Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Lamsingi waruhusu Hamas, Hezbollah, Houth nao wapelekewe Silaha ili wajilinde.
Iran naye aondolewe vikwazo ili awe free kuuza na kununua silaha.
Bondia mmoja amefungwa mikono na mwingine mikono yake Iko huru, haiwezi kuwa sawa, Kila mtu afunguliwe mikono zichapwe tuone nani mbabe.
Iran naye aondolewe vikwazo ili awe free kuuza na kununua silaha.
Bondia mmoja amefungwa mikono na mwingine mikono yake Iko huru, haiwezi kuwa sawa, Kila mtu afunguliwe mikono zichapwe tuone nani mbabe.