Ufufuaji wa Misukule: Ina tofauti gani na Maigizo?

Ufufuaji wa Misukule: Ina tofauti gani na Maigizo?

Ndg yangu katika Kristo umenena vizuri, utafanya utafiti. Wakati wautafiti wako na kushauri umuombe sana Mungu akusaidie na akupe ufahamu upate maarifa. Maneno ya Mungu yanatuambia kuwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Tena siku za mwisho kutakuwa na manabii wa uongo. Utawajuaje hawa manabii wa uongo,Yesu mwenyewe anatuambia kwa matendo yao. Sasa jiulize wakati wa Yesu hakukua na wachawi au misukule? Kwanini Yesu hakuhangaika na misukule?

Amina ndugu yangu, labda ningekuuliza unaamini kuna uchawi? na kupitia uchawi kuna watu wanakufa kichawi pia?

Pia nikupe angalizo msimamo wangu toka mwanzo ni uweza wa jina la Yesu na si kuzungumzia ukweli juu ya misukule ya kwenye huduma ya Gwajima (kwasababu sipo kwenye huduma yake kudhibitisha lakini siwezi kupinga tu bila kufata misingi ya Kiroho).

Mleta mada anapinga baadhi ya miujiza na kuita ni utapeli akidhani anamzungumzia mchungaji kama mchungaji na sio mamlaka ya jina la YESU.
 
Unaonyesha kuwa unaielewa biblia, unaunajua kuwa Yesu alimtokea tomaso kumtoa mashaka yake. Sasa na watumishi wa leo wanawajibu wakuwatoa mashaka waumini.

Wenye mashaka si Waamini wa Gwajima (ingekuwa ni Waamini wake ningeshangaa) maana wanahudhuria mikutano yake na pengine wanajua ukweli lakini hasa wapiga porojo na maneno ya kejeli za vijiweni yasiyo na ushahidi ni watu wa kwenye mitandao kama unavyoona na wengine mitaani ikichangiwa na uelewa wa mambo ya Kiroho.

Kama Yesu alishindwa kuwafanya waelewe watu wa kipindi chake hadi wengine kumuita mchawi itakuwa watumishi wa Mungu sasa?

Utapeli wa Wachungaji umetabiriwa toka miaka zaidi ya 2000 iliyopita lakini tunakoelekea tunaishia kuwazodoa wachungaji karibia wote labda unitajie mchungaji ambaye hazodolewi wa kizazi hiki tena kwa habari za vijiweni!!

Kuna wachungaji wanahubiri kwenye TV na mafundisho yao unaona kabisa si ya Kristo hilo unaweza kusemea kwa ushahidi wa alichofundisha na Biblia inasema nini lakini si kupinga tu kwa kuhisihisi!!!
 
miujiza ni nini? na karama ni nini? mnaona kupitia kupondaponda ovyo wachungaji wakati mwingine bila sababu za msingi mnajikuta mnaanza kumponda Mungu mwenyewe bila kujua?

Upendo haushindwi kamwe. Lakini kama kuna zawadi za kutoa unabii, zitaondolewa mbali; kama kuna lugha, zitakoma; kama kuna ujuzi, utaondolewa mbali. 9 Kwa maana tuna ujuzi wa sehemu tu nasi tunatoa unabii kwa sehemu tu; 10 lakini wakati kile kilicho kamili kitakapofika, kile kilicho kwa sehemu tu kitaondolewa mbali. 11 Nilipokuwa mtoto, nilikuwa nikisema kama mtoto, nikifikiri kama mtoto, nikiwaza kama mtoto; lakini kwa kuwa sasa nimekuwa mtu mzima, nimeziondolea mbali tabia za mtoto. 12 Kwa maana wakati wa sasa tunaona kwa njia isiyo ya waziwazi kupitia kioo cha chuma, lakini wakati huo itakuwa uso kwa uso. Wakati wa sasa najua kwa sehemu tu, lakini wakati huo nitajua kwa usahihi kama vile ninavyojulikana kwa usahihi. 13 Sasa, hata hivyo, inabaki imani, tumaini, upendo, hayo matatu; lakini lililo kubwa zaidi kati ya hayo ni upendo.

