Ufugaji Mbuzi wa kienyeji (Asili) kibiashara

Kwako wapi nije
 
Kwenye huu uzi ngoja ni sign in alafu nipite page kwa page kwa umakini ili nipate madini
 
Ahsante. Umeiweka vizuri sana
 
Hivi

Hivi changamoto ya wizi wa mbuzi mnakabiliana nayo vipi? Hasa wamasai na mang'ati kwa mashamba ambayo yako nje ya mji?
habari za leo kusema ukweli hasa la wamangati ni changamoto kubwa sana maana hao jamaa bana wanambinu nyingi sana za uwizi na kununuwa viongozi wa vijiji kwamaana hata muwashtaki vipi hamna anae wagusa. wamasai sio waizi na ndio nawatumia mimi kwenye ufugaji shida yao ni kutaka kufuga kwa kieneyeji kama walivyo zoea kwao. Mimi wameshanifanya nikaliacha Shamba kongowe ya Mlandizi na mabanda yakaanguka ndani. Wamangati ni wabaya sana kuliko unavyo fikiria.
 
Nimepata eneo la kama heka 12 nataka kufuga mbuzi. Mpango ni kulizungushia uzio nipande nyasi na miti spesho kwa malisho ya mbuzi, so naomba mwenye ujuzi anielekeze nyasi na miti sahihi ya kupanda humo ili wawe wanajilisha. Ila naomba kujua Boar Goats madume kwa hapa Tz wanapatikana wapi na bei yao ili niwapandishe kwa majike ya kienyeji.
 
Hongera sana mkuu, hii ndio nataka kuifanya
Kwa pure Boer ni ghali ila wapo UG na tz wanacross wengi wao kwa hiyo utapata mix
Boer bei imechangamka na wapo Kalahari pia

Ukosikia mtu anauza bora uende mwenyewe kwa gharama zako hata kama ni maili 200 ukajionee mazingara yao
Muhimu zaidi certification zote maana kama Kenya na Uganda unaonyeshwa kila kitu waliponununuliwa mpaka makuzi yao na dawa wanazopewa nk
Uwe makini sana kuhusu majani yapo mengi hata kwenye insta wamejaa wafugaji na mbuzi pia utapata idea nyingi na humu pia wapo watu wema ila usiamini sana mpaka umeridhika na kila kitu
 
Shukrani kwa ushauri mkuu, ngoja niendelee kujifunza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…