Tum4
Member
- Jul 15, 2017
- 36
- 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Navipi kuhusu bando hlo mkuu je linafaa kwaufugaj wa kukubinafs kuna aina ya mbegu ya kuku hawawatotoi mayai mengi! ushauri wasubirishie mzunguko wa pili uone itakuwaje!mie huwa wanantotoa13! samtym anabakiza 1!tafuta mbegu ya kuchi! nane nane wanakuwepo nunua jike moja utakuja toa ushahd hapa! kila la heri
Huwa nawaachia tu mpaka wanatotoahilo uwe unawalaza tu humo! km utafanikiw litanue kias!kila la heri!alafu nahitaj kujua wewe unaawchia mayai au wakitaga unatoa?
Kwa haraka nimeangalia banda hilo linafaa kufugia kuku 20 na sio wanao taga wanao taga wanahitaji eneo la kutosha kama ukitaka wanao taga wakae kwenye hilo banda wawe kumi na mbili wakizidi sana 15
nimeona wengi wamekupa ushauri lakini, mimi nimeona nikupatie ushauri wa kudumu, nunua kitabu cha uboreshaji wa Ufugaji Bora wa Kuku wa Kienyeji kwa bei nafuu sana humo utapata maelezo yote kuhusu ufugaji Bora wa Kuku wa kienyeji. tunapatikana kwa namba 0784690277 au tovuti www.tepu.co.tz.Nimefuga KUKU mwakienyeji lakini sasa changamoto nikua wanachanganya sana mayai na mwisho wa siku hawatotoi mayai yote utakuta KUKU ametaga mayai 12 alafu anatoto mayai 4 tuu
Post sent using JamiiForums mobile app
Kuchi ni chotara? Msaaada pleasebinafs kuna aina ya mbegu ya kuku hawawatotoi mayai mengi! ushauri wasubirishie mzunguko wa pili uone itakuwaje!mie huwa wanantotoa13! samtym anabakiza 1!tafuta mbegu ya kuchi! nane nane wanakuwepo nunua jike moja utakuja toa ushahd hapa! kila la heri
Kuchi ni chotara? Msaaada please
Asante kwa kunijibu.hapana sio chotara ni mbegu kubwa tu! kienyeji pure
Aina gani hii?
Kuchanganya mayai sio tatizo la kutotolewa, tatizo lako inaonyesha una jogoo wachache, kuku akitaga bila kupandwa yai halitatotolewa
hivi kuchi huwa anatamia mkuu?uwe unayatoa akitaga! unayahifadhi vzr! mie hua najikutra natotolesha vifarang ving kuna kuku nwavivu anaishia kutaga 7 tu! ila tafuta kuchi nane nane!(maonesho) km unakaa karibu na moro niambie nikusaidie!
Upo wapi,na je unaweza ambao hawajaanza kutaga?