Ufaransa: Kwanini walinzi wa Rais Samia wanavaa Barakoa ya Zanzibar kwenye ziara ya Tanzania?

Ufaransa: Kwanini walinzi wa Rais Samia wanavaa Barakoa ya Zanzibar kwenye ziara ya Tanzania?

Salaam Wakuu,

Nadhani Walinzi walitakiwa Kuvaa Barakoa zenye bendera ya Tanzania sio Zanzibar kwani, hii ni Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Siku wakuambatana na Mwinyi ndo wavae hizi Bara K.

Picha zimepigwa akiwa Paris, Ufaransa, wakati huo Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa akizungumza na Mkurugenzi wa Kituo cha kuwezesha Wajasiriamali cha Station F Start Up Bi. Roxanne Varza pamoja na Meneja Mawasiliano wa Kituo hicho Bw. Grégoire Martinez kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa Kituoni hapo ikiwemo kutoa fursa kwa wajasiriamali wadogo kupata elimu ya ubunifu wa kibiashara, fursa za mitaji yenye masharti rafiki pamoja na masoko wakati alipotembelea Kituo hicho leo tarehe 12 Februari, 2022, Paris nchini Ufaransa)
View attachment 2117285View attachment 2117286
Hawa wamama kazi yao ni kwenda kuomba na kukopa.
Nani atakuja kulipa hayo madeni? Ni Nani amewatuma kwenda kukopa?
 
Bara hamjitambui. Mmekalia majungu, fitina na inda. Hakuna jambo linalowaweka pamoja watu wa bara.

Lkn wazanzibari linapokuja suala linalohusu nchi yao hawanaga uvyama. Wote wanaungana wanakuwa kitu kimoja

Acha wachangamkie fursa ya kuitangazq zanzt kupitia barakoa zao. Ninyi endeleeni na upuuzi wenu wa kumsingizia Mbowe kuwa ni gaidi.
 
Hawa wamama kazi yao ni kwenda kuomba na kukopa.
Nani atakuja kulipa hayo madeni? Ni Nani amewatuma kwenda kukopa?
aliyewaweka madarakani. 🇾 🇪 🇾 🇪 
🇸 🇮 🇲 🇼 🇦 🇰 🇮 🇱 🇮 🇸 🇭 🇮 
 
Yaani mtu mmoja amevaa hivyo ikageuzwa wote wamevaa aiseee.
IMG-20210705-WA0001.jpg
 
Bara hamjitambui. Mmekalia majungu, fitina na inda. Hakuna jambo linalowaweka pamoja watu wa bara.

Lkn wazanzibari linapokuja suala linalohusu nchi yao hawanaga uvyama. Wote wanaungana wanakuwa kitu kimoja

Acha wachangamkie fursa ya kuitangazq zanzt kupitia barakoa zao. Ninyi endeleeni na upuuzi wenu wa kumsingizia Mbowe kuwa ni gaidi.
Alaa kumbe siku hizi inaitwa ZanzT? Na Tanganyika mnaiita je?
 
Mshazoea CCM mbele kwa mbele... au Chato mbele kwa mbele...

Sasa ni Zanzibar mbele kwa mbele...
 
Na wajinga kama kawaida wanadandia kama ni hoja ya maana kwenye mustakabal wa maendeleo ya Tanzania
 
Back
Top Bottom