SOAMA 1WAKORINTO13
 
Mbona inakuuma sana misukule ikifufuliwa? Nina wasiwasi kuwa unawachukua wewe, wakati watu wanafurahi wachawi kupigwa mpaka wanawaachia watu waliowaiba wewe unachukia, mwanga nini wewe? Na mtakoma mnajifanya dunia ndio yenu hii msijue kuwa ni ya Mungu.

Mungu aumbe watu wake nyie mkawafiche kwenye dali na kwenye uvungu wa nyumba, mwisho wenu umefika.

Mbona Umekuja kasi sana na kutetea hoja ya Mitunga?
Wewe unaweza kua unafahamu vizuri hili swala ndio Maana unatetea!
Tusaidie na sisi hiyo Elimu!
 
Mbona Umekuja kasi sana na kutetea hoja ya Mitunga?
Wewe unaweza kua unafahamu vizuri hili swala ndio Maana unatetea!
Tusaidie na sisi hiyo Elimu!

Wakutusaidia walikuwa kina watu8 mkuu,
ila baada ya kuona utofauti wa yale maandiko ya kweli na kudhani tuna mdiscuss Gwajima, wakaamua kusepa zao, nadhani waligundua uhusiano mdogo uliopo kati ya wafu na misukule kwa refference ya biblia..

YESU hakika alifundisha vyema, kina Paulo na wengine waliofuatia hakika walifundisha vyema ndiyo maana mpaka vizazi vya leo vinayatumia maandiko yao!

Sina imani kama vizazi vijavyo vinaweza kutumia mafundisho ya kina Gwajima and alike katika kuendeleza injili..

YESU aliahidi kutuleta msaidizi ambaye ni ROHO mtakatifu.

Now days pastors and Bishops wanaongezeka kila uchao, na wengi wao ni Money mongers!

Simama katika imani yako unayoiamini tena ile ya kwanza ili usipotezwe na wasaka vitu.
MUNGU atusaidie sana
 
Last edited by a moderator:
Wakutusaidia walikuwa kina watu8 mkuu,
ila baada ya kuona utofauti wa yale maandiko ya kweli na kudhani tuna mdiscuss Gwajima, wakaamua kusepa zao, nadhani waligundua uhusiano mdogo uliopo kati ya wafu na misukule kwa refference ya biblia..

YESU hakika alifundisha vyema, kina Paulo na wengine waliofuatia hakika walifundisha vyema ndiyo maana mpaka vizazi vya leo vinayatumia maandiko yao!

Sina imani kama vizazi vijavyo vinaweza kutumia mafundisho ya kina Gwajima and alike katika kuendeleza injili..

YESU aliahidi kutuleta msaidizi ambaye ni ROHO mtakatifu.

Now days pastors and Bishops wanaongezeka kila uchao, na wengi wao ni Money mongers!

Simama katika imani yako unayoiamini tena ile ya kwanza ili usipotezwe na wasaka vitu.
MUNGU atusaidie sana

To the law and to the testimony, if they do not speak according to this word, it is because there is no light in them. Isa 8:20.

Hawa wachungaji na maaskofu tunawaweza kuwapima mafundisho Yao kwa fungu Hilo!
 
Last edited by a moderator:
Mbona inakuuma sana misukule ikifufuliwa? Nina wasiwasi kuwa unawachukua wewe, wakati watu wanafurahi wachawi kupigwa mpaka wanawaachia watu waliowaiba wewe unachukia, mwanga nini wewe? Na mtakoma mnajifanya dunia ndio yenu hii msijue kuwa ni ya Mungu.

Mungu aumbe watu wake nyie mkawafiche kwenye dali na kwenye uvungu wa nyumba, mwisho wenu umefika.

Njoo Hapa utetee hoja yako ya MISUKULE. Inaonekana utakua na maelezo mazuri toka ndani ya biblia juu ya hiyo Misukule!
Tafadhali nakuomba!
 
Kwani Mungu hawezi kumtumia mtu kumponya mtu mwingine kupitia Neno lake analosema?
nahisi umeshaanza kuvurugikiwa kichwa wewe nenda kwa washauri wakupe cancelling ya nguvu

Binadamu kila kukicha tunazidi kupata mbinu za kuyakabili maisha..
Inafikia hatua ya kujigeuza miungu watu sasa..

