Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

Kuku pure kienyeji ni biashara kichaa endapo unawafugia mjini na kutegemea kuwahudumia kwa chakula cha kununua. Ukitaka piga faida nzuri wafugie shamba penye eneo la kutosha uwe unapiga nusu huria muda mwingi wajitafutie chakula na virutubisho ardhini wenyewe.
 
Naomba kujuzwa kuusu Dawa inayoitwa EGG BOOSTER nimeambiwa Dawa hii ukiwapa kuku wa kienyeji huwa wanataga mayai kila siku lakini wanakuwa hawana uwezo wa kutamia Mayai

Je Wataalam jambo hili linaukweli gani?
 
Naomba kujuzwa kuusu Dawa inayoitwa EGG BOOSTER nimeambiwa Dawa hii ukiwapa kuku wa kienyeji huwa wanataga mayai kila siku lakini wanakuwa hawana uwezo wa kutamia Mayai

Je Wataalam jambo hili linaukweli gani?
Subiri waje ila nikushauri ingia group sawap fasta utajibiwa
 
Walipotaga waliatamia 2 tu na wakawalea wao, mwingine akabaki na jogoo sikuwa hata na banda kubwa, wakakua 30 mara 3, nikawa na kuku 90 ndo nikajenga banda, ilichukua muda mrefu lakini, niliuza majogoo nikabakisha 5 jike 50, ndo nikaanza kufuga kibiashara, Sasa hivi natotolesha mara 1 kwa miezi 2, muda mwingi nauza mayai, kwa kweli nilianza kikawaida sana bila gharama kubwa, huu mwaka wa 5 sasa
Kuku wanatotoa kweli lkn sina desturi ya kutunza vifaranga hivyo wanakufa sana. Pia gharama ya chakula........shida.
Najikuta nawaachia holela tuu
 
Kuku pure kienyeji ni biashara kichaa endapo unawafugia mjini na kutegemea kuwahudumia kwa chakula cha kununua. Ukitaka piga faida nzuri wafugie shamba penye eneo la kutosha uwe unapiga nusu huria muda mwingi wajitafutie chakula na virutubisho ardhini wenyewe.

Hahaha umlishe Kuku miez 6 then umuuze elf 15 haiingii akilini.
Ukiwa kijjn hapo sawa gharama ya chakula unaepuka. Wewe Ni dawa tuu
 
Wakuu kuku wangu wanajikunyata na wanatoa sauti kama wamekwama na kitu je tatizo nini naomba msaada wenu kabla sijawakosa wote....nimenunua sehemu tofauti na since wakutane sikuwapa kitu chochote ndio makosa nimefanya
 
Hahaha umlishe Kuku miez 6 then umuuze elf 15 haiingii akilini.
Ukiwa kijjn hapo sawa gharama ya chakula unaepuka. Wewe Ni dawa tuu

Dawa gani ndugu yangu unatumia kama kuku akiwa anajikunyata na kama ana mafua fulani....yaani anakoroma naomba msaada...
 
Dawa gani ndugu yangu unatumia kama kuku akiwa anajikunyata na kama ana mafua fulani....yaani anakoroma naomba msaada...

ningumu kujua aina ya ugonjwa hapa chakufanya muite au mpeleke kuku mmoja mgonjwa kwa mtaalamu wa mifugo usiwe bahiri kwa jambo kama hilo. Ila ingekuwa ni mafua dawa nzuri ni flu ban
 
Back
Top Bottom