Ufugaji wa kuku chotara na kienyeji kwa mijini ni hasara tupu

Ufugaji wa kuku chotara na kienyeji kwa mijini ni hasara tupu

Nimefatilia Uzi vizuri sana. Binafsi nipo mjini kabisa Tena temeke.ninao kuku wa kienyeji matetea 78,kuchi jogoo wadogo 8,jogoo wakawaida wakubwa7.huu mradi unanisogeza sana kiuchumi..naiona faida kwani mradi unajiendesha wenyewe kupitia kuuza mayai.mimi nauza mayai trei 12500.na kwa Kila Trey nasave7000 as profit.iliyobaki ni vyakula dawa na kurepea Banda.kuna namba ya kusave gharama ntawaeleza
 
Kuna vijiji Tsh elf 40 aliyouza kuku 4 inamtunza mfugaji mwezi mzima. Ndo maana nikasema labda umuulize anaposema anafanya maisha kwa kuku anamaanisha maisha yapi?
LOOOooo!

Hakika hili linawezekana.

Lakini mjadala ni huu.
Huyu mfugaji kule kijijini aliwanunua hawa kuku 10 wakiwa vifaranga, au siyo? Kwa hiyo hapo tayari anahesabu gharama ya kuwanunua.
Tokea siku hiyo aliyowanunua hao vifaranga, kuna gharama za kuwahudumia, ambazo wengi huwa hawapendi kuziainisha ili zijulikane; kwa mfano kuwapa ujoto katika siku na wiki za mwanzo. Hapa utasema sijui anatumia jiko la mkaa analopikia chakula yeye mwenyewe, lakini kiuhakika hapo kuna gharama zinazotakiwa kuwekwa kwenye hesabu ya ufugaji wa hao vifaranga hadi watimize umri wasiohitaji joto la nje.
Wakati huo huo, limesemwa kwenye mada hii kwamba hawa kuku wanatakiwa wapewe chakula stahiki, na siyo matakataka tu wakati wakiwa wachanga, ili wakishafikia umri fulani waweze kuendelea vizuri, hata wakipewa mabaki ya chakula na matakataka mengine. Hii gharama ya chakula cha awali ni kubwa kwa hali ya sasa. Hiyo 40,000/ uliyoweka hapo juu kwa mauzo ya kuku 4, bado itakuwa haitoshelezi kununua mfuko mmoja wa chakula hicho.

Kwa hiyo utaona kwamba, hii elfu 40,000/ atakayoipata mfugaji wa hao kuku 10, tayari siyo faida, bali hapo sasa anakula mtaji wake wa awali!

Na bado, hao kuku pengine watahitaji chanjo, kuzuia magonjwa, na hata dawa wakati wanapopata maradhi wakati wa ufugaji.
Sasa baada ya yote haya, na bado yapo mengine tu juu ya gharama za kuwatunza hawa kuku hadi kufikia umri wa kuwapeleka sokoni, hiyo 40,000/ kweli unadhani ndiyo hela inayopatikana kama faida, juu ya mtaji ambayo mfugaji huyu anaweza kuitumia "kumtunza mfugaji"?
Tafadhali, mkuu wangu 'Tsh', hebu niambie ukweli wako.

Hii ndiyo sababu watu wengi sana huko vijijini hushindwa kujua kama wanapata manufaa katika kazi zao wanazozifanya, kwa sababu hawatofautishi pesa yao waliyowekeza, na faida inayotokana na kazi yenyewe.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
LOOOooo!

Hakika hili linawezekana.

Lakini mjadala ni huu.
Huyu mfugaji kule kijijini aliwanunua hawa kuku 10 wakiwa vifaranga, au siyo? Kwa hiyo hapo tayari anahesabu gharama ya kuwanunua.
Tokea siku hiyo aliyowanunua hao vifaranga, kuna gharama za kuwahudumia, ambazo wengi huwa hawapendi kuziainisha ili zijulikane; kwa mfano kuwapa ujoto katika siku na wiki za mwanzo. Hapa utasema sijui anatumia jiko la mkaa analopikia chakula yeye mwenyewe, lakini kiuhakika hapo kuna gharama zinazotakiwa kuwekwa kwenye hesabu ya ufugaji wa hao vifaranga hadi watimize umri wasiohitaji joto la nje.
Wakati huo huo, limesemwa kwenye mada hii kwamba hawa kuku wanatakiwa wapewe chakula stahiki, na siyo matakataka tu wakati wakiwa wachanga, ili wakishafikia umri fulani waweze kuendelea vizuri, hata wakipewa mabaki ya chakula na matakataka mengine. Hii gharama ya chakula cha awali ni kubwa kwa hali ya sasa. Hiyo 40,000/ uliyoweka hapo juu kwa mauzo ya kuku 4, bado itakuwa haitoshelezi kununua mfuko mmoja wa chakula hicho.

