ndaha .. tuwekee picha za hao wakwako basi! Twasubiri
Habari.
Angalia picha za kuku aina ya kuchi
Weka bei ya kuuza
Duh..,Shilingi laki mbili tu (200,000). Karibu sana mkuu!
Mkuu kutuma Uganda sijawahi labda kama unaye mtu hapa Dar tunaweza kufanya
huwa akiona mwizi anamkimbizaaaa...pia Akihisi uwepo wa mchawiii...ANAMTAARIFU Mwenye nyumba
ni upepo tu utapita kama kware mkuu, hawana sababu ya kuuzwa bei hiyo uku kwetu wapo wengi tatizo wamemix sana na kienyeji brand lakini sijawahi sikia wanauzwa zadi ya elfu 20.
huwa akiona mwizi anamkimbizaaaa...pia Akihisi uwepo wa mchawiii...ANAMTAARIFU Mwenye nyumba