Mkuu wakiwa wadogo ni mtihani,wanakumbuka na wanarudi , mbona hata Sungura huwa nawaachia wanatembea na wanarudi ila nimesema tabia zao Kwa ujumla Ili kumpa mvugaji AbcSio hawakumbuki kwani wao hawana akili wakae waliwe [emoji38][emoji38]
Watavaa earplug[emoji4][emoji4]Aisee utawatesa majirani kwa hizo kelele za hao Kanga.
Pia kama jirani kalima mboga zake ujiaandae kwenda Kwa mjumbe hahaha maana wakiingia hapo hawachi kitu miguu Yao inauwezo wakufukua zaidi ya kukuAisee utawatesa majirani kwa hizo kelele za hao Kanga.
Mkuu una moyo mi biashara ya ufugaji ( kuku) ilinivunja moyo siitaki kabisa. Wakati nimeanza nilifuata kila step kwenye kitabu hasa chanjo, lakini walivyokuwa wanakufa nikasema nakosea nn jamani! Unamuita daktari nyumbani anakuchaji hela kubwa utafikiri hela ya kumuona daktari bingwa ili tu akuandikie dawa! Nikaachaga kuwapa chanjo waishi hivyo hivyo cha ajabu ndo wakawa hawafi nikasema hawa wanatupa chanjo kuua kuku wetu?Kabisa mkuu nilisha wahi kuzika vifaranga 50 Kwa muda wa week mbili,ila sasa hivi nimefanikiwa kuwakuza 70+ ila chamoto nilikiona
Dah ! Noma sana kufuga uwe unapenda kutoka moyani la sivyo huwezi kuendelea,mifugo huwa inakufa sana na unakua umefanya Kila kitu,ww endelea tu Ipo siku mifugo itakua na utasahau Kila kituMkuu una moyo mi biashara ya ufugaji ( kuku) ilinivunja moyo siitaki kabisa. Wakati nimeanza nilifuata kila step kwenye kitabu hasa chanjo, lakini walivyokuwa wanakufa nikasema nakosea nn jamani! Unamuita daktari nyumbani anakuchaji hela kubwa utafikiri hela ya kumuona daktari bingwa ili tu akuandikie dawa! Nikaachaga kuwapa chanjo waishi hivyo hivyo cha ajabu ndo wakawa hawafi nikasema hawa wanatupa chanjo kuua kuku wetu?
Mkuu, mimi dawa kuu ni muarobaini,alovera+pilipili[emoji23][emoji23]Mkuu una moyo mi biashara ya ufugaji ( kuku) ilinivunja moyo siitaki kabisa. Wakati nimeanza nilifuata kila step kwenye kitabu hasa chanjo, lakini walivyokuwa wanakufa nikasema nakosea nn jamani! Unamuita daktari nyumbani anakuchaji hela kubwa utafikiri hela ya kumuona daktari bingwa ili tu akuandikie dawa! Nikaachaga kuwapa chanjo waishi hivyo hivyo cha ajabu ndo wakawa hawafi nikasema hawa wanatupa chanjo kuua kuku wetu?
Mkuu hiyo aya ya mwisho tufahamishe vizuri bwana inawezekana tuko gizani 😆😆Mkuu, mimi dawa kuu ni muarobaini,alovera+pilipili[emoji23][emoji23]
hzo nyingne ni ziada tu hzi za kidhungu kwakweli[emoji848]
hata ukimwi unabustiwa na ARV.
(usifuate maneno yangu lakini) [emoji4]
Pharmaceutical industry huwa haipo kwaajili ya kuponesha bali kwaajili ya kutengeneza pesa.Mkuu una moyo mi biashara ya ufugaji ( kuku) ilinivunja moyo siitaki kabisa. Wakati nimeanza nilifuata kila step kwenye kitabu hasa chanjo, lakini walivyokuwa wanakufa nikasema nakosea nn jamani! Unamuita daktari nyumbani anakuchaji hela kubwa utafikiri hela ya kumuona daktari bingwa ili tu akuandikie dawa! Nikaachaga kuwapa chanjo waishi hivyo hivyo cha ajabu ndo wakawa hawafi nikasema hawa wanatupa chanjo kuua kuku wetu?
Wafungue macho tu kwa msaada zaidi..humu humu tunajifunza mengi.[emoji23] mkuu yoteyametimia ktk post #48, ni kwamba tusiziamini sana dawa za kizungu 100%. Nusu ni dawa, nusu ni sumu! ..hili unalijua.. nikielezea zaidi ya hapa, nitakuwa nje ya mada
hao bata sijawahi kuwafuga, lakini nasikia wana hela bwanaWafungue macho tu kwa msaada zaidi..humu humu tunajifunza mengi.
Pia vipi ushawahi kuwaza kufuga bata mzinga??
#MaendeleoHayanaChama
nilichopenda ktk uzi huu, watu wapo real. hakuna zile story za motivation za kimchongo .....ati ooh nilianza na kuku wawili na kanga mmoja, sasa hivi naingiza milioni tano kwa mwezi.Nyuzi adimu izi leo mnaongea uhalisia wa maisha
Tukirudi kwenye mada sjawahi kubahatika kula kanga
Wale jamaa kwenye mafanikio wanakuaminisha kuwa kila kitu kiko straight wakati kuna changamoto kibao...ambazo usipo kuwa na roho ngumu hutoboi.nilichopenda ktk uzi huu, watu wapo real. hakuna zile story za motivation za kimchongo .....ati ooh nilianza na kuku wawili na kanga mmoja, sasa hivi naingiza milioni tano kwa mwezi.
Ndio..sema wateja wake lazima uwe na konekisheni.hao bata sijawahi kuwafuga, lakini nasikia wana hela bwana
Huyo jogoo wako anaitwa mzabzab 🤣Kanga hawapendi kuku mwenye vifaranga anavojitanuwa watamchangia wampige Hadi afe.Wana wivu sana sema mi nilikuwaga nna jogoo wangu mmoja alikuwa kiboko anawabanduwa kanga kinoma.Vikaja vikazaliwa vitoto shombe shombe ilivonyesha mvua vikanyeshewa vikafariki.
Kuna majogoo yamevurugwa yana kula/panda hadi bata.Huyo jogoo wako anaitwa mzabzab [emoji1787]
Hapa umenichekesha..!Ni nzuri sana,Ina kaharufu frani kama nyama pori,mm kanga wangu nimewamaliza Kwa kuwala hahaha
Mgeni akiingia huwa wanapiga kelele sana, nikiangalia vichwa vyao na midomo yako siwezi amini kama ni wao ndo wanatoa kelele zote zile.Kuruka huwezi kuwazui hata kama unauzio wanaruka mpaka juu ya bati mm wangu nilikua nikiwafungulia tu asubuhi wanarukia juu ya mchikichi ,pia wanaakili sana na wahisia Kali, pia wanatambua hata mgeni akija nyumbani,ila wakitotolewa na kuku kidogo tabia zao zinafanana kidogo na kuku,
Kwanza hawakamatiki kwa kukimbizwa kizembe (wana mbio balaa) na uwezo wao wa kupaa ni mkubwa sana, kwahiyo hata wakienda kuzurura ni ngumu sana kukamatwa na raia maana kwa mbio hawapati na wakiamua wanaruka wanamuachia manyoya.kwasababu wana asili ya kiporini porini, wanaweza kupambana na adui?