Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Hivi mtoa mada alikuwa na mpango wa nguruwe wa kisasa au ilikua ni Hawa kienyeji?
 
Nasikia Kuna taarifa za ugonjwa wa nguruwe uko mbeya na mikoa ya jiran,wanakufa hatari
 
BREAKING

Jipatie mashine mbalimbali za Kilimo na Ufugaji kwa gharama nafuu,

■Mashine moja inayosaga na kukoboa.

■Mashine ya kumenyea Mahindi.

■Mashine ya kupukuchukua Mahindi.

■Mashine ya kupigia Mpunga.

■Mashine ya kuchakata Majani kwa ajili ya mifugo.

■Mashine ya kuchanganyia Chakula cha kuku, Samaki n.k

Ofisi ipo Lumumba, mkabala na Ofisi ya CCM Mkoa wa Dar es salaam

Mikoani tunatuma

Kwa mawasiliano piga
0622 896789
 
Unapatikana maeneo gani mkuu
 
Ndio nimeanza kufuga, napitia thread humu sioni wataalamu wa nguruwe naombeni maujuzi na mimi nije niitwe tajiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…