gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Hicho cha mbele ni cha UNIFIL ,nyuma ni IDF,wanajificha wasidundweWaondoke ili magaidi yashughulikiwe kwa uwazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho cha mbele ni cha UNIFIL ,nyuma ni IDF,wanajificha wasidundweWaondoke ili magaidi yashughulikiwe kwa uwazi.
Jamaa mbona kila siku unazunguka na hii picha, kwani huna picha mpya mpya?Hicho cha mbele ni cha UNIFIL ,nyuma ni IDF,wanajificha wasidundwe
Na halitoundwa hasa ikiwa trump ataingia white houseAcha ijinga. Amani haitapatikana kama taifa la palestina halitaundwa. Netanyau na nyie wateule muhache kujilisha upepo
Israel ni namba mbili kiuchumi pale mashariki ya kati, fikiria kama angekuwa anaelewana na majirani zake wote na nchi zote pale middle east ingekuwajeKinchi feki na uchumi feki wa kubebwa
Tatizo ni kukariri matukio!Wanaukumbi
Wizara ya Mambo ya Nje ya Ufaransa imesema kuwa UNIFIL, kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Lebanon, lazima kiruhusiwe kuendelea na kazi yake, na kukataa ombi la Netanyahu la kuondoa vikosi vya UNIFIL.
Ufaransa ilisisitiza umuhimu wa kuwepo kwa UNIFIL katika kudumisha utulivu kusini mwa Lebanon huku kukiwa na mvutano unaoongezeka.
---
FRANCE REJECTS NETANYAHU'S CALL TO WITHDRAW UNIFIL FROM LEBANONThe French Foreign Ministry has stated that UNIFIL, the United Nations peacekeeping force in Lebanon, must be allowed to continue its mission, rejecting Netanyahu's request to withdraw UNIFIL forces.
France emphasized the importance of UNIFIL's presence in maintaining stability in southern Lebanon amid rising tensions.
Chanzo: Al Arabiya
Inakuumiza!!?..chomoaJamaa mbona kila siku unazunguka na hii picha, kwani huna picha mpya mpya?
Aah wapi tumeichokaInakuumiza!!?..chomoa
Unajua maana ya free trade area!?..sasa anao huo uhuru ambao wengine hawana,ni some sort of kubebwa/kulelewa,hapo bado na misaada lukuki,yaani hapo EU wakipitisha hilo kilio kitakua kikubwa kwa taifa fekiIsrael ni namba mbili kiuchumi pale mashariki ya kati, fikiria kama angekuwa anaelewana na majirani zake wote na nchi zote pale middle east ingekuwaje
Umeichoka wewe na nani!?..chomoa kama imekuchoshaAah wapi tumeichoka
Sawa na Israeli asahau kuwa na amani. Na Israeli kama inaitegemea marekani ktk hili itakala kwake maana muda si mrefu marekani haitakuwa taifa kubwa lenye ushawishi mkubwaNa halitoundwa hasa ikiwa trump ataingia white house
Mbona Urusi kampasua huko SyriaNetanyahu ni kiburi yule hata EU yote iwe dhidi yake
Amempasua? Wapi onyesha ushahidiMbona Urusi kampasua huko Syria
Kwaiyo unasemaje? Wale Wafaransa pale wauawe?Kuwepo au kutokuwepo kwa hivo vikosi havitasababisha Israel kurudi nyuma, ndio kitu nachokijua pekee
Una uhakika gani? Marekani Bado ni taifa kubwa na lenye nguvu zaidi, usifikiri kutoa misaada ya silaha kwa Ukraine, Israel na Taiwan ndio sababu ya kuiona marekani imeanguka, kumbuka marekani bado haijaingia vitaniSawa na Israeli asahau kuwa na amani. Na Israeli kama inaitegemea marekani ktk hili itakala kwake maana muda si mrefu marekani haitakuwa taifa kubwa lenye ushawishi mkubwa
Kwani hata wakiuwawa unadhani kitatokea nini mbele ya USA na Israel?Kwaiyo unasemaje? Wale Wafaransa pale wauawe?
Unafikiri US anapendezwa na kila ujinga wa Israel? US pia hatamani akosane na washirika wake wa Ulaya kwaiyo usijedhani ataruhusu tu liwalo na liwe kwa Ufaransa.Kwani hata wakiuwawa unadhani kitatokea nini mbele ya USA na Israel?
sio ufaransa peke yake wenye veto. soon hilo jeshi bovu la UN pale lebanon litakimbia lenyewe. ama la hezbollah waende wakalale kwenye kambi yao. kwa mashambulizi ya jana usiku, naogopa myahudi atakachokifanya lebanon soon. kwa sababu hawezi kukubali asitishe mapigano na kuishi na watu wenye silaha kama zile pembeni yake, lazima atataka awanyang'anye ili alale usingizi.Wanaukumbi
Wizara ya Mambo ya Nje ya Ufaransa imesema kuwa UNIFIL, kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Lebanon, lazima kiruhusiwe kuendelea na kazi yake, na kukataa ombi la Netanyahu la kuondoa vikosi vya UNIFIL.
Ufaransa ilisisitiza umuhimu wa kuwepo kwa UNIFIL katika kudumisha utulivu kusini mwa Lebanon huku kukiwa na mvutano unaoongezeka.
---
FRANCE REJECTS NETANYAHU'S CALL TO WITHDRAW UNIFIL FROM LEBANONThe French Foreign Ministry has stated that UNIFIL, the United Nations peacekeeping force in Lebanon, must be allowed to continue its mission, rejecting Netanyahu's request to withdraw UNIFIL forces.
France emphasized the importance of UNIFIL's presence in maintaining stability in southern Lebanon amid rising tensions.
Chanzo: Al Arabiya