kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,722
- 1,965
Upo zanzibar maeneo gani?mkuu naomba unipe michapo ya soko la znz mimi nipo znz lakini naona kiza nipe michapo nifaidike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo zanzibar maeneo gani?mkuu naomba unipe michapo ya soko la znz mimi nipo znz lakini naona kiza nipe michapo nifaidike
ukivipatia haswaMiongoni mwa vitu vinavyolipa sana kwa sasa ni kilimo na ufugaji mkuu!
Alaf unaweza kuta gharama ulizotumia kuwahudumia ni kubwa mnoHakuna pesa ya chapchap, lazima usote kwanza,hadi kuku afikie kuuzwa hiyo bei ni miezi kadhaa, nafuga pia
Na ni kubwa kweli, ni lazima ujipange hasaAlaf unaweza kuta gharama ulizotumia kuwahudumia ni kubwa mno
Tuko pa1Mkuu akikujibu ni kwa faida ya wengi pia.. nipo na fatilia kwa umakin sana coz iz one of my ideaMimi nataka kuanza na majike 30 vipi unanishauri nijenge banda la ukubwa gani..
Mbezi sehemu gani? Nawataka wote. Una Usafiri ukawasogeza Kimara?Nnao pure kienyeji kabisa hapa mbezi ya kimara wa miezi 4 na 5 wako 10 tu wana chanjo zote wote nauza 120000 bei haipungui kwako mfugaji nicheki 0787429104
Mkuu tupia namba uungwe Kwa group wasapTuko pa1Mkuu akikujibu ni kwa faida ya wengi pia.. nipo na fatilia kwa umakin sana coz iz one of my idea
Mkuu nashukuru kwa mwaliko ila nitakapohitaj utaniunga..Mkuu tupia namba uungwe Kwa group wasap
Pamoja mkuu watu tunapeana ujuzi lukuki hukuMkuu nashukuru kwa mwaliko ila nitakapohitaj utaniunga..
Nitakapoanza tu ufugaj nitahtaj kujiunga ili kujifunza zaid.
Lakini mavuno ni most mkuuAlaf unaweza kuta gharama ulizotumia kuwahudumia ni kubwa mno
Subiri waje ila nikushauri ingia group sawap fasta utajibiwaNaomba kujuzwa kuusu Dawa inayoitwa EGG BOOSTER nimeambiwa Dawa hii ukiwapa kuku wa kienyeji huwa wanataga mayai kila siku lakini wanakuwa hawana uwezo wa kutamia Mayai
Je Wataalam jambo hili linaukweli gani?
Kuku wanatotoa kweli lkn sina desturi ya kutunza vifaranga hivyo wanakufa sana. Pia gharama ya chakula........shida.Walipotaga waliatamia 2 tu na wakawalea wao, mwingine akabaki na jogoo sikuwa hata na banda kubwa, wakakua 30 mara 3, nikawa na kuku 90 ndo nikajenga banda, ilichukua muda mrefu lakini, niliuza majogoo nikabakisha 5 jike 50, ndo nikaanza kufuga kibiashara, Sasa hivi natotolesha mara 1 kwa miezi 2, muda mwingi nauza mayai, kwa kweli nilianza kikawaida sana bila gharama kubwa, huu mwaka wa 5 sasa
Kuku pure kienyeji ni biashara kichaa endapo unawafugia mjini na kutegemea kuwahudumia kwa chakula cha kununua. Ukitaka piga faida nzuri wafugie shamba penye eneo la kutosha uwe unapiga nusu huria muda mwingi wajitafutie chakula na virutubisho ardhini wenyewe.
Hahaha umlishe Kuku miez 6 then umuuze elf 15 haiingii akilini.
Ukiwa kijjn hapo sawa gharama ya chakula unaepuka. Wewe Ni dawa tuu
Dawa gani ndugu yangu unatumia kama kuku akiwa anajikunyata na kama ana mafua fulani....yaani anakoroma naomba msaada...