Kwa hiyo utaona kwamba, hii elfu 40,000/ atakayoipata mfugaji wa hao kuku 10, tayari siyo faida, bali hapo sasa anakula mtaji wake wa awali!

Na bado, hao kuku pengine watahitaji chanjo, kuzuia magonjwa, na hata dawa wakati wanapopata maradhi wakati wa ufugaji.
Sasa baada ya yote haya, na bado yapo mengine tu juu ya gharama za kuwatunza hawa kuku hadi kufikia umri wa kuwapeleka sokoni, hiyo 40,000/ kweli unadhani ndiyo hela inayopatikana kama faida, juu ya mtaji ambayo mfugaji huyu anaweza kuitumia "kumtunza mfugaji"?
Tafadhali, mkuu wangu 'Tsh', hebu niambie ukweli wako.

Hii ndiyo sababu watu wengi sana huko vijijini hushindwa kujua kama wanapata manufaa katika kazi zao wanazozifanya, kwa sababu hawatofautishi pesa yao waliyowekeza, na faida inayotokana na kazi yenyewe.
Upo sawa.
 
Nimefatilia Uzi vizuri sana. Binafsi nipo mjini kabisa Tena temeke.ninao kuku wa kienyeji matetea 78,kuchi jogoo wadogo 8,jogoo wakawaida wakubwa7.huu mradi unanisogeza sana kiuchumi..naiona faida kwani mradi unajiendesha wenyewe kupitia kuuza mayai.mimi nauza mayai trei 12500.na kwa Kila Trey nasave7000 as profit.iliyobaki ni vyakula dawa na kurepea Banda.kuna namba ya kusave gharama ntawaeleza
Tueleze tafadhali.
 
Tueleze tafadhali.
Huyo 'Jamaa' anakufunika na blanketi zito.

Hawa ndio matapeli na maadu wakubwa wa wafugaji. Si ajabu ni mnufaika kwa aina fulani, pengine ni mlanguzi tu katika mnyororo mzima wa shughuli hiyo.
Kuku 78, tena sijui wa kienyeji au chotara, hizo trei atazipata wapi?
 
Nimefatilia Uzi vizuri sana. Binafsi nipo mjini kabisa Tena temeke.ninao kuku wa kienyeji matetea 78,kuchi jogoo wadogo 8,jogoo wakawaida wakubwa7.huu mradi unanisogeza sana kiuchumi..naiona faida kwani mradi unajiendesha wenyewe kupitia kuuza mayai.mimi nauza mayai trei 12500.na kwa Kila Trey nasave7000 as profit.iliyobaki ni vyakula dawa na kurepea Banda.kuna namba ya kusave gharama ntawaeleza
Wewe ni mtu 'bogus' kabisa.

Ni kheri ya mchawi kuliko mtu kama wewe.
 
Tueleze tafadhali.
Hapo ni namna ya kuchezea na chakula.binafsi nalisha asubuhi na jioni.chakula Cha kutengeneza.ukipata namna ya kupata malighafi kwa Bei chini itakusaidia sana.kwa msaada zaidi tafuta mashudu ya alizeti kutoka mikoani ngano iliyovunjika hasa pale dabokibini tandika na chenga la dagaa kilwa kivinje na uduvi wa nyamisati.pumba hata ukinunua hapa sio ishu sana.then changanya . Mchana nyanya za stereo ..pia usione aibu kutafta taaaisi yenye kupata makombo mengi ya chakula hasa mashuleni.na ukiweza tafuta sehemu wanapouzia machicha ya Nazi kwa wingi.mi nachukulia machicha kisemvule. Spinach ni muhim . Nimeelezea kwa juu juu sana Ila ukituliza kichwa utanielewa.. n.b uwe mtu wa watu na kujichanganya na kusafirishiwa mizigo yako kwa Bei rahisi ama kupata watu wanaokutumia mizigo kutoka points za kukusanyia malighafi...ntakuja na dawa na kunga za kienyeji na za kisasa
 
Wewe ni mtu 'bogus' kabisa.

