Vipi ukihitaji Nyuki wadogo inakuaje?
Vipi ukihitaji Nyuki wadogo inakuaje? Na mizinga 50 inaweza kuchukua eneo kiasi gani?
Hawa ni nyuki wakubwa.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sidhani kama watafaa huku dar
Mkuu embu tupe faida za kufuga nyuki, je kama mie ni mfugaji mkubwa kabisa wa nyuki kwa mwezi ntakua naingiza shillingi ngapi?Habari,
Kampuni yetu ya Central Park Bees inakuja na KIT iliyokamilika ya kukuwezesha wewe kuingia katika biashara ya ufugaji wa nyuki kwa njia ya kisasa na yenye mafanikio makubwa.
Kwa wateja wetu tutaweza kutoa msaada kwa mwaka mzima pale utapoitajika pia kuhakikisha mizinga yako iko katika hali nzuri wakati wote na mteja hatotakiwa kuwaza kuhusu soko kwasababu kampuni yetu itahusika na kununua asali yote toka kwa mteja na kufanya malipo mara moja bila kuchelewesha.
KIT yetu itakua na orodha ya vitu vifuatavyo:-
- Langstroth bee hives
- Bee smoker
- Protective bee suits with gloves
- Hive tool
- Bee brush
- Fork
- Stainless steel sieve
- 3 frame manual honey extractor
- Practical training in our farm
Kupitia training yetu utaweza kujifunza jinsi ya kutumia vifaa vyote hapo juu na pia kujifunza ufugaji bora wa nyuki kwa vitendo katika shamba letu na jinsi gani utajiingizia pesa nyingi kupitia hii biashara.
Sababu za kutuchagua sisi:-
- Uhakika wa soko
- Vifaa vya kisasa hivyo kupekea asali yenye kuhitajika katika soko la kimataifa
- Bei za ushindani za vifaa
NB: Kwa sasa shamba letu la mfano lipo Dodoma ila tuko katika mchakato wa kuanzisha katika mikoa tofauti.
Gharama ya KIT nzima nimeainisha katika PDF hapo chini na marejesho ya mtaji wako ni ndani ya mwaka mmoja tu, miaka inayofuata ni faida kwako.
Mizinga yetu ina guarantee ya kuishi zaidi ya miaka 20 bila shida yoyote.
Mawasiliano:
0655003510
by Baraka 607
Kwa ufugaji wa kibiashara nashauri angalau mtu kuwa na mizinga kuanzia 50 kwenda mbele.
Hesabu yake:
1hive = 12kgs/harvest (Minimum)
Ndani ya mwaka 1 unaweza kuvuna mara 5, hivyo;
50 Hives = 600kgs
600Kgs * 5 harvest = 3000Kgs
Wholesale price:
1kg = 7000 Tshs
3000Kgs = Tshs 21,000,000/=
Habari,
Kampuni yetu ya Central Park Bees inakuja na KIT iliyokamilika ya kukuwezesha wewe kuingia katika biashara ya ufugaji wa nyuki kwa njia ya kisasa na yenye mafanikio makubwa.
Kwa wateja wetu tutaweza kutoa msaada kwa mwaka mzima pale utapoitajika pia kuhakikisha mizinga yako iko katika hali nzuri wakati wote na mteja hatotakiwa kuwaza kuhusu soko kwasababu kampuni yetu itahusika na kununua asali yote toka kwa mteja na kufanya malipo mara moja bila kuchelewesha.
KIT yetu itakua na orodha ya vitu vifuatavyo:-
- Langstroth bee hives
- Bee smoker
- Protective bee suits with gloves
- Hive tool
- Bee brush
- Fork
- Stainless steel sieve
- 3 frame manual honey extractor
- Practical training in our farm
Kupitia training yetu utaweza kujifunza jinsi ya kutumia vifaa vyote hapo juu na pia kujifunza ufugaji bora wa nyuki kwa vitendo katika shamba letu na jinsi gani utajiingizia pesa nyingi kupitia hii biashara.
Sababu za kutuchagua sisi:-
- Uhakika wa soko
- Vifaa vya kisasa hivyo kupekea asali yenye kuhitajika katika soko la kimataifa
- Bei za ushindani za vifaa
NB: Kwa sasa shamba letu la mfano lipo Dodoma ila tuko katika mchakato wa kuanzisha katika mikoa tofauti.
Gharama ya KIT nzima nimeainisha katika PDF hapo chini na marejesho ya mtaji wako ni ndani ya mwaka mmoja tu, miaka inayofuata ni faida kwako.
Mizinga yetu ina guarantee ya kuishi zaidi ya miaka 20 bila shida yoyote.
Mawasiliano:
0655003510
Hiyo bei mbona imekaa kimbwiga mbwiga hivi? Ungeainisha bei ya kila kifaa badala.ya kuweka lump sum! Haiingii akilini eti nikihitaji mizinga 10 lazima na hivyo vifaa viwe 10, kwa jinsi ninavyoona kuna vifaa labda utanunua mara moja. Hiyo bei yako siyo halisi!
Sidhani kama watafaa huku dar
Ndo maana mimi nikasema bei ilivyokaa kimbwiga mbwiga, sasa mkuu si ungeweka bei ya kitu kimoja kimoja? Ili iwe rahisi kwa mdau kuchagua vifaa anavyohitaji, sasa wewe unaweka milioni 3 jumla jumla tu!!Sio lazima ununue hiyo kit, ukiona huna mahitaji na vifaa vilivyopo ndan ya hiyo kit basi ni ruksa kununua mizinga pekee.
Karibu Central Park Bees Ltd - the home of beekeepers, advanced beekeeping equipments and training in Tanzania.
Website Link: Central Park Bees Ltd - Home of Beekeepers | Beehive Management, Swarm Removal, Training, Site Survey, Pollination Services Bees Products
Simu: +255 753 196 849Mawasiliano vipi?
Ndugu wataalamu wa nyuki hebu tupe maelezo kidogo ya maswali yangu haya hapa chini.
- Wapo nyuki wadogo na nyuki wakubwa. Je ni aina ipi hasa ina faida nyingi na rahisi kufuga?
- Ni maeneo gani ya nchi yetu yenye malisho mazuri na mengi kwa kufuga nyuki?
- Je gharama za kufuga nyuki hadi kuvuna asali ziko vipi?
- Mizinga ya aina gani inahitajika kwa nyuki wakubwa na nyuki wadogo na inapatikana wapi na kwa gharama gani?
- Soko la asali liko vipi hapa nchini?
- Ni changamoto zipi wanazokabiliana nazo wafugaji wa nyuki?
Karibu FBY 2013