Nickson francis
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 700
- 1,306
Baada ya vita ya pili ya dunia USA ndio iliinua ulaya kiuchumi, na hata sasa nchi za magharibi haziwezi kuwa kinyume na USA, Israel ni USA na USA ni Israel, sijui kama unlielewa hiloUnafikiri US anapendezwa na kila ujinga wa Israel? US pia hatamani akosane na washirika wake wa Ulaya kwaiyo usijedhani ataruhusu tu liwalo na liwe kwa Ufaransa.