Mjasirinamali
Member
- Mar 7, 2017
- 32
- 17
lete idadi uitakayo kiongozi, hiyo wangapi ni namba tuu, wesema tulete wangapi majogoo na majike.Unao wangap mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lete idadi uitakayo kiongozi, hiyo wangapi ni namba tuu, wesema tulete wangapi majogoo na majike.Unao wangap mkuu?
Nashukuru. Ukisahau nitakustua iyo Jioni mkuuChangamoto ni pesa yako tu maana magonjwa yote ya kuku yote yanatibika mpenzi,ngoja nitakuja kuweka experience yangu hapa jioni
Hakuna dili lisilo na changamoto elewa hilo na acha ubishiMkuu utakua umewapa sumu? Ila any way siwezi kukataa labda au niseme inawezekana lakini hii sio common Sana Mara nyingi watu wanafanikiwa kupitia hili dili
Mimi napatikana mtwara ila soko zuri lipo dar na zanzibar kwenye zile hotel kubwa kubwa ukiwa na shida ya soko nitakupa maelekezo mkuu ukapige pesa.lete idadi uitakayo kiongozi, hiyo wangapi ni namba tuu, wesema tulete wangapi majogoo na majike.
Mkuu, Ungenielewa usingeniita mbishi ndio maana nimekuambia siwez kukataa.Hakuna dili lisilo na changamoto elewa hilo na acha ubishi
Kweli pesa waweza piga, ila bila jasho hakuna utam.Mkuu utakua umewapa sumu? Ila any way siwezi kukataa labda au niseme inawezekana lakini hii sio common Sana Mara nyingi watu wanafanikiwa kupitia hili dili
hahahaaaa, nipe soko la dar.Mimi napatikana mtwara ila soko zuri lipo dar na zanzibar kwenye zile hotel kubwa kubwa ukiwa na shida ya soko nitakupa maelekezo mkuu ukapige pesa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kweli pesa waweza piga, ila bila jasho hakuna utam.
Ni kweli, wakati mwingine unakesha bandani kama vifaranga wadogoNa ni miezi ya jasho maana hapo madawa watakua wamechanjwa sana
Vipi wakifika miezi miwili si unaweza kuwahamisha watoto na kuwaacha mama zao waweze kutaga tena.. Au wewe hujawai wafanyia hivi?Ni kweli, wakati mwingine unakesha bandani kama vifaranga wadogo
Ndani tu mkuu, ni kazi eti, muhimu uwe na muda wa ziada wewe mwenyeweNimekuelewa vipi unawatoa nje au unawafugia ndani Kwa ndani
Ila zanzibar mkuu ungetafuna pesa nzuri Sana kule kuku m1 ad 30000hahahaaaa, nipe soko la dar.
Mimi nataka kuanza na majike 30 vipi unanishauri nijenge banda la ukubwa gani..Ndani tu mkuu, ni kazi eti, muhimu uwe na muda wa ziada wewe mwenyewe
Inategemea unatumia njia gani, wanalelewa na mama mmoja au unawalea peke yao bila mama zao, na umri wao uwe mmoja eti, ukiwaweka pamoja na mama wengi ni hatari piaVipi wakifika miezi miwili si unaweza kuwahamisha watoto na kuwaacha mama zao waweze kutaga tena.. Au wewe hujawai wafanyia hivi?
Miezi miwili mbona mingi sana, wiki moja paka mbili inatosha.Vipi wakifika miezi miwili si unaweza kuwahamisha watoto na kuwaacha mama zao waweze kutaga tena.. Au wewe hujawai wafanyia hivi?
Labda unamajike ambao wote wametotoa wiki 1 Kwa Mara 1 wakishakua watoto kama miezi miwili ivi si unaweza kuwahamisha watoto upande mwingine wa banda lako?Inategemea unatumia njia gani, wanalelewa na mama mmoja au unawalea peke yao bila mama zao, na umri wao uwe mmoja eti, ukiwaweka pamoja na mama wengi ni hatari pia
Mkuu vipi Kwa usalama wa watoto si watakua bado hawajaawa na nguvu ya kujitegemea?Miezi miwili mbona mingi sana, wiki moja paka mbili inatosha.
sawa anza na ukubwa wa banda kama langu, ila waatamie wachache tu au kama una incubator ni vizuri, hakikisha unawasiliana na mtaalamu muda wote kwa utunzaji wakeMimi nataka kuanza na majike 30 vipi unanishauri nijenge banda la ukubwa gani..
Sawa.. Vipi Kuna madhara gani ya kuwaacha waatamie wote? Au pia Kuna faida gani za kuwaatamisha wachache?sawa anza na ukubwa wa banda kama langu, ila waatamie wachache tu au kama una incubator ni vizuri, hakikisha unawasiliana na mtaalamu muda wote kwa utunzaji wake
Wiki 2 zinatosha, unaweka mfumo wa joto, mama ni kwa ajili ya joto tu kama huwezi kuwatunza, jifunze kuwatenganisha wanapototolewa tuLabda unamajike ambao wote wametotoa wiki 1 Kwa Mara 1 wakishakua watoto kama miezi miwili ivi si unaweza kuwahamisha watoto upande mwingine wa banda lako?