Amari
JF-Expert Member
- Nov 16, 2021
- 974
- 2,138
Sometimes huwa napita pale Shekilango asubuhi nakuona kuku wa nyama wanavyouzwa pale... Yani ni hovyo sana..Umechelewa sana kujua hili. Fuga kuku wa mayai au nyama. Hawa broiler ni watamu sana, ila bahati mbaya watu hawawafugi hadi wakakomaa..Wengi wanauza kwa wiki 4, badala ya 8 zinazopendekezwa.
Na hii inachangiwa na kuku kuuzwa kama kuku na siyo kwa kilo. Nadhani ifike wakati sasa kuku wauzwe kwa kilo ili flwafugaji wawalishe vizuri.
Vikuku vidogoo wiki 3 a4 na wamevilisha madawa sana. Wanavijaza kwenye magunia mtu anabeba kama mzigo. Ni ukatili na kulishwa vibudu tu.