Ni kheri ya mchawi kuliko mtu kama wewe.
We kinabo hivi Sasa Nina matetea 36 wanataga kwa pomoja..wamepishana siku moja mpaka nne.kuku wanpawpastani wa wiki na nusu Hadi mbili mpaka aanze kutaga tena.nina rotation nzuri tu ya mayai na sijawahi kukosa yai bandani... January hii natanua Banda am going for 120chickens.mimi silei vifarpanga npanunua kwa 5000 mpaka8000 huko mkiu bungu somanga manze mpaka ngapa..we go for hustle nigga usitukane Tena watu utakuwa tako
 
Huyo 'Jamaa' anakufunika na blanketi zito.

Hawa ndio matapeli na maadu wakubwa wa wafugaji. Si ajabu ni mnufaika kwa aina fulani, pengine ni mlanguzi tu katika mnyororo mzima wa shughuli hiyo.
Kuku 78, tena sijui wa kienyeji au chotara, hizo trei atazipata wapi?
Zamu yako Sasa....we nakuletea sokoni Mana hata Kama utapeleka mayai yako they can't take yours. Namba moja mbagala rangi 3 nje ya bank ya acb.2 jicor restaurant na tawheed tandika.3whiterose restaurant mikocheni.oda zikinizidi nachukua kwa wengine naongezea napeleka..mzee mjini ukiishi ukiwa mlaini hivyo watu hawatakuwa hata na shida ya kukupakia mafuta...pambana mzee acha bla bla za kiseee.
 
Shida yetu kubwa ni kwamba tunahisi kufuga ni kutupia kuku pumba na makombo ama ni kazi rahisi Kama kufungua zipu..... Poor this generation..never come along my line and act your stupidity anymore.kuku wanawapa maisha watu alafu kuna ndezi zinanitukana Niki address Jambo.daaar
 
Hapa ni sehemu ya maarifa na kupeana hints kwa kesho yenye amani.pole sana ndugu.
"Mitetea 78" tena sijui wa chotara au kienyeji, unapata trei za mayai; kama siyo ukichaa huo tuuite kitu gani?
Kuhusu kuku wa kienyeji siwezi kumuamini mtu akiandika article yake na research zake za kikuda tu...huko mkuranga nimetembelea shamba la mwamba mmoja Ana kuku wa kienyeji wengi mno.anaweza kutoa Trey 25 per day.
Na bado unaendelea na u'bogus' ule ule!
Wewe ni mtu ambaye hujui kabisa kazi ya ufugaji wa kuku. Kazi yako ni kuuza maneno tu hapa!

Huyo mtu wa Mkuranga anayepata trei "25 per day", anao kuku wangapi wa kienyeji, elfu kumi?
Unauelewa utagaji wa mayai wa kuku wa kienyeji wewe?
Zamu yako Sasa....we nakuletea sokoni Mana hata Kama utapeleka mayai yako they can't take yours. Namba moja mbagala rangi 3 nje ya bank ya acb.2 jicor restaurant na tawheed tandika.3whiterose restaurant mikocheni.oda zikinizidi nachukua kwa wengine naongezea napeleka..mzee mjini ukiishi ukiwa mlaini hivyo watu hawatakuwa hata na shida ya kukupakia mafuta...pambana mzee acha bla bla za kiseee.
Wewe siyo mfugaji, ni dalali tu, na mbabaishaji mkubwa kama inavyoonyesha hapa katika maandishi yako.

Hovyo kabisa!
 
We kinabo hivi Sasa Nina matetea 36 wanataga kwa pomoja..wamepishana siku moja mpaka nne.kuku wanpawpastani wa wiki na nusu Hadi mbili mpaka aanze kutaga tena.nina rotation nzuri tu ya mayai na sijawahi kukosa yai bandani... January hii natanua Banda am going for 120chickens.mimi silei vifarpanga npanunua kwa 5000 mpaka8000 huko mkiu bungu somanga manze mpaka ngapa..we go for hustle nigga usitukane Tena watu utakuwa tako
Kumbe ni mvuta bangi fulani tu!
I have no time for rubbish.
 
