Ufugaji wa kuku chotara na kienyeji kwa mijini ni hasara tupu

Ufugaji wa kuku chotara na kienyeji kwa mijini ni hasara tupu

Achana Nate huyo mpuuzi hajui chochote huyo..Kama nakumbuka nilianza biashara ya maziwa ya kutembeza na nikaweka bandiko humu mpaka watu wa jf walishafika ofisini kwangu kijichi.wakati na aingia kwenye kuku tuliweka mjadala mzito na controla humu pia.ashukuriwe sana yule mwamba
Najua mmepishana ila twendeni taratibu pamoja boss. Umetoa hoja nzuri za matumaini kwa wafugaji wapya na huenda huu uzi utasomwa kwa miaka mingi mbele. Nadhani mlipopishana ni yeye amedhani umesema kwa kuku 78 unapata trei 12500 wakati sicho ulichosema, hapa ndo mlipopishana.
 
Achana Nate huyo mpuuzi hajui chochote huyo..Kama nakumbuka nilianza biashara ya maziwa ya kutembeza na nikaweka bandiko humu mpaka watu wa jf walishafika ofisini kwangu kijichi.wakati na aingia kwenye kuku tuliweka mjadala mzito na controla humu pia.ashukuriwe sana yule ...nilianza kupata faida baada ya kuanza kutoa tray 6 kwa wiki..kwani kuwalisha kuku na huduma zingine haifikii hata 20000 kwa wiki..
 
Najua mmepishana ila twendeni taratibu pamoja boss. Umetoa hoja nzuri za matumaini kwa wafugaji wapya na huenda huu uzi utasomwa kwa miaka mingi mbele. Nadhani mlipopishana ni yeye amedhani umesema kwa kuku 78 unapata trei 12500 wakati sicho ulichosema, hapa ndo mlipopishana.
12500 hiyo ni Bei ya kuuza kwa tray hapo wengine wanauza kwa 15000 mpaka 16500.ndio Mana hata nikingia sokoni sikai..alafu kuhusu udalali amenihuzunisha kweli..hivi kuna biashara bila dalali?? Je ukipata tenda kubwa usitafute Mali kwa wengine kwa sababu utakuwa dalali???.
 
12500 hiyo ni Bei ya kuuza kwa tray hapo wengine wanauza kwa 15000 mpaka 16500.ndio Mana hata nikingia sokoni sikai..alafu kuhusu udalali amenihuzunisha kweli..hivi kuna biashara bila dalali?? Je ukipata tenda kubwa usitafute Mali kwa wengine kwa sababu utakuwa dalali???.
Hayo ni ya kupuuza boss, Dalali kazi yake ni kumuunganisha mteja na muuzaji yeye hauzi bali anapata commision kwa kumkutanisha muuzaji na mnunuzi. Kutafuta tenda, ukaipata kisha ukatafuta mali na kwenda kuuza ni uchuuzi sio udalali.
 
Labda nitoe msaada kidogo.hii biashara ni ngum usipoweza kupunguza gharama.pia usipoweza kutambua chanzo sahihi na wakati sahihi wa dawa...sikuanza Jana hii kitu.nilishafuga kuku Aina ya saso takribani kuku 500 na walinifanya kitu hamna. Na nikafuga Tena wakienyeji pure nao walinipelekesha balaa mpaka nakuja kupata formula nimechakaa.hakuna lisilowezekana chini ya just labda roho
 
Hayo ni ya kupuuza boss, Dalali kazi yake ni kumuunganisha mteja na muuzaji yeye hauzi bali anapata commision kwa kumkutanisha muuzaji na mnunuzi. Kutafuta tenda, ukaipata kisha ukatafuta mali na kwenda kuuza ni uchuuzi sio udalali.
Siku hizi Mambo mengi yamefungwa ukitaka Jambo lazma usote kidogo..hapa hapa mjini kuna machimbo ya connection.mimi nimetafta connection ya mashudu ya alizeti for so long.sasa nimepata..ujanja mwengine ni kujichomeka kwa wafanya biasha ili wakileta mzigo mkubwa na wewe una kijigunia chako..kilwa dagaa vumbi nakusanyiwa bure nauli yangu ni 1000,kutoa kivinje to nangurukuru..,pia kuna ufuta hapo ngapa tunachukua..jiulize wanunuzi wa matumbo ya samaki pale ferry ni kina nani..unaweza kuwa na stock kubwa ukaamua kuuza pia
 
Hiyo ilikuwa idadi ya trei au bei ya trei la mayai? Anasapata 12500 anasave 7000. Kwann umedhan ni trei?
Hapana, sikudhani ni trei. Nilielewa kama ulivyoelewa wewe, kwamba hiyo ni bei ya trei moja, lakini si kweli kwamba kuku 78, tena chotara/kienyeji atapata trei za kuuza na kupata faida.

Trei moja au mbili, hata ufanye nini, hupati faida. Na kama ulaghai wake hautoshi, hao kuku ulaji wao ni wa shida kabisa kwa chakula hicho anachowachanganyia, halafu apate hata trei moja?

