Ni mradi mzuri sana. Hayo mafunzo kwa vitendo utaratibu wake ukoje kwa watu ambao hawapo Dodoma!
Kwa ambao hawako Dodoma tutajitahid kufika shambani kwako ila itakua vizuri zaidi ukifanikisha kuja kupata mafunzo katika shamba letu. Tunafanyia kazi suala la kuwa na shamba darasa katika mikoa mingine.
Hebu nisaidie mkoa wa pwqni wilaya kisarawe naweza kufuga nyuki?
Unaweza kufuga nyuki mkoa wa Pwani, kwani Tanzania tuna nyuki wa aina tatu. Nyuki wa Pwani, wa nyanda za juu kusini na nyuki wa mikoa ya kati kama Dodoma, Singida n.k.
Sent from my iPhone using JamiiForums[/QUOTE
Nimepitia attachment yako umeeleza kuwa mzinga mmoja unatoa kilo 12 kwa mvuno mmoja na umesema unavuna mara tano. Kweli inawezekana kuvuna mara tano?je ujazo wa hiyo mizinga ni kiasi gani?Ukiacha hiyo starter kit je bei ya mzinga mmoja ni sh ngapi kama mtu anataka kununua mizinga peke yake?
Mimi naishi dodoma,je nawezaje kuja kuona shamba darasa lenu?
Ninataka kuanza huu mradi mwaka huu mwishoni.
Unaweza kufuga nyuki mkoa wa Pwani, kwani Tanzania tuna nyuki wa aina tatu. Nyuki wa Pwani, wa nyanda za juu kusini na nyuki wa mikoa ya kati kama Dodoma, Singida n.k.
Sent from my iPhone using JamiiForums[/QUOTE
Nimepitia attachment yako umeeleza kuwa mzinga mmoja unatoa kilo 12 kwa mvuno mmoja na umesema unavuna mara tano. Kweli inawezekana kuvuna mara tano?je ujazo wa hiyo mizinga ni kiasi gani?Ukiacha hiyo starter kit je bei ya mzinga mmoja ni sh ngapi kama mtu anataka kununua mizinga peke yake?
Mimi naishi dodoma,je nawezaje kuja kuona shamba darasa lenu?
Ninataka kuanza huu mradi mwaka huu mwishoni.
Unaweza kufuga nyuki mkoa wa Pwani, kwani Tanzania tuna nyuki wa aina tatu. Nyuki wa Pwani, wa nyanda za juu kusini na nyuki wa mikoa ya kati kama Dodoma, Singida n.k.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nashukuru kwa maelezo yako. Ni vitu gani muhimu vinahitajika ili kufuga nyuki?
Sifa za eneo:-
1. Miti, uoto wowote wa asili na mimea mbalimbali kama mazao ya chakula na biashara (alizeti, mahindi etc)
2. Maji ni muhimu kwan hutumika kama sehemu ya chakula cha nyuki pia nyuki hutumia maji kurekebisha hali ya hewa ndan ya mzinga
3. Eneo la shamba la nyuki lazima liwe ni salama kwa mizinga, mazao yake, mifugo, binadamu na mahali kusiko na maadui wa nyuki. (Kuthibiti hayo yote kujengea nyumba ya nyuki ni njia nzuri na salama zaidi)
4. Kivuli cha kadri na kinga ya upepo ili kuwapunguzia nyuki kazi ya ubebaji maji kwaajili ya kupunguza joto.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu ili ufugaji uwe wa kibiashara ninatakiwa nianze na mizinga mingapi? Vile vile utupe bei ya mzinga wa nyuki wa kisasa
Mkuu ili ufugaji uwe wa kibiashara ninatakiwa nianze na mizinga mingapi? Vile vile utupe bei ya mzinga wa nyuki wa kisasa
Hawa ni nyuki wakubwa au wadogo?
Nimeona mapori mengi yanayofaa kwa ufugaji wa nyuki ila nahofia moto. Ni kawaida kwa haya mapori kuchomwa moto kila mwaka. Hii haiwezi kuwa ni kikwazo kikubwa kwenye ufugaji wa nyuki?.
Hawa ni nyuki wakubwa.
Sent from my iPhone using JamiiForums