Hapo ni namna ya kuchezea na chakula.binafsi nalisha asubuhi na jioni.chakula Cha kutengeneza.ukipata namna ya kupata malighafi kwa Bei chini itakusaidia sana.kwa msaada zaidi tafuta mashudu ya alizeti kutoka mikoani ngano iliyovunjika hasa pale dabokibini tandika na chenga la dagaa kilwa kivinje na uduvi wa nyamisati.pumba hata ukinunua hapa sio ishu sana.then changanya . Mchana nyanya za stereo ..pia usione aibu kutafta taaaisi yenye kupata makombo mengi ya chakula hasa mashuleni.na ukiweza tafuta sehemu wanapouzia machicha ya Nazi kwa wingi.mi nachukulia machicha kisemvule. Spinach ni muhim . Nimeelezea kwa juu juu sana Ila ukituliza kichwa utanielewa.. n.b uwe mtu wa watu na kujichanganya na kusafirishiwa mizigo yako kwa Bei rahisi ama kupata watu wanaokutumia mizigo kutoka points za kukusanyia malighafi...ntakuja na dawa na kunga za kienyeji na za kisasa
Ninaposema "kichaa", sitanii!

Bangi nyingi kichwani husababisha wehu!
Na ukichaa wenyewe ndio huu hapa.

Gharama za kuzunguka tu kuyatafuta yote hayo, uje ulishe mitetea 78, halafu upate tray za mayai ambazo utauza upate faida!

Sitaandika tena chochote juu ya takataka zako hizi humu.
 
Pole guys tako kalale
Ninaposema "kichaa", sitanii!

Bangi nyingi kichwani husababisha wehu!
Na ukichaa wenyewe ndio huu hapa.

Gharama za kuzunguka tu kuyatafuta yote hayo, uje ulishe mitetea 78, halafu upate tray za mayai ambazo utauza upate faida!

Sitaandika tena chochote juu ya takataka zako hizi humu.
Le
 
Huyo 'Jamaa' anakufunika na blanketi zito.

Hawa ndio matapeli na maadu wakubwa wa wafugaji. Si ajabu ni mnufaika kwa aina fulani, pengine ni mlanguzi tu katika mnyororo mzima wa shughuli hiyo.
Kuku 78, tena sijui wa kienyeji au chotara, hizo trei atazipata wapi?
Hiyo ilikuwa idadi ya trei au bei ya trei la mayai? Anasapata 12500 anasave 7000. Kwann umedhan ni trei?
 
Ninaposema "kichaa", sitanii!

Bangi nyingi kichwani husababisha wehu!
Na ukichaa wenyewe ndio huu hapa.

Gharama za kuzunguka tu kuyatafuta yote hayo, uje ulishe mitetea 78, halafu upate tray za mayai ambazo utauza upate faida!

Sitaandika tena chochote juu ya takataka zako h

Ninaposema "kichaa", sitanii!

Bangi nyingi kichwani husababisha wehu!
Na ukichaa wenyewe ndio huu hapa.

Gharama za kuzunguka tu kuyatafuta yote hayo, uje ulishe mitetea 78, halafu upate tray za mayai ambazo utauza upate faida!

Sitaandika tena chochote juu ya takataka zako hizi humu.
Kwanza wewe ndio uliedandia comment yangu.hata usipopandika it's okey... Nilianza kupata tray 3 per wiki Sasa napata 7 ,mpaka 9 per wiki. Na ntaendelea zaidi.kwangu siuoni hasara yyte kwa nn muogoposhe watu kuwa kuku wakienyeji hawalipi???. Shida yenu nikufugia mtandaoni. N.b Bora bange kuliko kuwa punga Kama wewe
 
Hiyo ilikuwa idadi ya trei au bei ya trei la mayai? Anasapata 12500 anasave 7000. Kwann umedhan ni trei?
Achana Nate huyo mpuuzi hajui chochote huyo..Kama nakumbuka nilianza biashara ya maziwa ya kutembeza na nikaweka bandiko humu mpaka watu wa jf walishafika ofisini kwangu kijichi.wakati na aingia kwenye kuku tuliweka mjadala mzito na controla humu pia.ashukuriwe sana yule mwamba
 
Back
Top Bottom