Sijui ni sababu zipi zinawashinda watu kuelewa jambo dogo kama hili, hasa wewe mkuu 'Tsh'!
 
Najua mmepishana ila twendeni taratibu pamoja boss. Umetoa hoja nzuri za matumaini kwa wafugaji wapya na huenda huu uzi utasomwa kwa miaka mingi mbele. Nadhani mlipopishana ni yeye amedhani umesema kwa kuku 78 unapata trei 12500 wakati sicho ulichosema, hapa ndo mlipopishana.
Dah,

Inabidi nikupe pole yako, mkuu Tsh, kama unaweza kuamini chochote katika maandishi ya huyo bwana.

Toka aanze kuchangia hapa, sioni jambo lolote aliloeleza linaloweza kumsaidia mfugaji yeyote wa kuku, kibiashara.
Hakuna hata moja.
 
Kwanza wewe ndio uliedandia comment yangu.hata usipopandika it's okey... Nilianza kupata tray 3 per wiki Sasa napata 7 ,mpaka 9 per wiki. Na ntaendelea zaidi.kwangu siuoni hasara yyte kwa nn muogoposhe watu kuwa kuku wakienyeji hawalipi???. Shida yenu nikufugia mtandaoni. N.b Bora bange kuliko kuwa punga Kama wewe
Nimekwishasema hauko sawa kichwani.
Haya unayoandika hapa ni mtu mpuuzi tu kama wewe anayeweza kuyaamini.

Wewe naona hata kufuga hufugi, na wala elimu ya ufugaji tu wa kuku huna.
Hata uzoefu tu wa kuku wa wazee wako wa kienyeji, hukujisumbua kufuatilia na kujua ni kuku wa aina gani.

Hata udadisi tu wa kujua hao kuku hawana uwezo wa kutaga kama unavyoeleza hapa unakuwa hujawahi kuwa nao.

Ati "trei 3 kwa wiki. 7 mpaka 8" toka kwa kuku wa kienyeji 78? Huu ni wendawazimu!
 
Hapana, sikudhani ni trei. Nilielewa kama ulivyoelewa wewe, kwamba hiyo ni bei ya trei moja, lakini si kweli kwamba kuku 78, tena chotara/kienyeji atapata trei za kuuza na kupata faida.

Trei moja au mbili, hata ufanye nini, hupati faida. Na kama ulaghai wake hautoshi, hao kuku ulaji wao ni wa shida kabisa kwa chakula hicho anachowachanganyia, halafu apate hata trei moja?

Sijui ni sababu zipi zinawashinda watu kuelewa jambo dogo kama hili, hasa wewe mkuu 'Tsh'!
Boss miaka ya 2000's nilifuga wa kienyeji. Nilianza na kuku 30 ķama sijakosea, Mayai nilikuwa napata na mengine niliwawekea yalaliwe. Nilikuja kuachana na hiyo biashara sababu vifaranga vilikuwa vinakufa. Sijui nilikuwa nakosea wapi. Vijana wanatafuta ajira, wanataka kusikia hivi vitu vinawezekana, na tulioshindwa tulishindwa kwa sababu kuna sehemu tulikosea, hayo makosa yanarekebishwa na wanaofanya kwa mafanikio. Tusikilizane sababu watu wana uzoefu tofauti.
 
Dah,

Inabidi nikupe pole yako, mkuu Tsh, kama unaweza kuamini chochote katika maandishi ya huyo bwana.

Toka aanze kuchangia hapa, sioni jambo lolote aliloeleza linaloweza kumsaidia mfugaji yeyote wa kuku, kibiashara.
Hakuna hata moja.
Sasa mkuu, tuhitimishe kuwa biashara ya ufugaji wa kuku kienyeji ni jambo lisilowezekana? Hapana boss, Embu jaribu kutafiti sababu na ww una uzoefu. Lazima kuna formula inayowezekana. Mfano, binafsi miaka ya nyuma vifaranga visingekuwa vinakufa ningekuambia biashara inalipa lakini sikujua namna ya kuzuia visife hivyo nikawa nasema ni biashara kichaa.
 
Sasa mkuu, tuhitimishe kuwa biashara ya ufugaji wa kuku kienyeji ni jambo lisilowezekana? Hapana boss, Embu jaribu kutafiti sababu na ww una uzoefu. Lazima kuna formula inayowezekana. Mfano, binafsi miaka ya nyuma vifaranga visingekuwa vinakufa ningekuambia biashara inalipa lakini sikujua namna ya kuzuia visife hivyo nikawa nasema ni biashara kichaa.
Ufugaji wa kuku wa kienyeji mchawi ni eneo tu.Pia lazima mtu azingatie kuwa kuku wa kienyeji siyo wa kufungia kama hao kuku wa kisasa.Kuku wa kienyeji wafugwe kwenye eneo kubwa na waachwe huru.
 
