasa zaidi, havina mashiko kwani husikika wakati kiongozi mkuu anapokuwa anatoka Kizimkazi Unguja , akiwa ni mwenyeji wa Chato au Chalinze huwezi kusikia habari za bara kuonewa.

Tuwe wavumilivu tu, kazi ikiwa inaendelea.
Unaposema kuwa ripoti za tume ya Warioba na Nyalali siyo misahafu unakosea Sana katika kipindi hiki ambacho Wananchi wengi wamepata japo elimu ndogo tofauti Sana na enzi ya Nyerere.

Kumbuka kuwa hata hizo kero zilizoorodheshwa ni matokeo ya tafiti na tume hizo.

Unaposema kero ya Muungano ni suala ambalo kwa uthibitisho wa kitafiti jambo hilo ama linawakera au wanalihitaji watu walio wengi Sana kwa zaidi ya 80% kwa pande zote za Muungano.

Kwa maana hii nyepesi kupuuza uondoaji wa kero za Wananchi walizoziainisha wao wenyewe kupitia tume ni kuongeza kero kubwa zaidi inayohatarisha taifa kwa ujumla.

Matatizo mengi ya taifa letu yamekuwa yakisababishwa na serikali kupuuza mapendekezo ya tafiti na wataalam wa idara husika.
 
Back
Top Bottom