Ufaransa yakataa wito wa Netanyahu wa kuondoa unifil kutoka Lebanon

Ufaransa yakataa wito wa Netanyahu wa kuondoa unifil kutoka Lebanon

Huu utahira uache.
Hapo UNIFIL kuna vikosi hadi vya Ulaya.
Kwa ujinga wako Hizbollah aende akajifiche kwa hao jamaa inaingia akilini!?
Embu kuwa mtu reasonable acha kuropoka pumba.
Kama magaidi wanaweza kujificha nyuma ya wanawake na watoto wanashindwa vipi kutumia UNIFIL kama ngao?
 

Attachments

  • IMG_3778.jpeg
    IMG_3778.jpeg
    360.6 KB · Views: 1
⚡️BREAKING: Emmanuel Macron anamkosoa Benjamin Netanyahu:

“Bwana. Netanyahu asisahau kuwa nchi yake ILIUMBWA KWA UAMUZI WA UN. Asidharau maamuzi yao.”

Matamshi haya yanarejelea hali ya kusini mwa Lebanon, inayoadhimishwa na mashambulizi ya mara kwa mara ya Israel dhidi ya walinda amani wa Umoja wa Mataifa, ambayo yalisababisha kifo cha wanne kati yao.

- Le Parisien
Mtasema yote ila kichapo kiko pale pale
 
Wanaukumbi

Wizara ya Mambo ya Nje ya Ufaransa imesema kuwa UNIFIL, kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Lebanon, lazima kiruhusiwe kuendelea na kazi yake, na kukataa ombi la Netanyahu la kuondoa vikosi vya UNIFIL.

Ufaransa ilisisitiza umuhimu wa kuwepo kwa UNIFIL katika kudumisha utulivu kusini mwa Lebanon huku kukiwa na mvutano unaoongezeka.
---


FRANCE REJECTS NETANYAHU'S CALL TO WITHDRAW UNIFIL FROM LEBANONThe French Foreign Ministry has stated that UNIFIL, the United Nations peacekeeping force in Lebanon, must be allowed to continue its mission, rejecting Netanyahu's request to withdraw UNIFIL forces.

France emphasized the importance of UNIFIL's presence in maintaining stability in southern Lebanon amid rising tensions.

Chanzo: Al Arabiya
UP DATE..

========================
⚡️BREAKING: Emmanuel Macron anamkosoa Benjamin Netanyahu:

“Bwana. Netanyahu asisahau kuwa nchi yake ILIUMBWA KWA UAMUZI WA UN. Asidharau maamuzi yao.”

Matamshi haya yanarejelea hali ya kusini mwa Lebanon, inayoadhimishwa na mashambulizi ya mara kwa mara ya Israel dhidi ya walinda amani wa Umoja wa Mataifa, ambayo yalisababisha kifo cha wanne kati yao.

- Le Parisien


View: https://x.com/suppressednws/status/1846199323312165321?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Ndioo Emanuel macron simamia hapo hapo ,,
 
Kinchi feki na uchumi feki wa kubebwa
Afu eti kinatisha dunia siku za nyuma kilikuwa kinakuzwa na waimba kwaya, oh Israel hapo Middle East hakuna wakumchezea. Hakuna silaha inaweza kupiga Israel sababu Israel inalindwa na Mungu, vichaa kweli kumbe inalindwa na THAAD na mpaa wanajeshi wa US.

Hicho kitaifa fake kama vile bibilia zao.
 
Kwani mie ni nani hadi nijue taarifa zote!?
Je wewe una taarifa zote kuhusu Middle East!?
sasa, how can you confident to discuss something you are not knowledgeable about? unapotezea watu muda. acha wenye uelewa wajadili.
 
Back
Top Bottom