Kwa kujipa uwezo wa kuwafufua binadamu waliokufa siku za nyuma,
Ndugu zangu haswa Wakristo na Wafuasi wa Gwajima (Ufufuo na Uzima) kuweni makini sana na maigizo mnayofanyiwa!

Hakuna binadamu yoyote mwenye uwezo wa kumrudishia uhai mtu aliyekufa..
hili alifanya YESU peke yake tena mara chache sana!!

Tutakoseshwa mbingu kwa kudanganyika na kumezeshwa imani zisizoendana na Mapenzi ya mungu..
 
Ombeni MUNGU awape uwezo wa kutambua kila roho iliyo chafu
kwa maombi tu,ndipo tutafahamu miujiza ipi inafanyika kwa jina la Yesu na ni ipi ya maigizo
 
Amina ndugu yangu, labda ningekuuliza unaamini kuna uchawi? na kupitia uchawi kuna watu wanakufa kichawi pia?

Pia nikupe angalizo msimamo wangu toka mwanzo ni uweza wa jina la Yesu na si kuzungumzia ukweli juu ya misukule ya kwenye huduma ya Gwajima (kwasababu sipo kwenye huduma yake kudhibitisha lakini siwezi kupinga tu bila kufata misingi ya Kiroho).

Mleta mada anapinga baadhi ya miujiza na kuita ni utapeli akidhani anamzungumzia mchungaji kama mchungaji na sio mamlaka ya jina la YESU.


Uchawi upo tunasoma kwenye biblia. Ndio maana nikakuuliza unafikiri kwa nini Yesu hakuona umuhimu wa kushughulika na misukule. Yesu huyu huyu anatutahadharisha siku za mwisho watakuja manabii wa uongo na anaenda mbele zaidi na kusema watakuja kwa jina langu. Ila mtawatambua kwa matendo yao. Kwa maneno mengine matendo yao yatakuwa tofauti na yale ya Bwana Yesu.

Mimi nirudi palepale tumuombe sana Mungu wetu atupe ufahamu wa kuwatambua hao mababii wa uongo na wakati huohuo atuepushe na dhambi ya kumkufuru roho mtakatifu.
 
Wenye mashaka si Waamini wa Gwajima (ingekuwa ni Waamini wake ningeshangaa) maana wanahudhuria mikutano yake na pengine wanajua ukweli lakini hasa wapiga porojo na maneno ya kejeli za vijiweni yasiyo na ushahidi ni watu wa kwenye mitandao kama unavyoona na wengine mitaani ikichangiwa na uelewa wa mambo ya Kiroho.

Kama Yesu alishindwa kuwafanya waelewe watu wa kipindi chake hadi wengine kumuita mchawi itakuwa watumishi wa Mungu sasa?

Utapeli wa Wachungaji umetabiriwa toka miaka zaidi ya 2000 iliyopita lakini tunakoelekea tunaishia kuwazodoa wachungaji karibia wote labda unitajie mchungaji ambaye hazodolewi wa kizazi hiki tena kwa habari za vijiweni!!

Kuna wachungaji wanahubiri kwenye TV na mafundisho yao unaona kabisa si ya Kristo hilo unaweza kusemea kwa ushahidi wa alichofundisha na Biblia inasema nini lakini si kupinga tu kwa kuhisihisi!!!


Niseme tu kuwa tumuombe sana Mungu wetu atufungue macho yetu ya kimwili na Kiroho tuweze kuujua ukweli kuhusu mambo haya.
 
mimi nachomind baadhi ya hawa gwajima's type kuwafanya waumini wao macartoon...mara ukitaka ghorofa bebaneni au kama unataka gari pangeni viti mmoja awe dereva yaani ili mradi kuwachoresha tu runingani!
 
mimi nachomind baadhi ya hawa gwajima's type kuwafanya waumini wao macartoon...mara ukitaka ghorofa bebaneni au kama unataka gari pangeni viti mmoja awe dereva yaani ili mradi kuwachoresha tu runingani!

Kweli mkuu, unaweza kusikia mchungaji anawananga waamini "wote hapa mlikuja mkiwa kapuku" si maneno yenye hekima!!
 
