Ufufukaji wa uchumi wa China kunufaisha uchumi wa dunia unaokabiliwa na changamoto

Ufufukaji wa uchumi wa China kunufaisha uchumi wa dunia unaokabiliwa na changamoto

Hahaha

Haujanijibu maswali yangu ndugu..!
Nimekwambia huo mfano unaotolea ni vitu viwili tofauti. Ila nitakujibu tu kama unavyotaka kila nchi ndio ilikua inatoa taarifa na pia nchi yenyewe ndio ilikua na uwezo wa kuacha kutoa taarifa .ila ndio nakukumbusha kitu unachotolea mfano ni magonjwa ya mripuko kama kipindu pindu au mafua ya ndege sasa uchumi sio kitu cha kuja na kupotea ni mpangilio wa mda mrefu na ndio maana miaka ya WB au IMF uwezi fananisha na miaka ya hiyo Corona imekuja na hivi sasa ishasaulika kama kulikua na korona sio Tanzania tu hata huko ulaya kwenyewe kwahiyo ugonjwa wa mripuko una utaratibu wake huwez fananisha na uchumi kama hukunielewa tena bc
 
Namba 55 hahaha nimerekebisha

Ishu ya bandari ya bagamoyo unaikumbuka, je unajua moja ya sharti la mkataba ilikuwa ni kuweka usiri wa kimikataba?

Yaani wachina walikuwa wanataka kikwete asaini tu bila hata ishu nzima kujadiliwa bungeni. Na je unayajua madhara ya ile bandari ya bagamoyo kupitia ile mikataba direct kwa wananchi?

Mzeebaba yaani tulikuwa tuwe makapuku taifa zima fatilia kwanza ile mikataba then uje hapa tueleweshane ndio utaijua China na CCP vizuri

Kama na hili nalo haulijui basi ww utakuwa sio mtamzania
Swala la usiri ktk mikataba lilianza kitambo tangu enz ya Nyerere kwa hiyo ishu ya bagamoyo na usir hakuna jipya
 
Kama mnaelewa kiingereza na mna akili ya kugrasp Concept za uchumi pitieni hii video ninyi ccp slaves
 
Actually mnampigisha short mchina , mchina anatoa mikopo mingi ambayo mingi inashindwa kulipika na inakuwa defaulted ndio sababu ya kuongezeka visa kama vya Zambia mchina kukamata mashirika ya serikali na miundo mbinu mingine baada ya serikali kufail kulipa hiyo mikopo iliyokooeshwa na China via road and belt intiatiave na hilo linaleta impact kubwa china kwani inakuwa ni big loss kwa central government ya china na wakati huo huo local governments za china zimekopa pesa ndefu na zimeshindwa kurejesha hiyo mikopo so hii ni perfect storm ,coupled with pandemic restrictions , poor productivity hasa kwenye manufacturing sector na kuanza kuhamishwa kwa mitaji kwa wawekezaji vwakubwa wanaohamishia biashara na manufacturing south east Asia mfano Singapore , Thailand ,Vietnam ,Malaysia ,Indonesia NK
Chinese economy is not safe
 
Tatizo la uchumi wa Marekani ni hizi big corporations na institutions za kifedha ambazo ni wakwepaji wakubwa wa kodi na beneficiaries wakubwa wa bailouts na priveledges nyingine nyingi toka federal government sasa mzigo unakuwa kwa raia kuminywa kucover hiyo deficit
 
Wachina milioni 1.3+ wamekimbilia Vietnam mwaka huu kukimbia unemployment kwao china baada ya makampuni kama apple ,Sony ,Toshiba ,Samsung ,GE , nk kuanza kuhamishia uzalishaji nchini India na Vietnam
 
Back
Top Bottom