Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Shukurani za dhati mweneye uzi One Month Semindu, homeboy MalafyaleP na Maishamema,

Ninapita nondo mlizoziweka kwa karibu, nia yangu ni kufugia hapo eneo la Chalinze,

Nitaanza na hao Majike 8 badala ya watoto 50 nilioazimia mwanzoni, lkn ikiwa nataka niwe na kundi nitakalolinenepesha ili niwauze ndani ya miezi walau 6 nifanyeje?

Mwisho wa kusema haya naombeni kuuziwa majike myaonayokuwa ni bora 8 yaliyopandishwa na madume yafaayo kwa idadi hiyo na pia watoto 25 wa kuwanenepesha.
 

waweza kunisaidia gharama za supplements na dawa ulizoshauri hapa?

Natanguliza shukurani
 
Hata kuku wanaumwa,usiogope pambana fuga kitaalam utapasua
 
hurrimat alaykumu ddama wal mayta walahma l khinziir
 
GAZETI na Shauri

Tunaomba mawazo yenu tafadhali maisha ya ni kila sehemu vyema tukapeana idea kwa wale wafugajji jinsi ya kufuga Nguruwe. Mazingira yake, magonjwa yake na jinsi ya kutengeneza chakula chake bila gharama.

Mawazo na maadili kuzingatiwa.
 
Last edited by a moderator:
Kwa suala la chakula what I know anakula kila kitu mpaka chaja kasoro kitunguu ndo ishu kwake...
 
Pdidy

Ngoja Ndugu Zetu Wa Upande Wa Pili Waje Wakufundishe Jinsi Ya Kuwatokomeza Hao Viti Moto.
 
Last edited by a moderator:
Pdidy

muone afisa mifugo ngazi ya wilaya atakusaidia. lakini pia ongera kwa kujitahidi kuandika vizuri leo angalau kidogo!
 
Last edited by a moderator:
Thx Félix
Shukran ziiendee touchscreen YANGU iliokubali kuniheshimu mkuu
 
ukitaka kumfaidi vizuri kanunue kg iliyotengezwa vizuri tayari kwa kuliwa tenga mezani kisha tafuta kichwa cha kiti moto kibichi ning"iniza hapo diningi kisha anza kula kilicho pikwa na ukikitiza kichwa cha hicho kitimoto.
mama yangu kama hujatapika wewe ni mwanaume na hapo ndo mwanzo wa kuacha kula kiti moto
 
Ninahitaji shamba lenye uhakika wa maji na liwe karibu na DSM ili nianze kufuga nguruwe. Nimechoka maisha ya kubangaiza hapa jijini.
 
Ni mara yangu ya kwanza kujitokeza kwenye safu hii ,kampuni yetu inajishughulisha na ufugaji wa nguruwe bora wa kisasa wa nguruwe aina ya Danish Duroc na Danish Yorkshore ni wazuri wanakua haraka hawana mafuta mengi na wanazaa sana mwenye kuwahitaji namba ni 0715912123 ,tuko mkuranga
 
Habarini zenu wana jamvi la biashara/ujasiriamali..
Naombeni kujua vitu vifuatavyo;-
-Bei ya vitoto vya nguruwe
-Namna ya kuwafuga
-Ulishaji wao,ni vyakula vipi
-Madawa yao(matibabu)
-Mabanda yaweje
-Na kuwapandisha ili wazaane.
-Akikua vizuri anakuwa na kilo ngapi..na anauzwaje?
-Kuna mbegu tofauti tofauti?

Asanteni Wanajamvi.:thumbup:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…