Uchawi upo tunasoma kwenye biblia. Ndio maana nikakuuliza unafikiri kwa nini Yesu hakuona umuhimu wa kushughulika na misukule. Yesu huyu huyu anatutahadharisha siku za mwisho watakuja manabii wa uongo na anaenda mbele zaidi na kusema watakuja kwa jina langu. Ila mtawatambua kwa matendo yao. Kwa maneno mengine matendo yao yatakuwa tofauti na yale ya Bwana Yesu.

Mimi nirudi palepale tumuombe sana Mungu wetu atupe ufahamu wa kuwatambua hao mababii wa uongo na wakati huohuo atuepushe na dhambi ya kumkufuru roho mtakatifu.

Mkuu wangu,

Kwanza Fahamu Biblia iliandikwa miaka mingi baada ya YESU kupaa mbinguni na walioandika waliandika kwa msaada wa Roho Mtakatifu.Pia kusudio kuu la kuandikwa kwa Biblia ni kuamsha imani tu na si kuandika historia ya YESU.Kuna mengi sana hayakuandikwa lakini si sahihi kusema watu wafanye yale aliyofanya YESU tu utadhani matendo yote ya YESU toka kuzaliwa yalirekodiwa kwenye video!

Ndio maana leo Kanisa inabidi kutoa ufafanuzi wa baadhi ya vitu vinavyoibuka nyakati hizi kama vile Arbotion katika mazingira fulani iruhusiwe au ikatazwe.Hivyo issue kutoshughulikiwa na YESU haiwezi kuwa hoja ya kutoshughulikia sasa.

Lakini pia kwanini tuchague mambo ya kichawi ya kuyashughulikia? Hatukuambiwa na Biblia uchawi gani ushughulikiwe na upi uachwe!! Na shetani anakuja na mbinu mpya kila siku hivyo YESU pia kupitia Roho Mtakatifu anatupa mbinu kila siku!

Wewe hufurahi kama kweli kuna watu waliokuwa misukule wamerudi kwa jina la YESU? kama YESU asingependa wasingerudi kwa Mamlaka ya jina lake.Kama wamerudi kwa Mamlaka ya jina la YESU utukufu ni wake na sisi tufurahie Utukufu wake!!
 
Ombeni MUNGU awape uwezo wa kutambua kila roho iliyo chafu
kwa maombi tu,ndipo tutafahamu miujiza ipi inafanyika kwa jina la Yesu na ni ipi ya maigizo

Ni kweli kabisa ila wa maigizo wanaonekana dhairi kabisaaa..
 
Kwani Mungu hawezi kumtumia mtu kumponya mtu mwingine kupitia Neno lake analosema?
nahisi umeshaanza kuvurugikiwa kichwa wewe nenda kwa washauri wakupe cancelling ya nguvu

Usicomment kwa hasira ukapotosha maana!!
Kwanza cancelling inapewaje? Then
Unatakiwa uelewe kuwa kuna tofauti kubwa kati ya uponyaji wa mwili na uponyaji wa roho,

Sasa hebu tumia akili kidogo useme kufufua misukule ni uponyaji wa aina gani?
 
si ajabu shule umeenda, halafu una comment huu ujinga !
Haishangazi, maana mna nunua picha dukani kisha mnatundika sebuleni halafu mnawaambia watoto wenu: huyu ni BWANA WETU !

Mjinga ni nani anaye sema uongo kusema kuwa mkutano wa Injili umeanza Moshi, wakati mkutano haujanza hadi mwisho wa wiki ?

Kumbuka hiki ni kipindi kigumu kwa kwa wafuga misukule na wachawi nchini Tanzania, ni LAZIMA mtaumbuka tu kelele na matusi hazitasidia.
 
Mjinga ni nani anaye sema uongo kusema kuwa mkutano wa Injili umeanza Moshi, wakati mkutano haujanza hadi mwisho wa wiki ?

Kumbuka hiki ni kipindi kigumu kwa kwa wafuga misukule na wachawi nchini Tanzania, ni LAZIMA mtaumbuka tu kelele na matusi hazitasidia.

Who is concerned there?
mfuga au mfugwa?
sijawahi kumsikia huyu mwigizaji akiwaleta jukwaani, waigizaji wa upande wa wanaofuga,

mara zote wafugwaji ndiyo wana play part kubwa!
unaweza kumshauri pia ili aweze kunogesha ajaribu kutafuta na wafugaji wa hiyo misukule ili maigizo yawe yananoga...
 
Back
Top Bottom