Wakuu wachangiaji wa thread hii asanteni sana kuendelea kushare uzoefu na utaalamu wenu. Hakika kunawakati ninasisimka sana ninavyoona watu wengi wakarimu wakipeana maarifa na ujuzi kiasi hiki. Hakuna kitu kinachowatia nguvu sana watu wanaotaka kujaribu ujasiria mali kama mnapobandika picha na kutoa feedback na updates za maendeleo yenu! Ninawashukuru sana wachangiaji wote kwa ukarimu wenu mkubwa, ninachowaomba tafadhari msichoke kuleta feedback na updates za ufugaji wenu kwa wale mnaoendelea kufuga. Heshima yangu kubwa kwenu mliodadisi sana na mliomwaga uzoefu wenu na updates bila kuchoka, kwa heshima yenu japo majina yenu mtayaona nimeyaandika kwa wino mweusi lakini kusema ukweli original script nimeyaandika kwa wino wa dhahabu, heshima kwenu: Mama Joe, Mama Timmy, Asigwa, Chasha, LiverpoolFC, Mzee Mukaruka, Guta, Dafo, Madago, Popiexo!
Ninawatajeni kwa majina wachangiaji wengine wote ambao nyie ndiyo mlioleta sababu ya kuzidi kunichagiza nisimulie hadithi hii bila kuchoka, bila nyie stori hii ingekuwa nikama nimechemka na ni kihelehele changu tu! Heshima yenu kubwa kwenu:Elias Sablaki, Posho za vikao, Muhinda, Betlehem, Njowepo, Mwakijule, Tongoni, Mabaghe, Mito, Chamakh, Chama2chama, Kamuzu, Masanilo, Mickymouse, Ariflardhi, mahesabu, Wilbert1974, PcMan, Apolonary, Repture Man, Lutayega, Ankojei, Madago, Zamaulid, mjamaica, Rashid Seif, Kababi, Penelope, Popompo, Baba JJ, Malamsha Shao, Kapistrano, Singo, Zipuwawa, Gefu, Mtugani wa wapi huyo, HP1, Mpita njia, chako change, Bluetooth, Blaki Womani, KVM, lutayega, Babarita, Shadow, Akohi, Rais wa Walalahoi, Amka wewe, ugolo wa bibi, maswi, exit, No Admission, Jatelo1, Somoche, Mzito Kabwela, Makala Jr, Mzamifu, Kituko, Fidel80, Yako, Nivea, Aza, Thedealer, Yatima, bht, noboka, Mkulima wa kuku, abam, yako, safari-ni-safari, gfson win, maamuma, Henge na bemg !!
Pia shukrani kwenu viewers ambao kwa wingi wenu hamchoki kusoma thread, tumieni mbizu hizi, hakuna sababu ya kukata tamaa ya maisha kwa wale wasiokuwa na ajira na mitaji, kuna jambo unaweza kufanya likakuinua kimaisha ikiwamo ufugaji wa kuku wa kienyeji!!
JF ni zaidi ya Chuo !!