Boss miaka ya 2000's nilifuga wa kienyeji. Nilianza na kuku 30 ķama sijakosea, Mayai nilikuwa napata na mengine niliwawekea yalaliwe. Nilikuja kuachana na hiyo biashara sababu vifaranga vilikuwa vinakufa. Sijui nilikuwa nakosea wapi. Vijana wanatafuta ajira, wanataka kusikia hivi vitu vinawezekana, na tulioshindwa tulishindwa kwa sababu kuna sehemu tulikosea, hayo makosa yanarekebishwa na wanaofanya kwa mafanikio. Tusikilizane sababu watu wana uzoefu tofauti.
Ufugaji wa kuku wa kienyeji mchawi ni eneo tu.Pia lazima mtu azingatie kuwa kuku wa kienyeji siyo wa kufungia kama hao kuku wa kisasa.Kuku wa kienyeji wafugwe kwenye eneo kubwa na waachwe huru.
 
Ufugaji wa kuku wa kienyeji mchawi ni eneo tu.Pia lazima mtu azingatie kuwa kuku wa kienyeji siyo wa kufungia kama hao kuku wa kisasa.Kuku wa kienyeji wafugwe kwenye eneo kubwa na waachwe huru.
Ni kweli mkuu.
 
"Mitetea 78" tena sijui wa chotara au kienyeji, unapata trei za mayai; kama siyo ukichaa huo tuuite kitu gani?

Na bado unaendelea na u'bogus' ule ule!
Wewe ni mtu ambaye hujui kabisa kazi ya ufugaji wa kuku. Kazi yako ni kuuza maneno tu hapa!

Huyo mtu wa Mkuranga anayepata trei "25 per day", anao kuku wangapi wa kienyeji, elfu kumi?
Unauelewa utagaji wa mayai wa kuku wa kienyeji wewe?

Wewe siyo mfugaji, ni dalali tu, na mbabaishaji mkubwa kama inavyoonyesha hapa katika maandishi yako.

Hovyo kabisa!
Wewe kumbe siyo tu kuwa hauna uzoefu wa ufugaji wa kuku wa kienyeji,bali ni haujawahi hata kuwafuga.
Nikuambie tu kuwa:Mitetea 10 pekee inauwezo wa kutaga kwa pamoja mitete 5 hadi 7 kwa siku ukiwa na jogoo mpandaji mzuri na aliye shapu.Ukiwa na mitetea 100 ina maana unakuwa na wastani wa kupata mayai 50 hadi 70 kwa siku.Kuku wa kienyeji utofautiana katika idadi ya utagaji kulingana na maumbo yao.Mitetea yenye maumbo madogo utaga kati ya mayai 15 hadi 20 na mitetea yenye maumbo makubwa utaga kati ya mayai 8 hadi 12.
Aisee!Kifupi kumbe wewe ni mweupe kabisa.
 
Boss miaka ya 2000's nilifuga wa kienyeji. Nilianza na kuku 30 ķama sijakosea, Mayai nilikuwa napata na mengine niliwawekea yalaliwe. Nilikuja kuachana na hiyo biashara sababu vifaranga vilikuwa vinakufa. Sijui nilikuwa nakosea wapi. Vijana wanatafuta ajira, wanataka kusikia hivi vitu vinawezekana, na tulioshindwa tulishindwa kwa sababu kuna sehemu tulikosea, hayo makosa yanarekebishwa na wanaofanya kwa mafanikio. Tusikilizane sababu watu wana uzoefu tofauti.
Changamoto na hasara ya kuku ni kwenye kulea vifaranga.pole mkuu Mimi nanunua wakubwa wanaokaribia kutaga..huyo mpuuzi hajui namna ya kufuga kuku wa kienyeji..anadhani wake ni broilers
 
Wewe kumbe siyo tu kuwa hauna uzoefu wa ufugaji wa kuku wa kienyeji,bali ni haujawahi hata kuwafuga.
Nikuambie tu kuwa:Mitetea 10 pekee inauwezo wa kutaga kwa pamoja mitete 5 hadi 7 kwa siku ukiwa na jogoo mpandaji mzuri na aliye shapu.Ukiwa na mitetea 100 ina maana unakuwa na wastani wa kupata mayai 50 hadi 70 kwa siku.Kuku wa kienyeji utofautiana katika idadi ya utagaji kulingana na maumbo yao.Mitetea yenye maumbo madogo utaga kati ya mayai 15 hadi 20 na mitetea yenye maumbo makubwa utaga kati ya mayai 8 hadi 12.
Aisee!Kifupi kumbe wewe ni mweupe kabisa.
Achaneni Nate huyo... Nilishamchana huyo mpaka mafuta..Leo kuku watatu wengine wameanza kutaga.na wanaoitia ni karibuni wote waliobaki..then kuna vile vidwaft vidogo vinataga 25 mpaka 30 ,kuanzia mtago wa nne na kuendelea..navifata vikindu jioni hii..
 
Back
Top Bottom